Mkurugenzi KADCO: Ndege ilibeba watalii

Papasa

JF-Expert Member
Nov 2, 2018
1,942
4,127
Mbona kama ufafanuzi umekua mwingi, siku zote hua najisemea ukiona ufafanuzi umeanza kua mwingi ujue kuna kitu hakipo sawa

===
"Wananchi waelewe kuwa ndege ile sio mara ya kwanza kutua kwenye uwanja wa KIA, ilishatua huko nyuma, nilivyoona ile taarifa mitandaoni nilishanga sana kwa sababu hawa wanaokuja na ndege ni watalii"

"Huko nyuma tulilia sana wakati wa COVID - 19 kwamba hatuna biashara, watalii hawaji, sasa serikali imetoka imetangaza na kujenga mahusiano bora huko duniani, sasa tunaanza kupokea wageni wa hadhi tofauti tofauti, badala watu watafakari hilo wanaenda kubuni stori ambazo hazima matiki"- Christine Mwakatobe, Mkurugenzi Mtendaji wa KADCO - Uwanda wa ndege wa KIA
Screenshot_20230114-185552_1.jpg
 
Mbona kama ufafanuzi umekua mwingi, siku zote hua najisemea ukiona ufafanuzi umeanza kua mwingi ujue kuna kitu hakipo sawa
Nimefuatilia huu mkutano kupitia zoom. Nilijuta kwa nini sikuweka link. Niliwasikia na kuwaona viongozi akiwemo Mhe. Waziri Balozi Pindi. Ukweli kuna mageuzi makubwa sekta ya utalii, ambapo kuondoa usumbufu kwa watalii zipo ndege zinaweza kutua karibu na viwanja vya ndege karibu na hifadhi au ndani. #Tatizo walichelewa kutoa ufafanuzi. Ila nawapongeza mno Watch Tanzania kuandaa mkutano wa leo. Tutafute taarifa sahihi kabla ya kuongea humu🙏🙏🙏
 
Tupotezee na mandoga tusahau.
Kama tunaweza kusema mungu analinda uchumi wa taifa wakati waendesha uchumi ni serikali wanashindwa
kukwambia treni ya mafuta used ndio treni ya umeme kuliko zote duniani.
 
Back
Top Bottom