The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
Serikali imekopa hadi wahisani wameishtukia
Nyambala nimerudia hizo hesabu na kujiuliza:
Mwezi Disemba mishahara 243.80 bilioni
Mwezi Januari mishahara 240 bilioni (punguzo la bilioni 3)
Mwezi Machi Mishahara 249 bilioni (ongezeko la bilioni 9)
Mwezi Aprili Mishahara 246.70 (punguzo la bilioni 3 hivi)
Najiuliza kulikuwa na tatizo gani la Ajira huko serikalini? wanaajiri sana au wanatimuana sana? Au mishahara inabadilika mara kwa mara? au hii inajumlisha na posho zote n.k? Vyovyote vile ilivyo sijui kama hesabu hizi zinaakisi ajira halisi iliyopo serikalini.
Unapokuta makusanyo ya kodi ni kwa ajili ya mishahara tu, jua huko mbele lazima tutakwama! Kama ni uchumi basi huku ni kudesa onto bila kuwa uwezo kujua unachokidesa!
Kwa wastani hapa ni kuwa kila mwezi serikali hutumia 244.875bn kwa mishahara....ikiwa tufanye wastani wa mishahara kwa kada zote ni 1,000,000 ina maana serikali ina watumishi 244,875?
Watumishi wako around 500,000 kama ulifuatilia hotuba ya Raisi alipoongea na wazee wa DSM wakati anajibu madai ya Vyama vya Wafanyakazi
Nyambala nimerudia hizo hesabu na kujiuliza:
Mwezi Disemba mishahara 243.80 bilioni
Mwezi Januari mishahara 240 bilioni (punguzo la bilioni 3)
Mwezi Machi Mishahara 249 bilioni (ongezeko la bilioni 9)
Mwezi Aprili Mishahara 246.70 (punguzo la bilioni 3 hivi)
Najiuliza kulikuwa na tatizo gani la Ajira huko serikalini? wanaajiri sana au wanatimuana sana? Au mishahara inabadilika mara kwa mara? au hii inajumlisha na posho zote n.k? Vyovyote vile ilivyo sijui kama hesabu hizi zinaakisi ajira halisi iliyopo serikalini.