Mambo ya ccm wewe yanakuwashia nini?Mzee tambua njia mojawapo ya watu kutokukuunga mkono ni kwa wao kuchagua kukaa kimya wakati ambapo wanatakiwa kusema jambo.
Mnajifanya hamumpendi na wala hamtaki kumsikia,lakini kumbe mnamfuatilia.
Wachukueni basi hao waliojiweka pembeni wakuongezeeni nguvu