Mkopo kutoka BancABC Tanzania Limited

Mkopo kutoka BancABC Tanzania Limited

Hawa jamaa ni sawa na Finca, Letshego(Faidika), Baypord, etc.
Jichanganye uliwe kichwa πŸ˜€πŸ˜πŸ˜πŸ˜„
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€
 
Aise pole sana

Yaani unakopa 4m unarudisha 11m

Hii ni zaidi ya unyanganyi

Ova
Kuna hao BAYPORT ndio baba lao. Wakati mmoja huko nyuma niliwahi kukopa 7M deni likasoma 18.5M. Wahanga wakubwa ni hawa wadogo zetu AJIRA MPYA wa juzi maana ndio hushawishiwa na hawa jamaa mpaka wanakulegeza. Tusaidiane kuwaelimisha wadogo zetu wasithubutu kukopa kwenye hizi TAASISI zisizo Bank. Wana masharti nafuu na maneno yao malaini kama wanamtongoza mrembo ila riba zao ni kama Mlima KILIMANJARO.

Ukiwauliza wanakwambia mikopo yetu haina BIMA kwahiyo risk ni kubwa. Risk inakuwaje kubwa wakati wateja wakubwa ni watumishi wa UMMA ambao kukopteza kazi ni asilimia ndogo sana?. Yanni hata ukichukuwa wanaoachiswa ai kuacha kazi na wanaofariki wakiwa na madeni bado ni sawa na negligible tu maana ni wachache sana. Tuwaambieni wadogo zetu wacheze nao mbali kabisa hawa ni michwa inayotafuna haswa.
 
Finca, Bayport, Platnum, BancABC kaa nao mbali kabisa.
 
Ungefafanua haya:-
1) Riba ya 11.5% ni kwa Mwaka au !?
2) Mfumo wa ukokotozi ni REDUCING BALANCE !? FLAT INTEREST !? ama BANK ABC STYLE !!!
3) Gharama nyinginezo zinazoambatana na mkopo/Hidden Costs ni zipi !?
Maisha yake hii hatakujibu hata umpige bakora..... Mabenk ni wakora sana, wanaovuna wasipopanda.
 
Hakuna aliyewahi kopa kwa hawa Abc Banc akasifia huduma zao ,jaman watumishi wenzangu kaeni macho hawa Wana riba kubwa kati ya 25-35 hayo yooote ni swaga tu eg mm nilichukua 4mils deni likasoma milion 11++++ ,Jaman hawa ni wezi
 
Back
Top Bottom