Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Mkurugenzi mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo, ameitwa na baadaye kuwekwa ndani, Central Police.

Polisi wanaeleza muda huu kwamba leo atalala ndani hadi kesho atakapofikishwa mahakamani.

Kosa ni kuwanyima Polisi taarifa binafsi za wateja wa mtandao wa JamiiForums zilipohitajika. Maxence ameendelea kushikiria msimamo kuwa ni uvunjwaji wa sheria na haki za wananchi kufanya hivyo.

Taarifa zaidi baadaye
Kwa hiyo leo atalala huko
 
Maxence Melo, mkurugenzi mtendaji wa jamii forums amekamatwa na jeshi la polisi, kituo cha kati Dar.

Polisi wanaeleza kuwa kesho atafikishwa mahakamani kwa kosa la kushindwa kutoa ushirikiano kwa mamlaka.

Ni kuhusu makosa ya mtandao. Polisi wamekuwa wakishinikiza awape majina ya watu wanaowahitaji kutoka mtandao wa jamii forums.

Kesho atapanda kizimbani.
Noma sana !
 
Mkurugenzi mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo, ameitwa na baadaye kuwekwa ndani, Central Police.

Polisi wanaeleza muda huu kwamba leo atalala ndani hadi kesho atakapofikishwa mahakamani.

Kosa ni kuwanyima Polisi taarifa binafsi za wateja wa mtandao wa JamiiForums zilipohitajika. Maxence ameendelea kushikiria msimamo kuwa ni uvunjwaji wa sheria na haki za wananchi kufanya hivyo.

Taarifa zaidi baadaye
Aiseeee
 
Maxence Melo, Mkurugenzi Mtendaji wa jamiiForums amekamatwa na jeshi la polisi, kituo cha kati Dar.

Polisi wanaeleza kuwa kesho atafikishwa mahakamani kwa kosa la kushindwa kutoa ushirikiano kwa mamlaka.

Ni kuhusu makosa ya mtandao. Polisi wamekuwa wakishinikiza awape majina ya watu wanaowahitaji kutoka mtandao wa jamiiForums.

Kesho atapanda kizimbani.

Taarifa zaidi baadaye.
 
Back
Top Bottom