DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,961
"CCM mbadilike?" Kwahiyo nawewe kila anayoisema cdm ni CCM? Walahi ww ni zuzu zero!...... akili finyu utazitambua tu, maana kila lisemwapo la kukosoa mfumo mbovu wanakimbilia kusema ni CDM. Bora hata wangeona UKAWA, na pengine baadhi ya watoa maoni hawajipambanui na chama cho chote cha siasa. ccm badilikeni msibaki na akili za "robot"