Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Daktari Profesa Janabi ana hofu na nini hadi awe na ulinzi mkubwa namna ile?

utakuwa mtoto mdogo we jamaa .
Professor Sarungi ndiye pofessor wa kwanza bingwa wa mifupa Tanzania nzima .
Alikuwa hategemewi na MOI tu huyo alikiwa anategemewa Tanzania nzima ilikuwa ikitokea ajali mikoani alikiwa anakwenda kusaidia kama majeruhi wengi na wameumia vibaya .
Embu jaribu kumgoogle usome story zake kuna mwaka ilitokea ajali mbaya kibaha majeruhi waliumia sana wakalazwa tumbi yeye alikuwa waziri wa ulinzi , alitoka wizarani akaenda tumbi kuongeza nguvu jopo la madaktari
Professor Sarungi alishawahi kuwa mfanyakazi bora wa Taifa ( nafional best worker)
Eti unafananisha na mpuuzi kama kigwa. ambaye hajawahi hata kupractice udaktari

,pitia autobiographyy yake hapo chini

Pia Ile ajali ya Dodoma ya Treni mkuu,alipambana sana.......mkuu achana na hawa watoto waliozaliwa 2005+
 
Nimeshtushwa na ulinzi wa namna ile tena kwa Daktari anayekutana na watu kila uchwao.

Kuonana na Profesa Janabi ambaye ni Mkuu wa Taasisi ya Moyo Muhimbili - Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) kwa siku hizi lazima uchunguzwe kwanza na kwa masharti lukuki na kama hutokidhi matakwa nakuhakikishia utamsikia Janabi radioni.

Iweje leo na kwa siku za hivi karibuni mtu asiye kiongozi kulindwa namna ile?!?
Watanzania bhana....😂😂😂😂😂😂

Ukienda kwenye jengo lolote ukakuta Kuna milango maalum, passcode na mfano wa hayo, lazima ujue kuna vitu vya thamani vimo mle...

Sasa kukuta daktari ana ulinzi huna haja ya kuleta uzi hapa, unachopaswa kujua ni kuwa KUNA KITU CHA ZIADA... na kama ni ulinzi wa SERIKALI ni vema kujitenga nalo maana kuendelea kuchokonoa inaweza isiwe kwa maslahi ya yeyote...

Of course no maoni yangu..... lila moja ana haki ya kutoa maoni hiyo maoni yangu ni ushauri tu.
 
Acha ujinga wako!!kwani yeye ndiye daktari pekee aliyewahi kuwatibu marais?kuna madaktari wangapi walikuwa wanawatibu marais na bado hawajawahi kuwa na ulinzi mkubwa?!!ndio maana mdau amekutana nalo na kuja kuuliza, ili kujua kuna kitu gani cha utofauti zaidi, wewe hata hujui kitu unakuja tu, eti daktari anatibu marais ndio awe na ulinzi huo?!!
Kwani ulinzi Mkubwa ni Kuanzia walinzi wangapi ili tupate standard ya uliznzi mkubwa tunapoendelea na Kujadili hapa jukwaani
 
Jamaa ni overrated!! Na kwakuwa wana jf wanapenda mada kama hizi basi uzi utaenda pages za kutosha bila hata ushahidi wa picha
Not overated as such but just another professional, typical of an unsung hero!

Umeshaona mageuzi makubwa ya tiba aliyosababisha huyu Profesa hapo JKCI? Kuna mambo mimi nayasikia yanafanyika hapo nashindwa kuamini kabisa kama yanafanyika ndani ya nchi yetu na yanafanywa na Watanzania.

Wakati mwingine ninafikia hadi ninakuwa na imaginations kwamba pengine labda kuna baadhi ya Malaika wameshuka kutoka Mbinguni wakiwa na sura za binadamu wakaja wakajichanganya na kuanza kufanya kazi pamoja na madaktari wetu. Kuna mambo mazito ya ajabu muno yanafanyika sasa hivi pale JKCI
 
Janabi sio mtu mdogo ndugu. Amekuwa daktari wa Rais Kikwete kwa miaka mingi ni mtu anayeifahamu Ikulu. Lakini pia amemuhudumia JPM kwa muda mrefu kama daktari bingwa wa matatizo ya moyo. Anayajua mengi ya nchi hii kama ni ulinzi ana haki ya kulindwa ndugu.
Itakuwa anahusika na 17/3/2021
 
MAANA YA ULINZI WAKE WOTE HUMU NENDENI POST #5. TENA KWA KUONGEZEA KWA NAMNA HIYO WAMAOMLINDA SIO WALINZI WAKE TU,WAPO NA WA SYSTEM
 
utakuwa mtoto mdogo we jamaa .
Professor Sarungi ndiye pofessor wa kwanza bingwa wa mifupa Tanzania nzima .
Alikuwa hategemewi na MOI tu huyo alikiwa anategemewa Tanzania nzima ilikuwa ikitokea ajali mikoani alikiwa anakwenda kusaidia kama majeruhi wengi na wameumia vibaya .
Embu jaribu kumgoogle usome story zake kuna mwaka ilitokea ajali mbaya kibaha majeruhi waliumia sana wakalazwa tumbi yeye alikuwa waziri wa ulinzi , alitoka wizarani akaenda tumbi kuongeza nguvu jopo la madaktari
Professor Sarungi alishawahi kuwa mfanyakazi bora wa Taifa ( nafional best worker)
Eti unafananisha na mpuuzi kama kigwa. ambaye hajawahi hata kupractice udaktari

,pitia autobiographyy yake hapo chini

Nadhani hapa ilikuwa ni kipindi kile cha awamu ya kwanza ya Mh Mkapa ambapo yeye alikuwa Waziri wa Ulinzi. Mimi katika maisha yangu nawa-admire sana watu amabo wanakuwa ni Daktari wa binadmau na wakati huo huo ni PhD holder au ni professors. Hapa watu inabidi tukubali tu kuwa kuna vichwa Mungu alivipa ziada ya pekee. Kwanza kile kitendo tu cha kuwa mtu ni Daktari wa binadamu, hata kama ana degree moja tu!
 
Back
Top Bottom