Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu...........!!!!!!

Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu...........!!!!!!

hakuna kushusha maegi yaache kwenu ndo uinie kwake mda wowote ni muhanga ......
 
I let my intuition guide me. And am never wrong.If we as women learnt to listen to our inner voices we would avoid alot of heartache.

What's your inner voice telling you now? Does it sound like it's got a frog in it's throat?
 
yangu halisi ni zaidi ya hiyo, hali itakuwa mbaya zaidi
Jaribu kuweka uone utakavyoshushuliwa. Au kama unapenda uendelee kusulubiwa kwa kutumiwa vimemo vya dada nakupenda, wewe mzuri kuliko wema, una mzigo kuliko snura n.k. endelea kuweka hii.
 
wengi wenu..

1. wana kiburi sana kwenye jamii
2. Hawana nidhamu kwenye mambo mengi sana ya kijamii
3. Kiburi na kutaka kutawala kwenye mahusiano hutokea na ndoa maana huwa wana migogoro mingi
4. Si wavumilivu kabisa!!

and those are the facts..

Who says SO!!!!!!!

the red Part...I'm the exceptional..I don't fall in that group
 
wa kushushua hawakosekani si unajua tena watu kwa wivu lakini kama nilivokwambia yangu halisi ni zaidi ya hiyo. so wacha nisitafute matatizo zaidi.
Jaribu kuweka uone utakavyoshushuliwa. Au kama unapenda uendelee kusulubiwa kwa kutumiwa vimemo vya dada nakupenda, wewe mzuri kuliko wema, una mzigo kuliko snura n.k. endelea kuweka hii.
 
Tatizo wengi tunapo ingia kwenye mahusiano tunafikiri yatafikia ndoa,kumbe kuna mahusiano yanakuwa kama lesson.
 
Sasa kuna jamaa kahamia mkoani, kapata mdada kampiga soundoooo mdada kakatikaa weee akijua kapata mtu wa maana. Dar jamaa ana mke na mtoto km si wawili. Huko mkoani kahamia peke yake family kaiacha hapa town. Jibaba kaenda mpaka kujitambulisha kwa wazazi wa mwanamke, tatizo likaja demu alipota ujauzito jamaa hataki tena kumuona, demu si akaenda ofisini kwa jamaa kupata suluhu ofisi nzima haijui jamaa ana mke. Ofisini wakamtafuta aliyekuwa bosi wa jamaa ambaye yupo hapa dar eti awasuluhishe wachumba. Boss akawaambia nisuluhishe nini wakati huyo jamaa ni mme wa mtu? Maskini bidada siju ana hali gani na ujauzito wake wa miezi nane sasa
 
wa kushushua hawakosekani si unajua tena watu kwa wivu lakini kama nilivokwambia yangu halisi ni zaidi ya hiyo. so wacha nisitafute matatizo zaidi.
Kuna jamaa amenuma sikio na kunieleza kuwa wanawake hufurahi wanapotongozwa. Ati akitoka home asubuhi na kurudi jioni bila kusikia psuuuuu, au dada mzuri ingawa nungaembe wa kutupwa au nakupenda huwa mnapata wakati mgumu hadi kwenda kwa masangoma ati msafishe nyota. Kumbe ndo maana unag'ang'ania hii ibaki. Lakini weka uhalisia halafu urudishe hii ili watu wachoke ile mbaya.
 
situation za kutongozwa zinakuja tofauti tofauti,utajaribu kumpima mtu kadri uwezavyo ujue yeye ni nani pamoja na wewe mwenyewe ni kiasi gani umempenda,..YOU CANT PREVENT HEARTBREAKS HT KM UMEMJUA MTU ALL UR LIFE..LOVE IS A RISK

heartbreaks hazizuiliki, usipozipata kabla ya ndoa utazipata kwenye ndoa. that's life, hata ikitokea hutakiwi kuanza kulia, all u have to do is to move on with ur life as if nothing happened, if possible u start afresh
 
Kuna jamaa amenuma sikio na kunieleza kuwa wanawake hufurahi wanapotongozwa. Ati akitoka home asubuhi na kurudi jioni bila kusikia psuuuuu, au dada mzuri ingawa nungaembe wa kutupwa au nakupenda huwa mnapata wakati mgumu hadi kwenda kwa masangoma ati msafishe nyota. Kumbe ndo maana unag'ang'ania hii ibaki. Lakini weka uhalisia halafu urudishe hii ili watu wachoke ile mbaya.

the good thing about mapenzi, kuna watu wanawapenda hoa ambao wengine mnawaona manungaembe wa kutupwa. afu utakutwa wanapendwa na watu wenye heshima zao ati. mapenzi hayana formular
 
the good thing about mapenzi, kuna watu wanawapenda hoa ambao wengine mnawaona manungaembe wa kutupwa. afu utakutwa wanapendwa na watu wenye heshima zao ati. mapenzi hayana formular

licha ya formula....!

mapenzi hayana macho wala masikio wala miguu wala kichwa wala adabu!
 
heartbreaks hazizuiliki, usipozipata kabla ya ndoa utazipata kwenye ndoa. that's life, hata ikitokea hutakiwi kuanza kulia, all u have to do is to move on with ur life as if nothing happened, if possible u start afresh
Ngoja niachane na huyu kichwa ngumu DEMBA tuanze matanga ya Jack (bofya) tuone kama atarudi kutoka Macau. Angelikuwa Nung'aembe tusingeumiza vichwa vyetu.
 
Huyo wa second scenario bora utafute mbinu ya kumwambia. Unachoweza kufanya tafuta mtu wa mkoa ampigie cm kumwambia a to z yaani wewe ujifanya haumo ktk hilo. Ukiweza pia kama una number ya huyo dada wa mkoa basi mpe mpiga cm ili kama atataka kukomfirm basi aipige hiyo number.
 
Back
Top Bottom