FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Wakuu katika maazimio ya bunge , wamesema kua Stanbik bank itangazwe kua ni bank ya kutakatisha pesa, naomba kuuliza kwa nini mkombozi bank hawajaitaja? Kuna nini hapa? Nini tofauti ya alichofanya stanbink bank na Mkombozi bank?
Tena lilikuwa ni azimio la kamati ya PAC na limefutwa kabisa, hapo sasa.
Ndiyo maana nasema hii kamati katika hili sakata imekosa uhalali. Huwezi kufuta maazimio kiholela. Ina maana yalikuwa ni uongo mtupu?