Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 673
- 859
Afande Hamduni hongera sana kwa kuaminiwa.
Takukuru Tanga inakila sababu ya kumulikwa kwani inaungana na wanaotuhumiwa.
Wapo watumishi wasio waadilifu pale zikitolewa taarifa za rushwa wanawapa taarifa wale waliotuhumiwa.
Takukuru Tanga wananunulika kwa uwazi kwani mlalamikaji anawekwa mahabusu na mlalamikiwa akichapa mkono kisa ana hela na cheo.
Kuna kesi za ardhi kuuzwa marambili na hela kutofika Serikalini lakini hakuna jipya kutoka kwao. Yupo bwana ardhi anasema hao ni wenzetu
Takukuru Tanga wanakatisha tamaa wapinga rushwa,hawajui maana ya kutunza siri wanasaliti kazi yao,ubinafsi umewajaa baadhi ya watumishi
Takukuru Tanga inakila sababu ya kumulikwa kwani inaungana na wanaotuhumiwa.
Wapo watumishi wasio waadilifu pale zikitolewa taarifa za rushwa wanawapa taarifa wale waliotuhumiwa.
Takukuru Tanga wananunulika kwa uwazi kwani mlalamikaji anawekwa mahabusu na mlalamikiwa akichapa mkono kisa ana hela na cheo.
Kuna kesi za ardhi kuuzwa marambili na hela kutofika Serikalini lakini hakuna jipya kutoka kwao. Yupo bwana ardhi anasema hao ni wenzetu
Takukuru Tanga wanakatisha tamaa wapinga rushwa,hawajui maana ya kutunza siri wanasaliti kazi yao,ubinafsi umewajaa baadhi ya watumishi