Mkombozi bank vs Stanbink bank

Mkombozi bank vs Stanbink bank

Kutokana na mambo kama haya ya makosa yaleyale kuwa interpreted tofauti ndio sababu nchi za wenzetu huwa wanafanya review after the outcome of a political wrangle hili kuweza kuboresha maamuzi ya baadae whilst handling similar future situation.

Sisi atuna utaratibu huo lakini nadhani the whole thing was handled wrongly from the beginning. From get go there was a political influence mistrust from both parties and in the end even the CAG report failed to elaborate clearly on what transpired and concern of the matter if the funds belonged to the government or the benefited parties? Thus allowing the PAC to be all over due to the fact the report itself lacked clear interpretation.

Kamati ya bunge imetoa mapendekezo ambayo yana mashaka to an extent fuelled with adversarial politics: both party competition and personal vendetta towards the accused (a reason enough not to use any more parliamentary committees in the future to decide the fate of other politicians they themselves have competing views with) na hii sio mara ya kwanza kutokea ripoti ya Mwakyembe ilileta mzozo, ripoti ya kamati na Nishati na madini ilileta mzozo na watu kufukuzwa kama akina Kagasheki, ripoti sijui gani ile iliyowang'oa akina Omary Nundu and the list goes on. Huu utaratibu aufai na umekuwa ukitumika kusukuma agenda za kimaslahi au kulipiza kisasi kama report ya PAC ilivyodhihirisha; bila ya kusahau ripoti ya CAG kushindwa kuja na majibu sahihi kwa sababu ilikuwa out of depth kwenye maswala ya sheria.

Kitu ambacho nimefatilia ripoti nyingi za nchi za wenzetu zinafanywa na independent bodies kutoka sector ya Mahakama kwa sababu matendo mengi ya serikari yanamwongozo wa kisheria za bunge na mahakama ndio yenye uwezo fasaha wa ku-interpret sheria. Ndio maana hata CAG kashindwa kuja na hitimisho lisilo na shaka la kisheria kuhusu mzozo karudi tu na mambo ya kubahatisha bahatisha lakini hakuna usahihi wa nini haswa kilichotokea kisheria na kama hela ni ya serikari au ya wabia.

In the future political wrangles inabidi zitafutiwe independent bodies tena ambazo raisi anaunda kama alivyofanya kwenye kamati ya katiba kuchunguza. Maana sasa watu wamekuwa awaaminiki na too much personal interest kama ilivyojiyokeza hapa na kwengine nyuma. Ni bora ziundwe tume ambazo members are notified unexpectedly to uncover the truth na bunge lijadili kwa mwongozo huo kamati za bunge zimekuwa za kihuni sana na aziaminiki tena kwa sasa kama watenda haki.

Rushwa ya Qatar huko fifa imechunguzwa na parliament select committee unataka tueleza nini?

ref: http://m.bbc.com/sport/football/27652181

na huwo mfumo wala sio wetu umewekwa na hao hao wanao wafadhili.
 
Kama waliingia bank na magunia bank huwa kuna CCTV camera hivi PCC wameshindwa pata back up ya tarehe taja ili waondoe huu wizi. Maana kila MTU hataonekana alivebaje hayo manoti
 
Naamini zile bilioni 73 zilizotoka kwa cash within 2 days,kwenye viroba na magunia ya lumbesa, pale Stanbic bila kudislose, majina ya walipwaji, ambayo ni ukiukwaji wa hali ya juu wa taratibu za BoT, ambao hauruhusu transaction yoyote inayozidi kuwithdraw more than 10 million in cash.

Hiyo ndiyo sababu iliyopelekea, Mwenyekiti wa PAC , Zitto Kabwe, alielezee tukio hilo kuwa linawezekana tu kutokea kwenye nchi ambayo mifumo yake ya kiutawala,itakuwa imecollapse, kama vile Somalia.

Sasa hapo ndipo linapokuja swali kubwa kuwa, ni kitu gani kilichofanya vyombo vyote vya ulinzi na usalama, vishikwe na ganzi na kigugumizi katika kulidhibiti tukio hilo siku hizo 2, kama siyo kwa the highest office in our country, 'kulibariki ' tukio hilo?!

