Mkopo wa elimu ya juu ni msaada kwa watoto masikini au ni mradi wa watu?

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,289
21,481
Kama una uwezo wakijilipia ada ya chuo kikuu ata iwe kwa shida na kushauri jilipie tu, HESLB ni kikwazo cha maendeleo kwa wafanya kazi baada ya kugraduate huchelewasha maendeleo kwa sababu ya accumulative riba kwa hiyo loan ulio ichukua.

Kadri miaka inavo pita na marejesho mkopo kupanda, wakati ajira ni changamoto hata kwa waalimu madakitari nesi nk.

Naona kuna haja ya serikali itafute namna nyingine ya kusaidia watoto wanao toka kwenye familia zenye vipato duni kjliko kuwakopesha, kukopa ni kuendeleza ule umasikini wa kipato kwa hizo familia, graduate moja wa Tz kiwasitani ana uhudumia/ au anategemewa na ukoo mzima.
 
Watanzania tuache kulalamika hizo hela ingekuwa wanaopewa hawarudishi ingekuwaje maana wengine wanaokuja wangekosa hela za kujiendeleza
Sikulalamika mzee ni kwamba hizo pesa zinasaidia kuondoa umasikini miongoni mwa kaya masikini au zinaongeza umasikini?....., kwanini serikali isije na schem mbili ya kutoa scholarship kwa wanafunzi masikini na mkopo kwa wanafunzi wanao jiweza ili iwe sehemu moja yalo ya kupambana na umasikini katika watu fukara.......otherwise mkopo inaendeleza umasikini haujatatua tatizo mkopo ni mzigo kwa wanafunzi masikini.
 
Kama una uwezo wakijilipia ada ya chuo kikuu ata iwe kwa shida na kushauri jilipie tu, HESLB ni kikwazo cha maendeleo kwa wafanya kazi baada ya kugraduate huchelewasha maendeleo kwa sababu ya accumulative riba kwa hiyo loan ulio ichukua.

Kadri miaka inavo pita na marejesho mkopo kupanda, wakati ajira ni changamoto hata kwa waalimu madakitari nesi nk.

Naona kuna haja ya serikali itafute namna nyingine ya kusaidia watoto wanao toka kwenye familia zenye vipato duni kjliko kuwakopesha, kukopa ni kuendeleza ule umasikini wa kipato kwa hizo familia, graduate moja wa Tz kiwasitani ana uhudumia/ au anategemewa na ukoo mzima.
Huu mkopo kwa vyuo vya kati,ni kwa ajili ya hawa wanaoanza mwaka wa kwanza au pia wa mwaka wa pili na wa mwaka wa tatu,kwa mwaka huu?
 
Huu mkopo kwa vyuo vya kati,ni kwa ajili ya hawa wanaoanza mwaka wa kwanza au pia wa mwaka wa pili na wa mwaka wa tatu,kwa mwaka huu?
Huo mkopo wa vyuo vya kati bado sio mwaka hu wakijitahidi sana mwaka kesho, na sio kozi zote wanatafute zile zenye kupata ajira mapema.
 
Kama una uwezo wakijilipia ada ya chuo kikuu ata iwe kwa shida na kushauri jilipie tu, HESLB ni kikwazo cha maendeleo kwa wafanya kazi baada ya kugraduate huchelewasha maendeleo kwa sababu ya accumulative riba kwa hiyo loan ulio ichukua.

Kadri miaka inavo pita na marejesho mkopo kupanda, wakati ajira ni changamoto hata kwa waalimu madakitari nesi nk.

Naona kuna haja ya serikali itafute namna nyingine ya kusaidia watoto wanao toka kwenye familia zenye vipato duni kjliko kuwakopesha, kukopa ni kuendeleza ule umasikini wa kipato kwa hizo familia, graduate moja wa Tz kiwasitani ana uhudumia/ au anategemewa na ukoo mzima.
Lakini mke wa Prince alinufaika na huo mkopo tena 100% japo hakuwa masikini
 
Kama una uwezo wakijilipia ada ya chuo kikuu ata iwe kwa shida na kushauri jilipie tu, HESLB ni kikwazo cha maendeleo kwa wafanya kazi baada ya kugraduate huchelewasha maendeleo kwa sababu ya accumulative riba kwa hiyo loan ulio ichukua.

