Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,335
- 3,902
bonus 5%, huoni alivyoandika?Na ndio unayolipwa 100% ya michango yako na bonus ya 25% sasa huelewi nini?
bonus 5%, huoni alivyoandika?Na ndio unayolipwa 100% ya michango yako na bonus ya 25% sasa huelewi nini?
tatizo wengine ni wanafunzi wanachangia tu hawako bado kwenye ajirWewe uwe unaelewa, kama ulichangie sh 50 mil maana yake ni kuwa hiyo ni 20% sasa wewe unalipwa 25% kwa mkupuo sawa na sh 62.5 milioni.
Kama Hisabati hujui hata QM inakushinda mkuu?!
wewe ndio unapotosha, 100%-25%=?Siyo hivyo acha kupotosha, tena mkurugenzi Irene ametoa mfano kwamba mtu aliyechangia sh 8 milioni atalipwa 10 milioni kwa mkupuo!
hii ndio summary rasmi ya dk IreneKama 20% yako imekutengenezea milioni 100 then 25% utakayolipwa kwa mkupuo ni milioni 125 very simple!
Achana na huyo kiazi mfiringo, yaan 25% ya malipo ya mkupuko uliyochangia kwa miaka mfano 30 ni sawa na mchango wako wa 20 au 25% ya mchango wako kwa mwezi?? Ivi ni hesabu za wapi hizi, kwanza ingefaa apewe yote 100% na aendelee kupata kiasi fulan kila mwez kutokana na future value ya hyo pesa uliyochangia miaka yote na faida iliyotengeneza kwa mirad iliyoekezwaBado nasema kama kuna mashirika nchini yanaendeshwa na viazi kama ninyi ni hasara kubwa kwa Taifa.
Kwanza mi si mwana chadema ni kada pyua.
Pili mahesabu kwangu ndo mchezo wa kila siku.
Tatu mtu kama ninyi kutetea ujinga aliosema huyo mama wa SSRA, ambaye eti ana Phd , ndo unaelewa kuwa malalamiko ya degree zinazopatikana isivyo halali kama alivyodai Dr Viscensia Shule, zina matatizo makubwa katika uchumi wa Taifa.
Usijifiche ati mambo ya finance, hizo ni simple arithmetics.
Kama katika hii mada huelewi basis ya calculations za percentages za 20% ya michango inayokatwa kuwa ni TOFAUTI KABISA na percentage ya 25% ya jumla ya makato kama alivyo fanya huyo mama, basi wote mna degree za vyupi.
Mwenyewe anahisi mchango wa mwajiri ni hisani, anasahau kuwa ile ni makubaliano ya mwajiri na jasho la mwajiriwa.Ingekuwa hisani mwajiri angetoa huo mchango kwa wasiokuwa na ajira.Mifuko isikimbie ukweli.unajua ni kwa nini wanamuongezea?kwa nini wasiwape watu wasiokuwa na kazi yaani wa mitaani?
===
Kama kweli hawajamlisha maneno huyo Mama:
Yawezekana na mimi ni kilaza, ebu tutumie hesabu za MAGAZIJUTO kujadili hili.
====
1. Tufikirie amefanya kazi serikali miaka 20 ; mwanzo alikuwa analipwa 400,000/= kwa mwezi ilipofika miaka 10 akapandishwa mshahara mpaka 600,000/- ; baadaya miaka 15 akapandishwa mpaka 800,000/= mpaka anastaafu; .
2.Tufikiria yeye alikuwa anachanga 5% na serikali/mwajiri 15%. Jumla michango 20%;
3.Tufikirie fomula iliyotumika kukokotoa kiinua mgongo ilitumia mshahara wa 600,000/=;
4. Tufikirie kutotambua 'factors' nyingine zaidi ya hii ya makato tu ya pension.
=====
5. Idadi ya miezi ya kuchangia pension ni 20 X 12 = miezi 240
6. Kiasi halisi kilichochangwa na mfanyakazi huyo kwa mwezi kutoka kwenye mshahara wake wa, tuseme 600,000/=, ni (5/100) x 600,000 = 30,000/=
7. Jumla ya kiasi alichochanga kwa miezi 240 ni 30,000 x 240 =7,200,000/=
8. Kwa kutumia namba 5, 6 na namba 7 hapo juu, mwajiri alichangia (tukitumia 15% iliyosemwa namba 2 hapo juu) kiasi cha 21,600,000/=
9 Jumla ya kiinua mgongo chote kwa mstaafu tukitumia namba 7 na 8 hapo juu ni 28,800,000/=
10. Asilimia 25 ya kiinua mgongo chote ni 7,200,000/=.
=====
Hesabu zangu, za kutumia mambo ya wastani na kiwango sawa, zinaniambia, hiyo 25% ni ela ya mstaafu aliyochangia mwenyewe. Ile aliyochangiwa na mwajiri inabaki kwenye mfuko. Hakuna ziada kwenye malipo ya 25% kutoka kwa ela iliyochangwa na serikali/mwajiri.
