Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu...........!!!!!!

Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu...........!!!!!!

Hivi naomba kuuliza wanawake wote hapa MMU, mwanaune anapokutongoza akilini mwenu huwa mnakuwa na majibu yapi?

Au huwa mnajidhatiti vipi mnapoanzisha mahusiano na a total stranger?

Daddito... Mapenzi ni pata potea, kuna kupata na kukosa. Kwa wale wanaoanzisha mahusiano pasipo commitment somewhere mwisho wa siku wakaachana hao asavali.... Ila nazungumzia hawa ambao wanajua kabisaaa kuwa wana commitment somewhere na tayari washafanya baadhi ya process... Wawe wakweli bana, sio kuchezea mioyo ya watu.

Ukiangalia katika hiyo scenario ya pili, mdada kakolea ajabu. Anajua kapata mume.... Yaarabi toba kumbe anachorwaje??? Sijui huyo mkaka atakapooa mdada atakuwa na hali gani?? Na baada ya hapo anawaonaje wanaume, ndo mwanzo wa kuwachukia wanaume na kuanza kurevenge.... Mwisho wa siku mtakaa kutulaumu wanawake mashetani kumbe kuna mwanaume mwenzio ndo alisababisha huyo mwanamke afanye hayo yote.......
 
daaah, kweli love is a risk...
tatizo huyo wa pili taelewa hata akishikwa mkono kuonyeshwa ukweli?
 
Hivi naomba kuuliza wanawake wote hapa MMU, mwanaune anapokutongoza akilini mwenu huwa mnakuwa na majibu yapi?

Au huwa mnajidhatiti vipi mnapoanzisha mahusiano na a total stranger?
I let my intuition guide me. And am never wrong.If we as women learnt to listen to our inner voices we would avoid alot of heartache.
 
eti hutaki maswali! inaonekana umelelewa na mzazi mmoja wewe!
 
I let my intuition guide me. And am never wrong.If we as women learnt to listen to our inner voices we would avoid alot of heartache.

Nimekuelewa jirani na hiyo inner voice wengine huiita sixth sense na ni wanawake tu wamejaaliwa.

Imewasaidia sana wanawake wenye kutumia akili (sio moyo) linapokuja suala la kuanzisha mahusiano mapya.
 
charminglady sidhani kama unaweza kuyaita mapenzi ni pata potea (kamari)...

Binafsi ninaamini kuwa mapenzi yana kanuni ambazo ukiziheshimu lazima utafanikiwa...

Wanawake wengi wa kizazi cha sasa (hapa nimelenga Watanzania zaidi) wanakiuka miiko ya kuanzisha mahusiano...

Kizazi kimoja au viwili nyuma mwanamke alikuwa hawezi kukubali ombi la kuolewa na mwanaume hadi apeleleze mambo kadhaa ya mwanaume...

Ilikuwa ni ngumu sana kwa wanawake kuingizwa mkenge kirahisi namna hiyo.
Wanawake wengi mmekuwa na kiu iliyopitiliza ya ndoa, mnaongozwa na hamasa zaidi.
 
Last edited by a moderator:
eti hutaki maswali! inaonekana umelelewa na mzazi mmoja wewe!

Mkuu nimesema hivo kwa sababu moja... Ukitaka kumuelekeza mtu Stendi ya.mabasi Ubungo, u simply say "Ubungo stendi ya Mkoa, stendi ya mabasi yaendayo Mikoani na hata katika taarifa huwa tunasikia hivyo.... " Sasa ambacho huelewi hapo ni nini mpaka uulize Mkoani ndio wapi???????
 
Leo asubuhi nilikueleza kuwa wewe ni moja kati ya smart girls hapa MMU na kwa posts hii umethihirisha hilo.

situation za kutongozwa zinakuja tofauti tofauti,utajaribu kumpima mtu kadri uwezavyo ujue yeye ni nani pamoja na wewe mwenyewe ni kiasi gani umempenda,..YOU CANT PREVENT HEARTBREAKS HT KM UMEMJUA MTU ALL UR LIFE..LOVE IS A RISK
 
lakini maisha yanakwenda na kudanganyana kote hUko....
 
Mkuu nimesema hivo kwa sababu moja... Ukitaka kumuelekeza mtu Stendi ya.mabasi Ubungo, u simply say "Ubungo stendi ya Mkoa, stendi ya mabasi yaendayo Mikoani na hata katika taarifa huwa tunasikia hivyo.... " Sasa ambacho huelewi hapo ni nini mpaka uulize Mkoani ndio wapi???????

sidhani kama umejibu hoja hapa!

kwani kama mtu angekuuliza mkoani ni wapi ungeshindwa nini kujibu?

ugumu wa hilo swali uko wapi?
 
charminglady sidhani kama unaweza kuyaita mapenzi ni pata potea (kamari)...

Binafsi ninaamini kuwa mapenzi yana kanuni ambazo ukiziheshimu lazima utafanikiwa...

Wanawake wengi wa kizazi cha sasa (hapa nimelenga Watanzania zaidi) wanakiuka miiko ya kuanzisha mahusiano...

Kizazi kimoja au viwili nyuma mwanamke alikuwa hawezi kukubali ombi la kuolewa na mwanaume hadi apeleleze mambo kadhaa ya mwanaume...

Ilikuwa ni ngumu sana kwa wanawake kuingizwa mkenge kirahisi namna hiyo.
Wanawake wengi mmekuwa na kiu iliyopitiliza ya ndoa, mnaongozwa na hamasa zaidi.

Got u.....
 
Last edited by a moderator:
Unamaanisha tuliolelewa na mzazi mmoja hatupendi maswali

wengi wenu..

1. wana kiburi sana kwenye jamii
2. Hawana nidhamu kwenye mambo mengi sana ya kijamii
3. Kiburi na kutaka kutawala kwenye mahusiano hutokea na ndoa maana huwa wana migogoro mingi
4. Si wavumilivu kabisa!!

and those are the facts..
 
Back
Top Bottom