Mkurugenzi alivyoibua vituko kesi ya Kafulila

Mkurugenzi alivyoibua vituko kesi ya Kafulila

Wampeleke Jaji Lubuva kwenye hizi kesi ili awe anasikia madudu ya uchaguzi maana kila siku anaonekana kweye media akisema uchaguzi unaendeshwa kwa uhuru na haki. This is a shame! hata kwa maelezo tu, mimi si mwanasheria lakini naona wazi kabisa michezo michafu ambayo inafanywa na hawa Wakurugenzi.
Acha mhemko ,mchezo nchafu na nsafi ni upi au jauri tu
 
Hivi kweli mtu anakataa asijumlishe fomu alizosaini mwenyewe za matokeo na hakimu anakaa kimya bila kumuamrisha ajumlishe?
 
Waache waisome namba wenyewe si wameipenda wenyewe
 
Nitashangaa sana kama jaji wa kesi hii atarule in favour of husna!
Mimi sitashangaa, hiki chama cha majambazi wa mchana na usiku hakuna linaloshindikana kwao linapokuja suala la kutetea maslahi na matumbo yao
 
Mkurugenzi gani kihiyo hivyo!
 
Back
Top Bottom