Kwa hiyo leo atalala hukoMkurugenzi mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo, ameitwa na baadaye kuwekwa ndani, Central Police.
Polisi wanaeleza muda huu kwamba leo atalala ndani hadi kesho atakapofikishwa mahakamani.
Kosa ni kuwanyima Polisi taarifa binafsi za wateja wa mtandao wa JamiiForums zilipohitajika. Maxence ameendelea kushikiria msimamo kuwa ni uvunjwaji wa sheria na haki za wananchi kufanya hivyo.
Taarifa zaidi baadaye
Noma sana !Maxence Melo, mkurugenzi mtendaji wa jamii forums amekamatwa na jeshi la polisi, kituo cha kati Dar.
Polisi wanaeleza kuwa kesho atafikishwa mahakamani kwa kosa la kushindwa kutoa ushirikiano kwa mamlaka.
Ni kuhusu makosa ya mtandao. Polisi wamekuwa wakishinikiza awape majina ya watu wanaowahitaji kutoka mtandao wa jamii forums.
Kesho atapanda kizimbani.
AiseeeeMkurugenzi mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo, ameitwa na baadaye kuwekwa ndani, Central Police.
Polisi wanaeleza muda huu kwamba leo atalala ndani hadi kesho atakapofikishwa mahakamani.
Kosa ni kuwanyima Polisi taarifa binafsi za wateja wa mtandao wa JamiiForums zilipohitajika. Maxence ameendelea kushikiria msimamo kuwa ni uvunjwaji wa sheria na haki za wananchi kufanya hivyo.
Taarifa zaidi baadaye
Mbona unajishtukia mkuuHata sisi humu JF pia hatuko tena Salama.
Mkuu hilo neno vinginevyo humu ndani tutaumia. Nikiona mwelekeo mbaya nakimbia NchiAisee tuchange hela kwa ajili ya kumuwekea Wakili mzuri
Ndio hivyoKama ni hivyo basi no more freedom
Kabisa mkuu.Mungu ampiganie.
Timu ya Mods itaendelea kuwajulisha kinachoendelea
Hupaswi kukomenti unapaswa ukae kimya mpka siku atakapo furaiKabisa mkuu.
Taarifa zaidi tuzipate, watu wajue kabisa kuhusu privacy na JF.
Pia itasaidia watu kujua binafsi nini cha kufanya pamoja aina ya comment na post ziwe vipi, msipotujulisha mtakuwa mnatunyima haki sisi members wa Jf.
Kwani hili jukwaa lina tatizo gani ...