Kwa kuwa hakuna siri inayoweza kudumu, inayoimvolve mtu zaidi ya mmoja, naamini kabisa ipo siku, hili suala la ubebaji wa noti kwa viroba na magunia ya lumbesa pale Stanbic, ni lazima one day litakuja bumbuluka tu lazima!

CCTV zipo mkuu, lile suala liko kiusalama zaidi.
 
1) kwanini benk ya mkombozi haijatajwa kama ni benk inayotakatisha pesa?
2) Pro tibaijuka alipata pesa kutoka mkombozi kwanini ameingizwa wakati mkombozi haikutajwa?
3) kwanini walio pata hizo pesa wote ni dini moja?
4) kama spika anahisi kuna waliochukua hongo bungeni kwann asiunde kamati kuchunguza?
5) kwanini jk alimchagua muhongo kutoka nje ya bunge inamaana aligundua bungeni hakuna mwenye uwezo?
6) Pinda alisema hakuna pesa za umma, muhongo nae alisema hakuna pesa za um

kweli watu bikr 72 zimewapumbaza, Rajab mtumishi wa ikulu na katibu wa Rais ni din gan ?wazir wa fedha nae ni din gani?labda swi la msingi ni kwa nini list ya waliochukulia fedha stanbic imefichwa?tafta majina ya waliochukuwa huko ndio utajua
 
1) kwanini benk ya mkombozi haijatajwa kama ni benk inayotakatisha pesa?
2) Pro tibaijuka alipata pesa kutoka mkombozi kwanini ameingizwa wakati mkombozi haikutajwa?
3) kwanini walio pata hizo pesa wote ni dini moja?
4) kama spika anahisi kuna waliochukua hongo bungeni kwann asiunde kamati kuchunguza?
5) kwanini jk alimchagua muhongo kutoka nje ya bunge inamaana aligundua bungeni hakuna mwenye uwezo?
6) Pinda alisema hakuna pesa za umma, muhongo nae alisema hakuna pesa za um

kweli watu bikr 72 zimewapumbaza, Rajab mtumishi wa ikulu na katibu wa Rais ni din gan ?wazir wa fedha nae ni din gani?labda swi la msingi ni kwa nini list ya waliochukulia fedha stanbic imefichwa?tafta majina ya waliochukuwa huko ndio utajua
i

ZZK na kamati wana taarifa nyingi kuliko walizotoa, wakimwaga mboga watamwaga ugali.
 
1) kwanini benk ya mkombozi haijatajwa kama ni benk inayotakatisha pesa?
2) Pro tibaijuka alipata pesa kutoka mkombozi kwanini ameingizwa wakati mkombozi haikutajwa?
3) kwanini walio pata hizo pesa wote ni dini moja?
4) kama spika anahisi kuna waliochukua hongo bungeni kwann asiunde kamati kuchunguza?
5) kwanini jk alimchagua muhongo kutoka nje ya bunge inamaana aligundua bungeni hakuna mwenye uwezo?
6) Pinda alisema hakuna pesa za umma, muhongo nae alisema hakuna pesa za umma kwanini anatakiwa ang'oke mmoja?.
7) je unafikiri ktk mawaziri wote waliopita wa hii wizara nani amefanikiwa zaidi?
( short answer please!!!)

Viroba + Bhangi = kuandika thread kama hiyo
 
Mpyepye wewe inaonyesha ni dv o holder, umeambiwa jibu maswali unajibu viroba + bhang. nyie ndio mnao andika bongo fleva kwenye paper!!!
 
Uandishi ni professional kaka heading umeweka nikajua kuna picha za maiti haa kumbe hoja zeny pumba kiasi hk et kwnn wametajwa weng wa kristo sababu wakristo ni weng zaidi bungen kulko waislam au hujui hl
 
Rushwa ya Qatar huko fifa imechunguzwa na parliament select committee unataka tueleza nini?

ref: Qatar World Cup: £3m corruption claim - BBC Sport

na huwo mfumo wala sio wetu umewekwa na hao hao wanao wafadhili.
Its because there is no direct conflict of interest na umeona the extent of ushahidi wao kuhakikisha there is no doubt in their case by going the extra mile and compiling various sources of evidence; anyway the moral of the story is that, the English are bad losers same as wanavyotufanyia na escrow kisa SCH.

Tukirudi kwenye siasa zao za ndani hata committee yao ya PAC inafanya kazi kubwa sana ya kukagua serikari ya ndani kushinda chombo chochote kwenye matumizi.

