GAGL
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 392
- 400
Jamani mwenzenu toka nihitimu chuo sijapata kazi. Ila nimeamua kujiingiza kwenye ujasiriamali. Nataka kuendesha mradi wa internet cafe' ambapo ninahitaji kuwa na mil 3, nimeandika mchanganuo wa biashara hii. Ninaomba mtu yeyote jamvini hapa mwenye moyo wa huruma anisaidie kunikopesha hela hii nifanye biashara, ajira hakuna jamani. Nina uhakika wa kuirudisha hiyo fedha, na kama atahitaji wadhamini ninao wengi na wa uhakika. Tafadhari napatikana hapa 0786 046 484 au gagl2010@yahoo.com