(ONYO:Hizi hesabu zangu ni kwa minajiri ya kuboresha mjadala hapa jukwaani na zinaweza kuwa na makosa uzitumie kwa uangalifu, mimi kama TUJITEGEMEE wala JF hatutahusika kwa lolote ukizitumia na baadaye zikakuletea matatizo).
====
11. Swali: Mfanyakazi aliyestaafu kwa kulipwa 800,000/= kwa mwezi, je. pensheni yake ya kila mwezi analipwa shilingi ngapi?
12. Tukipata majibu ya swali lilipo namba 11 hapo juu tutajua kiasi alichochangiwa na mwajiri atalipwa chote kwa muda wa miezi mingapi, kabla ya Serikali/mfuko kuanza kumlipa ela za bure mpaka 'umauti' unapomfika kama huyo Mkurugenzi wa SSRA anavyofafanua.
-------------
Yangu ni hayo. Zingatia onyo kwenye post hii.
Irudi sheria na kikokotoo cha awali,
Huyu mama ni mtaaluma PHD holder wa Econometrics. Nilifuatilia wakati anaongea siku ile alitolea mfano wa kuongeza mke wa pili akimaanisha kwamba maisha ya mwanadamu hayaridhishi wakati wote, kila akipata hiki atataka na kile (rejea Maslow's hierachy of need). Katika mazingira hayo utakuta mstaafu akipata pesa mingi anajikuta mahitaji yake "yanashift upward" na anaweza kujiingiza hata kwenye mahitaji yasiyo ya lazima.
Pili: tunakubaliana kwamba "mtihani mkubwa kwa wastaafu wote huwa ni jinsi ya kutunza ile mafao ili yasiishe haraka, yamsaidie. Katka hili, wastaafu wengi hujikuta wakichekwa au wastaafu wenyewe kwa wenyewe wanachekana kwa kumaliza hela bila kuwa wamefanya jambo lolote la msingi. Mintarafu, ni hekma kubwa kwa serikali kuamua kuwapunguzia "mtihani huu" wazee wetu ili waishi hadi wafe na pesa zao. Wasife masikini.
Nadharia ya ulipaji mafao inakubaliana na wanachosema hawa SSRA kwa niaba ya serikali kwamba; mafao ni haki yake mstaafu akiwa hadi umauti unapomkuta. Mstaafu hawezi kufa akaacha mafao. Anayekufa mwaka wa kwanza amekweda na stahili yake imeishia pale na atakaye kufa na miaka 150 naye atakula pensheni mpaka mwisho wake, wala hatakuwa amekula zaidi. Kwa kifupi, pensheni inakua due pale inapokuwa claimed, pensheni ya mwezi ujao SIO haki ya mstaafu ya mwezi huu, ni mpaka afike mwezi ujao!
Hesabu zake bado haziniingii akilini. Labda niulize, alimaanisha mtumishi akistaafu ANALIPWA 25% YA MSHAHARA WAKE AU 25% YA PENSHENI YAKE!!? JE NINI TOFAUTI YA ULIPWAJI MAFAO KABLA YA SHERIA KUPITISHWA NA BAADA YA SHERIA HIYO KUPIGISHWA!!? JE WASTAAFU WA SASA WANAFURAHIA ONGEZEKO HILO LA 5%%
Kanuni ya kikokotozi wa mafao ya wastaafu iliyokuwa inatumika kabla ya hii mpya haikuwa na malalamiko makubwa kama hii....
Labda nikuulize swali moja na kisha na wewe ukipata nafasi ukamuulize Dr General wa SSRA atujibu wafanyakazi...
Kwamba, kwani kikokotozi cha mwanzo kilikuwa na shida gani hata wanatuletea hiki cha kinyonyaji na cha ajabu kabisa?
jambo hili wakitaka kuondoa malambano ni kutulipa chetu chote tulichochangia pamoja na kilichototolewa na serikali kwani serikali si ndivvyo tulivyojipangi,mbona msiwachangie wasio kuwa na kazi?
Huo ni mfano mzuri sana, kingine cha kuongezea ni kwamba huyu mwanachama bado atalipwa pension up to 80% ya 600,000.00 ambayo ni sawa na 480,000.00 kwa mwezi, kwa hiyo atakuwa kama bado yuko kazini.
Haswaa. Hifadhi ya jamii vs Amana za Benki ni vitu vinavyochanganywa kwenye mjadala. Ukweli Kuhusu Mafao ya PSSSF Sheria Mpya ya Kustaafu - JamiiForums
Nataka Pesa Zangu Zote wakati wa kustaafu - JamiiForums
Anasahau wengi walalamikaji Ni wa mifuko wanachama waliokuwa mifuko ya LAPF na PSPF ambao wengi ni waajiriwa wa Serikali.Hii mifuko warudishe kama zamani kwenye hiyo mifuko.Alaa, kumbe kwako wewe hiki kinachoendelea hata kwenye mjadala huu uliouanzisha kufuatia kauli ya PhD holder wa SSRA mwanamama yule ni kitu gani bwana?
Wanapongeza siyo? Wanagongeana glass za champagne siyo kushangilia kikokotoo dhalimu?
