Unataka kumfanya nini Rais wetu hadi useme hategemewi kuwa Rais wakati tayari yeye ni Rais?Uhuru na mipaka yake
Sheria ya mitandao imepitishwa bungeni
Magufuli hategemewi kuwa Rais
Haiwezekani mkuu, ubalozi unajitegemea mkuuLabda isiwe tz na africa ata ukimbilie kwenye ubalozi wa Vatican tutakufikia tu kwani izo balozi siziko ndani ya nchi zetu!
Uoga ni kitu kibaya sana hasa kwa mtoto wa kiume. Madhara yake huwa nayafanisha na rushwa.Bado watanzania wengi hawajaelewa hii nchi inavyoenda, chagua kukaa kimya au familia na watoto watabaki wanalia
Haiwezekani mkuu, ubalozi unajitegemea mkuu
Acha kuwaza kitoto. Vyombo vya usalama vinapohitaji taarifa ya kiusalama toka ktk chanzo husika, basi chanzo hicho kinatakiwa kutoa ushirikiano kwa kila namna. Hilo ni suala la kisheria. Waulizeni hata walipo kwenye mitandao ya simu, Polisi wanapohitaji taarifa za mtu wanayemchunguza makampuni hutoa ushirikiano. Ni suala la kawaida. Acheni kuwaza kimihemkoIna maana hayo ni maagizo ya Rais au?
Amri imetoka "chini" kuzimu mkuu. Nitashangaa kama watasema imetoka "juu".Amri imetoka wapi kwani!
Kuvamia balozi ni kama vile umevamia nchiLabda isiwe tz na africa ata ukimbilie kwenye ubalozi wa Vatican tutakufikia tu kwani izo balozi siziko ndani ya nchi zetu!
Hahahaha hiki lazima kimhusuhakuna kwenda popote.....kikombe lazima tukinywe wote......
Unadhan wana ubavu huo??I thought wangefanya jitihada kuhack hii jf na kutafuta wanachokitaka instead ya kumuwajibisha mmiliki.
Inanikumbusha kesi ya Apple na FBI kuhusu kuwapa backdoor ya IOS, mahakamani walishindwa FBI then they bypass it kupitia third person.
Kuna haja ya kuongeza wataalam wa ethical hacking katika kitengo chao. I can't believe imewashinda kuhack server.