lete sourceNi mkurugenzi mteule wa Tarime Mji Hidaya Adam Usanga, inadaiwa ni mwanachama wa ACT Wazalendo.
Shabiki mandazi mwingine huyu hapa.Utajiju ila usimshangae Raisi wetu, nawe kama ni mmoja wao... Ni hapa kazi tu
Waliokua wanamfatilia awakujua kama hana vigezo? Kwanini walimchagua kama hana vigezo? Yeye hana kosa waliomchagua ndio awajielewi.Acha uongo, wapi imeandikwa sababu ni hivyo?
Mbona kama alifoji labda cheti hausemi, unakaa kutunga tu?
Nchi nyingibzilizoendelea nazo zinafanya hivyo ya kukuchunguza na kukutema hata kama umekaa ofisini siku moja...unazidi kuchunguzwa na ndio maana ukipewa kazi sehemu nyingi unakuwa under prob... Haswa pengi kwa miezi sita...
Huyo kama alijua kafoji..(nachohisi mie au kuna la zaidi) kikubwa angewahi kujitoa mapemaaaa
Afu katumia miezi minne dahMagu si wa kumuamini.Kama alikesha na kupitia jina moja baada ya lingine haya yanatokea wapi?Subirini na mengine.
Huwezi kufanya kazi na Rais,ambae huamini katika sera za chama chakeKama anasifa wamuache afanye kazi maana umasikini wa nchi hii umesababishwa na hao makada wa chama
Maandalizi mapemaHii ya wakurugenzi kuwa makada wa ccm ni maandalizi ya uchaguzi 2020? Mkugenzi wa ccm ataweza kumtangaza mshindi wa upinzani kweli?
Uongo na hisia.... hakuna mkweli hapo! Unamwabia mwenzako acha uongo.... na wewe unamalizia kwa kusema unahisi kafoji vyeti.
Uongo Vs Hisia..hapo patamu.
Shabiki mandazi mwingine huyu hapa.
Waliokua wanamfatilia awakujua kama hana vigezo? Kwanini walimchagua kama hana vigezo? Yeye hana kosa waliomchagua ndio awajielewi.
Kwani si amekula kiapo kuilinda na kuitetea katiba ya JMT?Hii ya wakurugenzi kuwa makada wa ccm ni maandalizi ya uchaguzi 2020? Mkugenzi wa ccm ataweza kumtangaza mshindi wa upinzani kweli?
Hahahaha,sasa kama walikeshea majina haya ya kutumbuliwa at last yanatokea wapi
Acha majungu,watu wamekesha usiku kuyafanyia kazi hayo majina halafu unasema eti ni kada wa act?