Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Ni mwaka sasa tokea uvimbe huu unitokee kwenye mkono wangu, japokuwa ulitokea ghafla, hauna maumivu yoyote hadi sasa
Shida inaweza kuwa nini?
Shida inaweza kuwa nini?
Ni mwaka sasa tokea uvimbe huu unitokee kwenye mkono wangu, japokuwa ulitokea ghafla, hauna maumivu yoyote hadi sasa
Shida inaweza kuwa nini?
Ni mwaka sasa mkuu, uko vile vileUtapungua taratibu na hatimaye kwisha
Ni movable?Ni mwaka sasa tokea uvimbe huu unitokee kwenye mkono wangu, japokuwa ulitokea ghafla, hauna maumivu yoyote hadi sasa
Shida inaweza kuwa nini?View attachment 2930101View attachment 2930103
Aende hospital atapewa Dawa akimeza kinapotea chenyeweHiyo ni Lipoma nenda hospital kinatolewa
YesThat is a ganglion cyst
Exactly aende hospital afanyiwe surgical intervation atakua powa thenThat is a ganglion cyst
Hii sio kweliAende hospital atapewa Dawa akimeza kinapotea chenyewe
AtapasuliwaHii sio kweli
akipaka salimia je?Utapungua taratibu na hatimaye kwish
Bila kushika na kuona kama ni uvimbe laini au mgumu, unaotembea kirahisi, si rahisi kusema kwa uhakikika ni kitu gani.Ni mwaka sasa tokea uvimbe huu unitokee kwenye mkono wangu, japokuwa ulitokea ghafla, hauna maumivu yoyote hadi sasa
Shida inaweza kuwa nini?View attachment 2930101View attachment 2930103
Sasa hio Si ya kuchua tuakipaka salimia je?
Tolea ufafanuzi zaidi hapa mkuuToafauti na hapo uwe na uhakika wa uzoefu wa mhusika kwenye eneo la upasuaji.
Hapo sawa mkuu,Yes hiyo bila surgical intervation vigumu sana..
View attachment 2930193
Kutoa Lupus au Lipoma ngazi yoyote wanatoa kuanzia Primary Health care mpaka Tertially Ni Uelewa wa Daktari Kuhusu Anatomy na kama Hakufeli somo Masomo ya Surgery Shuleni..Bila kushika na kuona kama ni uvimbe laini au mgumu si rahisi kusema kwa uhakikika ni kitu gani.
Ila kwa maelezo yako yaweza kuwa ni :
1: Lipoma (mafuta).
2: Ganglion cyst (uvimbe kutokana na mishipa ya fahamu).
3: Bone cyst (uvimbe kutolana na mfupa)
NB: Kutokana na eneo ulipo, ni vyema kumhusisha daktari bingwa wa upasuaji au mifupa, ili kutoleta madhira kwenye mishipa ya damu au fahamu ya eneo husika.
Toafauti na hapo uwe na uhakika wa uzoefu wa mhusika kwenye eneo la upasuaji.
Tolea ufafanuzi zaidi hapa mkuu