nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
hiyo sababu haina uzito kamwe...
Kwa ninavyomfahamu Hidaya ana elimu ya Uzamili katika Uongozi......Kama anasifa wamuache afanye kazi maana umasikini wa nchi hii umesababishwa na hao makada wa chama
Gazeti uchwaraMkurugenzi mpya wa wilaya ya Tarime mkoani Mara, Bi Hidaya Sanga ameenguliwa ktk safu ya wakurugenzi muda mfupi kabla ya kuapishwa kwa kudaiwa kuwa ni kada wa ACT-Wazalendo.
Nadhani huko sasa siko!
Chanzo: Taanzania Daima
Ni sawa kuenguliwa!Mkurugenzi mpya wa wilaya ya Tarime mkoani Mara, Bi Hidaya Sanga ameenguliwa ktk safu ya wakurugenzi muda mfupi kabla ya kuapishwa kwa kudaiwa kuwa ni kada wa ACT-Wazalendo.
Nadhani huko sasa siko!
Chanzo: Taanzania Daima
Tulisikia kuwa wote walioteuliwa anawajua vizuri na ni wachapakazi. Sasa hapo sijui vipi.Mkurugenzi mpya wa wilaya ya Tarime mkoani Mara, Bi Hidaya Sanga ameenguliwa ktk safu ya wakurugenzi muda mfupi kabla ya kuapishwa kwa kudaiwa kuwa ni kada wa ACT-Wazalendo.
Nadhani huko sasa siko!
Chanzo: Taanzania Daima
Ndiyo umeandika nini hiiKwa qualifications za kuteuliwa kuwa DED ni sharti uwe kada wa ccm?Mbona kuna maDED ambao ni makada wa ccm hawatumbuliwi.
ahahahaHaya mzee wa kupitia jina mojamoja na kulala saa nane za usiku njoo huku maana nasikia upo uje utuambie huyu alipitia lile dawati la watumishi madili?
Mzee wa kamba ila ndo hivyo sisi tunaokupinga humu JF tupo imara na lazima kwetu uombe poo!! Msimu huu tumekuja kivingine na ni kizazi kingine! Vibaraka humu wanaomba poo kila kukicha!
Mwendokasi hoyeeee!
AliapishwaKama raisi alikua anafanya kazi kwa miezi minne na analala sa nane usiku ili kujiridhisha na hayo majina iweje sasa amteue mtu then atengue kabla ya kumuapisha?? Hii ilitokea pia kwa DC mmoja. Mbona kazi tunayo.
Acha majungu,watu wamekesha usiku kuyafanyia kazi hayo majina halafu unasema eti ni kada wa act?
Hivi Rais kutoa hotuba kwa kuelezea uhalisia ni kulalamika? Tatizo la nchi hii tumezoea Umbeya wanasiasa wanafanya siasa za umbeya, waandidhi wanaandika umbeya, watangazaji wanatangaza umbeya, watendaji wanatenda kazi kiumbeya umbeya, wazungumzaji mtaani wanazungumza umbeya, wahubiri makanisani na misikitini wanahubiri umbeya na kuacha kuhubiri neno la Mungu, wahadhiri vyuoni unafundisha umbeya, baba na mama wanalea watoto wao kiumbeya mbeya ndiyo ktk familia uongo unazidi,
wazazi wanasengenya jirani yao mbele ya watoto, watoto nao wanaenda kusengenya wao kwa kwao, makanisani na miskitini binti akipata mchumba anapigwa umbeya umbeya mpk mchumba anakata tamaa tatizo nchi imekuwa ya kiumbeyaumbeya hakuna vitu serious ktk nchi ndiyo maana ktk nchi hii ukiingia ktk social Media 80% utakachokutana nacho ni umbeya tupu, watu wameamua kutumia black propaganda kuendesha maisha, sasa mmempata kiongozi asiyeendana na umbeya mmeanza kumletea umbeya Mara analalamika, Mara dikteta Mara anawaminya kueneza umbeya kwa sasa tulishafanya umbeya sehemu ya maisha yetu.
Utajiju ila usimshangae Raisi wetu, nawe kama ni mmoja wao... Ni hapa kazi tu
La viwavi wa kijani na njano pale lumumba.[/QUOTE]QUOTE="mzurimie, post: 16831670, member: 57388"]Tanzania daima ni gazeti la nani tena?