Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Ni mwaka mmoja umetimia, kesi zilizohusisha Maxence kukamatwa na baadae Mike kuunganishwa kwenye mashtaka bado ziko mahakamani. Hata leo hii 13 December 2017 kesi inasikilizwa. Tunawaombea mema na ushindi katika majaribu haya makubwa kwenye harakati za kutetea faragha za watonyaji (whistle-blowers) dhidi ya wahalifu nchini mwetu. Pamoja.

Steve Dii
 
😁😁😁
5532890.jpg
 
Back
Top Bottom