Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
- Thread starter
- #41
Achaneni na Mkulo huyo. Anatumiwa tu kama vibaraka wengine!
Mishahara wanalipa kwa kubangaiza. Mwezi wa kwanza mwaka huu katika Wilaya niliyoko walileta mshahara ukiwa na nakisi ya Shs.28 Mil!!! Halmashauri ikabidi ijazie kutoka deposite!! Bajeti za mwaka ujao za DADPs zimekatwa kwa asilimia 50%!!! Kipengele cha ugani wamekata kabisa!!! (Kilimo kwanza oyee!!!). Halafu anasema Serikali ina hela za kutosha!!!!
Mr. Mkulo tell it to the mountains!!!!
Taabu ya watu kama akina Mkulo na mawaziri wengi tu wanafikiri matumizi na mapato ya serikali ni siri za serikali!