mkuchika,nmekuona unalalama walimu wamekimbia makazini na umewapa onyo warudishe hela za kujikimu haraka sana,sasa embu wambie waliokula hela za EPA warudishe kwanza ndo walimu nao warudishi...nahisi umerogwa au ndo magamba yanawasha
Dah kweli kuna wa2 wengine mnatetea ujinga,hao walimu wamekula pesa za kujikimu na wamekimbia shule huku watoto wakitanzania wakikosa elimu,wewe unawatetea na kusema waliokula wasirudishe,so unataka nchi iende wapi?
Magamba yanamuwasha huyo siyo bure. Mbona hawapigi mkwara Kagoda warudishe hela haraka?
HAHA HUYU SI ALIPIGA KURA KUSINI HAKUSHINDAmkuchika,nmekuona unalalama walimu wamekimbia makazini na umewapa onyo warudishe hela za kujikimu haraka sana,sasa embu wambie waliokula hela za EPA warudishe kwanza ndo walimu nao warudishi...nahisi umerogwa au ndo magamba yanawasha
umelogwa=umerogwamkuchika,nmekuona unalalama walimu wamekimbia makazini na umewapa onyo warudishe hela za kujikimu haraka sana,sasa embu wambie waliokula hela za EPA warudishe kwanza ndo walimu nao warudishi...nahisi umerogwa au ndo magamba yanawasha