Mkopo wa riba nafuu

Mkopo wa riba nafuu

Jamani anayejua riba za FINCA zikoje anijulishe
 
Riba ni dhambi lkn naskia skia tu aliniambiaga mama angu faiza foxy
 
kujua riba ni muhimu kuliko mkopo wenyewe..

kuna bank nyingine ukichukua hapo mkopo...lazima ufilisike au ubaki kuwa hapo mtumwa wa kudumu..

kujua riba ni muhimu sana kwa mkopaji...au mjasiriamali
Anasema riba nafuu halafu hasemi % ngapi ....kama sio utapeli ni nn?
 
Back
Top Bottom