Mkopo kutoka BancABC Tanzania Limited

Mkopo kutoka BancABC Tanzania Limited

Badilisheni strategy. Kama dominant banks kama crdb na nmb wanakopesha kwa kati ya 13%hadi 15% kwa miaka hadi 8, nyie 16 mnaitoa wapi?

Mkitaka kuwashika watumishi wa umma punguzeni riba hadi 10 ama 11 kwa mwaka na reducing balance.

Hii itaweza kumshawishi mtu kuhama kwa benki yake ya sasa.

Kwa hali ilivyo sasa mna kazi ngumu sana mbele yenu.
Hao wengine umesema wanaanzia 13%,but sisi tunaanzia 11.5%.
Karibu tukuhudumie.
 
Nimewahi kopa kwenu fedha mnakata na mkopo sikulipwa leo mwaka wa4
Kama hilo ulisemalo ni kweli naomba uweke hapa hadharani evidence ili wore tuone tatizo lilikuwa wapi.
Kumbuka BancABC ndio Bank pekee yenye kutoa huduma bora kabisa za kibenki na tumepata tuzu za kutosha kwa kutoa huduma bora,pia tuna matawi karibu nchi zote za kusini mwa jangwa LA sahara.
Karibu kwa huduma bora.
Unakatwa na mkopo hukupewa / that's criminal
Hayupo serious,huwezi katwa pesa kwa ata kwa miezi miwili ukakaa kimya,
 
BancABC TANZANIA LIMITED.
Tunatoa mkopo kwa watumishi wa serikali mpaka shillingi milioni arobaini(40m), mkopo ni wa muda mfupi na muda mrefu. Mkopo wa muda mfupi ni miezi 6-9 kwa riba ya 11.5%

Na mkopo wa muda mrefu ni kuanzia mwaka mmoja hadi miaka 8 kwa riba ya 16% tuu.
Pia, tunanunua madeni kutoka bank nyingine au kuhamisha deni la mkopo.
  • Mkopo ni rahisi kuupata na haraka,ndani ya masaa 48 ya siku za kazi.
  • Mkopo tutapitisha kwenye A/C yako ya mshahara.
VIGEZO VYA MKOPO
  • Salary slip ya mwezi 1.
  • Kopi ya kitambulisho cha kazi.
  • Kopi ya kitambulisho cha taifa.
  • Picha moja ya passport size.
  • Bank statement ya miezi(3)
Haijalishi upo wapi ndani ya nchi, popote ulipo tutakufikia bila wewe kufunga safari kwenda kwenye branch zetu.

Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Karibu tukuhudumie.

Karibu BancABC TANZANIA LIMITED.
Kwa mawasiliano piga no:0686536070

View attachment 2286123
Kaa mbali na hii bank...utakuja kunishukuru badae.

#MaendeleoHayanaChama
 
Strongly support your idea, that is how economy is stimulated, not idiotic promises we hear from the rostrums
 
Utopolo nyie riba yenu kuuubwa bora mtu aende Nmb mara mia ya kwenu
 
Labda niwe punguani ndio nichukue mikopo yenu na Bayport, Finca, Platnum n.k.
Kuna mwaka nilipata msiba nikawa nimetindikiwa nikasema nichukue mkopo wa 1M kwenu BANC ABC baada ya miezi 6 nitakuwa nimerudisha wanikate kwenye mshahara. Kweli nilipata nikaenda na kufanikiwa kumaliza msiba vizuri. Jamaa wakanikata miezi 2 na baada ya kutulia baada ya msiba na kugawana nguo nikasema nilipe keshi kiasi kilichobaki kama 700,000. Aiseeee vita yake hiyo[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji16][emoji3064][emoji16][emoji3064]
Malizia story mkuu ikawaje
 
BancABC TANZANIA LIMITED.
Tunatoa mkopo kwa watumishi wa serikali mpaka shillingi milioni arobaini(40m), mkopo ni wa muda mfupi na muda mrefu. Mkopo wa muda mfupi ni miezi 6-9 kwa riba ya 11.5%

Na mkopo wa muda mrefu ni kuanzia mwaka mmoja hadi miaka 8 kwa riba ya 16% tuu.
Pia, tunanunua madeni kutoka bank nyingine au kuhamisha deni la mkopo.
  • Mkopo ni rahisi kuupata na haraka,ndani ya masaa 48 ya siku za kazi.
  • Mkopo tutapitisha kwenye A/C yako ya mshahara.
VIGEZO VYA MKOPO
  • Salary slip ya mwezi 1.
  • Kopi ya kitambulisho cha kazi.
  • Kopi ya kitambulisho cha taifa.
  • Picha moja ya passport size.
  • Bank statement ya miezi(3)
Haijalishi upo wapi ndani ya nchi, popote ulipo tutakufikia bila wewe kufunga safari kwenda kwenye branch zetu.

Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Karibu tukuhudumie.

Karibu BancABC TANZANIA LIMITED.
Kwa mawasiliano piga no:0686536070

BancABC TANZANIA LIMITED.
Tunatoa mkopo kwa watumishi wa serikali mpaka shillingi milioni arobaini(40m), mkopo ni wa muda mfupi na muda mrefu. Mkopo wa muda mfupi ni miezi 6-9 kwa riba ya 11.5%

Na mkopo wa muda mrefu ni kuanzia mwaka mmoja hadi miaka 8 kwa riba ya 16% tuu.
Pia, tunanunua madeni kutoka bank nyingine au kuhamisha deni la mkopo.
  • Mkopo ni rahisi kuupata na haraka,ndani ya masaa 48 ya siku za kazi.
  • Mkopo tutapitisha kwenye A/C yako ya mshahara.
VIGEZO VYA MKOPO
  • Salary slip ya mwezi 1.
  • Kopi ya kitambulisho cha kazi.
  • Kopi ya kitambulisho cha taifa.
  • Picha moja ya passport size.
  • Bank statement ya miezi(3)
Haijalishi upo wapi ndani ya nchi, popote ulipo tutakufikia bila wewe kufunga safari kwenda kwenye branch zetu.

Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Karibu tukuhudumie.

Karibu BancABC TANZANIA LIMITED.
Kwa mawasiliano piga no:0686536070

View attachment 2286123
BancABC Hamko serious na pesa za watu you have very poor service hii ni kwa upande wangu sijui wengine.
 
Utakuta Mkopo Unaochukuaa Afisa Mikopo Anataka Ganji Wakati Riba Utalipa Mkopaji. Njaa Sana
 
Back
Top Bottom