Mkopo wa riba nafuu

Mkopo wa riba nafuu

Hapana mkuu, kwa miezi sita ukichukua million basi urudishe million 1.4 ndani ya miezi sita.Faida ni Tshs 400000. Mkiwa kumi mtu ana milioni zake 4 kama faida ndani ya miezi sita...Mkiwa ishirini mtu ana milioni zake 8 kama faida ndani ya miezi sita! Jamani huo si wizi?
Anza tu na wewe hujakatazwa au mtaji ndo shida??
 
Hapana mkuu, kwa miezi sita ukichukua million basi urudishe million 1.4 ndani ya miezi sita.Faida ni Tshs 400000. Mkiwa kumi mtu ana milioni zake 4 kama faida ndani ya miezi sita...Mkiwa ishirini mtu ana milioni zake 8 kama faida ndani ya miezi sita! Jamani huo si wizi?
Siku ukipata shida ya dharura na huna pa kushika ndo utajua kama huu ni wizi au ni mkombozi
Serikali inatambua mchango wetu ndo maana tunapewa leseni wewe unasema wizi
 
EDNEY CREDIT CO LTD
Inapenda kuwataarifu watumishi wa idara zote za serikali kuwa inatoa mikopo ifuatayo ndani ya dakika 15 tu:
a) Mikopo ya dharura

b) Mikopo ya mtaji au kupanua biashara

c) Ada za shule.

- Mikopo inayotolewa ni kuanzia Tsh 100,000 hadi 1,000,000 kwa riba nafuu sana.
- Muda wa marejesho ni kuanzia miezi mitatu hadi sita.

VIAMBATANISHO:
1. _KITAMBULISHO CHA TAIFA_

2. _KITAMBULISHO CHA KAZI_

3. _BARUA YA AJIRA NA KUTHIBITISHWA KAZINI_

4. _Taarifa ya mshahara ya miezi mitatu (salary slip)_

5. _BANK STATEMENT YA MIEZI MINNE_

6. _PASSPORT SIZE 2_

Fika ofsini kwetu Keko Dar

E-mail: edney@gmail.com

UPDATE:
Mkopo yote ni 40% kwa marejesho yote. Kiasi chochote utakachokopa utarejesha 40%
Hongera kwa kuweza kufanya transactions na verification kwa dakika 15

Ila ni nzuri hasa kwa wenye emergencies
 
Hongera kwa kuweza kufanya transactions na verification kwa dakika 15

Ila ni nzuri hasa kwa wenye emergencies
Tumesaidia wengi sana wenye emergency na wametushukuru mno lakini mwingine humu anatuita wezi.

Unakuta mtu anauguliwa bima anayo ila mgonjwa wake kalazwa anatakiwa atoe elf 10 kila siku maybe mgonjwa kalazwa wiki tatu hiyo hela unafikiri kama hana ataitoa wapi?? Sisi ni mkombozi
 
Tumesaidia wengi sana wenye emergency na wametushukuru mno lakini mwingine humu anatuita wezi.

Unakuta mtu anauguliwa bima anayo ila mgonjwa wake kalazwa anatakiwa atoe elf 10 kila siku maybe mgonjwa kalazwa wiki tatu hiyo hela unafikiri kama hana ataitoa wapi?? Sisi ni mkombozi
I understand madam

Interest rate huwa inakua determined na vitu vingi mfano kwenye model hiyo lengo ni kusaidia kwenye emergency situations hivyó mikopo inakua na high risk. Hii inatokana na kutofanya due diligence ya kutosha so lazima upande wa pili kutakua na losses na zitakua zinafidiwa na hiyo riba.
All the best mkuu
 
I understand madam

Interest rate huwa inakua determined na vitu vingi mfano kwenye model hiyo lengo ni kusaidia kwenye emergency situations hivyó mikopo inakua na high risk. Hii inatokana na kutofanya due diligence ya kutosha so lazima upande wa pili kutakua na losses na zitakua zinafidiwa na hiyo riba.
All the best mkuu
Thanks Sir but am just a loan officer I don't own any share in this company
 
mnauliza riba kwani iyo 40% aliyoiweka si ndio riba someni
 
Back
Top Bottom