Kwa taarifa yako mimi hapa tunayechat nawe ni mtumishi wa umma tena ktk taasisi nyeti kabisa ya serikali.
I am complaining. I am absolutely against this stupid decision!!
Ikumbuke siku nayo mchangiaji atakapo taka itungwe kanuni ya michango ilipwe na riba hapo ndio akili zitawashika hao wanyonyaji.Huo ni mfano mzuri sana, kingine cha kuongezea ni kwamba huyu mwanachama bado atalipwa pension up to 80% ya 600,000.00 ambayo ni sawa na 480,000.00 kwa mwezi, kwa hiyo atakuwa kama bado yuko kazini.
Cha kuzingatia formula za pension hazizingatii accumulated amount, isipokuwa idadi ya miezi aliyochangia na average salary, nazani itakuwa ya miaka mitano au mitatu kama sikosei.
Lakini degree yake ya kyupi inampa mpunga kuliko wako na mkeo mkijumlisha na ma ex wenu wote tangu mvunje ungo or sorry we kidume kumbe!Bado nasema kama kuna mashirika nchini yanaendeshwa na viazi kama ninyi ni hasara kubwa kwa Taifa.
Kwanza mi si mwana chadema ni kada pyua.
Pili mahesabu kwangu ndo mchezo wa kila siku.
Tatu mtu kama ninyi kutetea ujinga aliosema huyo mama wa SSRA, ambaye eti ana Phd , ndo unaelewa kuwa malalamiko ya degree zinazopatikana isivyo halali kama alivyodai Dr Viscensia Shule, zina matatizo makubwa katika uchumi wa Taifa.
Usijifiche ati mambo ya finance, hizo ni simple arithmetics.
Kama katika hii mada huelewi basis ya calculations za percentages za 20% ya michango inayokatwa kuwa ni TOFAUTI KABISA na percentage ya 25% ya jumla ya makato kama alivyo fanya huyo mama, basi wote mna degree za vyupi.
Hapo 10. pana makosa ya tafsiri. Inaonekana pia dhana ya hifadhi ya jamii haijaeleweka vizuri. Rejea Nataka Pesa Zangu Zote wakati wa kustaafu - JamiiForums
Kikokotoo cha sasa hivi kilianza kutumika mwaka 2014. 1:1. Rejea Ukweli Kuhusu Mafao ya PSSSF Sheria Mpya ya Kustaafu - JamiiForums
QFT. Ukweli Kuhusu Mafao ya PSSSF Sheria Mpya ya Kustaafu - JamiiForums
Formula ni ileile iliyokuwepo toka Julai 2014. Nataka Pesa Zangu Zote wakati wa kustaafu - JamiiForums
Mlenge,
Kikwetu "Mlenge", maana yake ni "chumvi".....
Kwetu ni wapi? Ukiniuliza kwa wakati wako na tukiwa wawili tu nitakueleza....
Anyway, lililo muhimu kwa sasa ni mjadala ulio mezani....
....
Narudia tena kusema, kwa maoni yangu sheria siyo mbaya....
Shida iko kwenye kanuni tena kipengere kidogo tu ambacho kikirekebishwa na elimu kutolewa kwa wafanyakazi, nina hakika hakutakuwa tena na msuguano unaendelea sasa.....
....
QUOTE]
Na miye kikwetu maana ni hiyohiyo "chumvi". Labda kwetu kumoja...
25% ni 1/4 ya kitu gani?
Mkurugenzi mkuu wa SSRA bi Irene amesema mfanyakazi anachangia mifuko ya jamii kwa utaratibu wa 10% na mwajiri 10% au 5% na mwajiri 15% na kwa utaratibu wowote ule mchango wake ni jumla ya 20% ya mshahara wake.
Unapostaafu unalipwa kwa mkupuo 25 % ya mshahara wako je huoni kama tayari una faida ya 5% na bado utaendelea kupokea pension yako ya mwezi hadi ufe?
Irene amewaomba radhi wale wenye matatizo ya lugha kwani wakati ule wa semina elimishi kwa wastaafu alitumia lugha ya kitaalamu zaidi huenda ndio sababu hata Bulaya hakumuelewa.
Chanzo: Clouds 360!
Na wewe na kyupi yako vile vile?Lakini degree yake ya kyupi inampa mpunga kuliko wako na mkeo mkijumlisha na ma ex wenu wote tangu mvunje ungo or sorry we kidume kumbe!
Mwambie watoe na hiyo 5% ibaki 20% kama ambavyo anadai ndiyo stahiki ya watumishi,nyau kabisa!
Yaani mfano nichangie 20% kila mwezi,tuseme hiyo 20% ni sawa na 150,000/- kwa mwezi, nifikishe jumla ya mil 50 kwa kipindi chote cha utumishi!
Halafu uje unipe 25%, sawa na mil 12.5 ya mil 50 niliyochangia!
Halafu useme hata hiyo umenifanyia hisani wakati ni wizi wa mchana kweupe?Pumbav kabisa!
Mbona huyu mama ni kilaza sana. Halafu ni PhD holder!