Kadri miaka inavo pita na marejesho mkopo kupanda, wakati ajira ni changamoto hata kwa waalimu madakitari nesi nk.

Naona kuna haja ya serikali itafute namna nyingine ya kusaidia watoto wanao toka kwenye familia zenye vipato duni kjliko kuwakopesha, kukopa ni kuendeleza ule umasikini wa kipato kwa hizo familia, graduate moja wa Tz kiwasitani ana uhudumia/ au anategemewa na ukoo mzima.
Mradi wa watu huo
 
Binafsi Nimemuelewa mtoa Mada >>>> Kuna mahala hapako sawa Kabisa ... Kuna kipindi unalipa deni walilokupatia Hazina kwa njia ya makato ya mshahara WA Kila mwezi >>> Mungu anakusaidia deni linakwisha >>> baada ya MIAKA 3 hivi ... Wanarudi kwa makato Mengine Tena >>> Ukiwafikia OFISini kwao Kujua Kulikoni.?????
Utaambiwa deni Ulilopewa Mwanzo na Ukalilipa Lilikuwa sio deni halisi >>>> Yaani ulipewa deni Dogo ukilinganishà na ulichokopeshwa.
Sasa unajiuliza kwa nini waniwekee deni dogo yaani kiduchu??????
Yaani Kuna uhuni Mbaya Sana.
KWAHIYO Utajikuta Muda mwingi katika utumishi WAKO ni makato ya HESLB TU yasiyo na ukomo .....
Ndio maana mtoa Mada ana HOJA ya kusikilizwa na kufanyiwa KAZI na serikali.

Maana mtu anashindwa kufanya maendeleo Mengine kwa ajili ya makato.
 
Mradi wa watu huo
Kwanini wasiruhusi benki na micro finance wafanye hizo kazi za kutoa mikopo ila serikali iwe ina role ya kuregulate na kulinda haki za raia masikini kwa kulipia madeni yao baadhi watakao shindwa kulipa na ni kweli ni masiki wa kutupwa.
 
Kwanini wasiruhusi benki na micro finance wafanye hizo kazi za kutoa mikopo ila serikali iwe ina role ya kuregulate na kulinda haki za raia masikini kwa kulipia madeni yao baadhi watakao shindwa kulipa na ni kweli ni masiki wa kutupwa.
Kaka nchi hii tunawatu wa hovyo sana
 
Kwanini wasiruhusi benki na micro finance wafanye hizo kazi za kutoa mikopo ila serikali iwe ina role ya kuregulate na kulinda haki za raia masikini kwa kulipia madeni yao baadhi watakao shindwa kulipa na ni kweli ni masiki wa kutupwa.
Hapa ndio pa kuanzia >>>> Umewaza vema
 
Lakini mke wa Prince alinufaika na huo mkopo tena 100% japo hakuwa masikini
Sasa hao wenye uwezo ndo wanao faidika na huo mkopo kaswabb wanaenda shule nzuri za private na kupata kozi nzuri versity zanazo pewa mkopo haraka, masikini anabaki pale pale.
 
Kwanini wasiruhusi benki na micro finance wafanye hizo kazi za kutoa mikopo ila serikali iwe ina role ya kuregulate na kulinda haki za raia masikini kwa kulipia madeni yao baadhi watakao shindwa kulipa na ni kweli ni masiki wa kutupwa.
Wazo zuri sana, wangefutilia mbali kile kibodi cha miungu watu, nadhani hilo lingeenda mbali zaidi hadi bima ya afya isiwe chini ya NHIF wanufaika wawe na akaunti tu bank na wawe na kadi ambayo inamwezesha kulipia huduma za matibabu moja kwa moja toka kwenye michango yake iliyoko bank badala ya madalali
 
Back
Top Bottom