Ze Bulldozer
JF-Expert Member
- Jun 12, 2020
- 998
- 520
Wakati chama chetu kikiendelea kujipanga sawasawa katika mtanange Wa Ubunge na Udiwani katika majimbo yote 264 na kata zote 3,956 Mkt. wa Chama ameongea na watia nia wa Ubunge/Udiwani jimbo la Arusha Mjini (Jana) leo ni Jimbo la Moshi Mjini.
Wale wote wanaodhani wameitiwa kuwatumikia Watanzania kwa nafasi za Ubunge na Udiwani mnakaribishwa sana TLP mtienia zenu,
Chama chetu ni chama cha kidemokrasia kinachoamini katika mashirikiano ili kuimarisha udugu na umoja watu kama Watanzania.
"TLP NI MOJA NA TANZANIA NI MOJA"
Wale wote wanaodhani wameitiwa kuwatumikia Watanzania kwa nafasi za Ubunge na Udiwani mnakaribishwa sana TLP mtienia zenu,
Chama chetu ni chama cha kidemokrasia kinachoamini katika mashirikiano ili kuimarisha udugu na umoja watu kama Watanzania.
"TLP NI MOJA NA TANZANIA NI MOJA"