Lakini it is not law to implement their recommendations its just part of routine parliamentary scrutiny therefore most of their finding end remaining in the shelves. Kwa sababu moja chama cha siasa siku zote kitatatea utendaji unaolenga kufikia ilani yao unless labda the recommendations are in their favour au kama mapendekezo yanaona kuna wasi wasi wa rushwa or fraud kutendeka. Hat hivyo kufikia bottom line itaundwa tume huru ya kuchunguza kama kuna sheria zimevunjwa kwanza kwa sababu wanasiasa wa upinzani wanaweza iteka au wa serikari based on their interest kama hakuna then chama kitaamua kuadhibu vipi kutokana na maadili au uwezo wa kutetea matukio.

Ndio sababu kwetu kutokana na kutegemea wanasiasa ambao wanaweza amua benki fulani ina makosa na nyengine aina kwa makosa yaleyale. Utetezi wa Mkombozi sasa umekuwa ni kuwa VIP alilipa kodi si ilikuwa lazima kulipa capital gain tax kwao kwa sababu there were no other remaining issues. Same way PAP alivyosema atalipa akipewa kilichobaki lakini hili limeamuliwa kupotoshwa ndio maana kama kungekuwa na tume huru ya sheria naamini sheria ingetafutwa kupata uhalai wa hoja sahihi.

Sasa usishangae mwanasiasa apaosema mwenzake angeweza kutuletea diplomatic rift kwa kauli zake hivyo afukuzwe immediately. Halafu mwanasiasa huyo huyo three days later anasema yeye mwenyewe aliwahi fatwa na waingereza na Shahidi yake Chikawe wakitaka atoe hela za escrow alikadhalika huyo anaemshutumu na yeye kasema hivyo hivyo balozi aache kulazimisha kutolewa kwa pesa za escrow mahakama itaamua. Uoni tatizo hapo mwenye rungu kutaka mwenzake afukuzwe kwa kile alichokisema na yeye pia?

Muwe mnsakiliza vizuri watu mnaowashabikia binafsi nimeanza kuwaona hawa watu si makini.
 
you're very intelligent,bado tuna sehemu kubwa ya wanajamii ambao uelewa wao upo chini na wana ushawishi,ni hatari.pac walikuwa na ajenda zao binafsi na hata baadhi ya wabunge.tunahitaji kufanya na kuamua kisayansi, vitu vinavyohitaji facts hamwezi kuvi-handle kwa utaratibu wa kura au eti maridhiano.watu wanalipa visasi na kwa utaratibu huu siasa zetu zitaendeshwa na wajinga mana wenye akili hawatajihusisha nazo na hapo taifa litazidi ku9ama.
The bias was obvious and intentended from what they presented, binafsi kufukuza watu kazi kwa sababu ya mapendekezo yanayo tokana na kamati za wabunge sasa nimekosa nayo imani.
 
Mpyepye wewe inaonyesha ni dv o holder, umeambiwa jibu maswali unajibu viroba + bhang. nyie ndio mnao andika bongo fleva kwenye paper!!!

Kiroho safi tu... heading ni tofauti kabisa na Uzi ila ukweli unauma ..jifunze kuandaa thread yako ieleweke kuanzia kichwa cha habari .
 

ZZK na kamati wana taarifa nyingi kuliko walizotoa,
wakimwaga mboga watamwaga ugali.
taarifa walizonazo zikifanyiwa kazi uchaguzi utakuwa jan 2015.
Shida itakuwa Ukonga haitatosha.
 
Mpyepye wewe inaonyesha ni dv o holder, umeambiwa jibu maswali unajibu viroba + bhang. nyie ndio mnao andika bongo fleva kwenye paper!!!

by theway maswali yako yote ni upuuzi mtupu jipange upya.
 
The bias was obvious and intentended from what they presented, binafsi kufukuza watu kazi kwa sababu ya mapendekezo yanayo tokana na kamati za wabunge sasa nimekosa nayo imani.

Ni hatari kuendesha nchi kwa utaratibu huu.
 
The bias was obvious and intentended from what they presented, binafsi kufukuza watu kazi kwa sababu ya mapendekezo yanayo tokana na kamati za wabunge sasa nimekosa nayo imani.

Ni hatari sana nchi kuendeshwa kwa utaratibu huu.
 
Back
Top Bottom