Ze Bulldozer
JF-Expert Member
- Jun 12, 2020
- 1,002
- 525
Nafikiri ni wakati mwafaka kwa Mh. Mrema kujiuzulu siasa baada ya uchaguzi wa October. Amefanya mengi, amedumu kwenye siasa za upinzani na amekuwa mpinzani wa kwanza kuleta changamoto kubwa katika kinyang'anyiro cha urais mwaka 1995. Akistaafu sasa atatunza heshima yake na kupata muda ya kupumzika.Wakati chama chetu kikiendelea kujipanga sawasawa katika mtanange Wa Ubunge na Udiwani katika majimbo yote 264 na kata zote 3,956 Mkt. wa Chama ameongea na watia nia wa Ubunge/Udiwani jimbo la Arusha Mjini (Jana) leo ni Jimbo la Moshi Mjini.
Wale wote wanaodhani wameitiwa kuwatumikia Watanzania kwa nafasi za Ubunge na Udiwani mnakaribishwa sana TLP mtienia zenu,
Chama chetu ni chama cha kidemokrasia kinachoamini katika mashirikiano ili kuimarisha udugu na umoja watu kama Watanzania.
"TLP NI MOJA NA TANZANIA NI MOJA"
View attachment 1507472
Hhhhh Tanzania kuna vituko ,Ngachoka kabisa mimi
Hawa tuu mnatishana bure hakuna cha itifaki wala baba yake na itifaki yeye bado anadunda wazee wa umri wake wengi hapo.Ile Itqaf aliyosomewa mwembechai wakati uleee ndiyo sasa imechanganya, yaani hana tofauti na mtoto wa chekechea
Mwenyekiti makini Fomu anachukua lini?Wakati chama chetu kikiendelea kujipanga sawasawa katika mtanange Wa Ubunge na Udiwani katika majimbo yote 264 na kata zote 3,956 Mkt. wa Chama ameongea na watia nia wa Ubunge/Udiwani jimbo la Arusha Mjini (Jana) leo ni Jimbo la Moshi Mjini.
Wale wote wanaodhani wameitiwa kuwatumikia Watanzania kwa nafasi za Ubunge na Udiwani mnakaribishwa sana TLP mtienia zenu,
Chama chetu ni chama cha kidemokrasia kinachoamini katika mashirikiano ili kuimarisha udugu na umoja watu kama Watanzania.
"TLP NI MOJA NA TANZANIA NI MOJA"
View attachment 1507472
Watia nia wa chama gani tena? Hikihiki au kilekile... ina maana hajaunga mkono juhudi kama alivyosema?Wakati chama chetu kikiendelea kujipanga sawasawa katika mtanange Wa Ubunge na Udiwani katika majimbo yote 264 na kata zote 3,956 Mkt. wa Chama ameongea na watia nia wa Ubunge/Udiwani jimbo la Arusha Mjini (Jana) leo ni Jimbo la Moshi Mjini.
Wale wote wanaodhani wameitiwa kuwatumikia Watanzania kwa nafasi za Ubunge na Udiwani mnakaribishwa sana TLP mtienia zenu,
Chama chetu ni chama cha kidemokrasia kinachoamini katika mashirikiano ili kuimarisha udugu na umoja watu kama Watanzania.
"TLP NI MOJA NA TANZANIA NI MOJA"
View attachment 1507472