Menyainganyi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2013
- 1,170
- 1,106
Mkuu 1954...,Kesi hii inaendelea, kuandika hivyo ni kuingilia uhuru wa mahakama...unaweza pia kushitakiwa ...comrade jihadhari sana na mambo ya mahakama, ni ushauri tu kwako.
Mahakama inaweza kutumia pia viji maneno vya JF kufanya maamuzi yake...?
Au wewe una mpango wowote kuisaidia mahakama hiyo taarifa hizi ili ziweze KUMSAIDIA Hakimu kumaliza kesi mapema...??!