Mkoloni mweusi

monde arabe

JF-Expert Member
Oct 22, 2017
8,486
13,017
Habar za muda huu ndg wanajamvi,

Nimeona ni vema nianzishe Uzi maalum kwaajili ya kutazama harakati za m2 mweusi ktk kuupigania/demokrasia,kuanzia kipnd cha Mkoloni mweupe hadi kipind cha Mkoloni Mweusi

Mnamo miaka ya 1960's,kilikuwa ni kpnd cha Uhuru (kupigania Uhuru ktk Bara la Afrika) huku Ghana ikijipatia Uhuru mwaka 1957,Tanganyika 1961 na nchi nyingine nyingi zilipata Uhuru ndani ya miaka hyo ya 1960's
Lkn kwa bahati mbaya hata Waafrika wakati wanadai Uhuru walio wengi hawakuwa na tafsiri sahihi kuhusiana na neno 'UHURU',pia walio wengi hawakujua ni kwanini walikuwa wanapigania Uhuru

SABABU ILIYOFICHIKA;KWANINI WAAFRIKA WALIPIGANIA UHURU
Wazungu walipofka ktk Bara la Afrika walianzisha shule mbalimbali mfano Tabora boys na Mazengo Sec' na nyinginezo nyingi pamoja na vyuo vikuu ( mfano Makelele)
Lengo ilikuwa ni kutoa/kuwapatia watoto wa machief elimu,kwa kupitia fursa hii watoto au wajukuu wa baadhi ya machifu na Waafrika wachache walipata nafasi ya kusoma mpaka ng'ambo ( mfano Julius Nyerere,alikuwa Mjukuu wa Chief Burito)

Vjana hawa baada ya kuwa wameelimika ( early elites),wengi wakaingiwa na tamaa au uchu wa madaraka na ndpo hapo walipoanza kuwa- mobilize/pressurize Waafrika wenzao kudai Uhuru,lkn lengo la watu hawa halikuwa Uhuru tu pekee bali walihitaji kutawala na wasingeweza kutawala na wazungu wakiwepo

Kwa hyo wakaanzisha vuguvugu la kuwaondoa wazungu na kupandkiza mawazo mabaya kwa Waafrika wenzao ( To impose negative mentality to their fellow Africans about Whites),ikafikia mahali Waafrika wakaamini kuwa Wazungu ni watu waovu,wanyonyaji,watesaji,wadhalilishaji na wanaowatesa Waafrika... Lkn ukweli ulifichwa kama nilivyosema hapo awali " Waafrika wachache walikuwa wanahtaji kuwatawala,kuwanyanyasa na kuwanyonya Waafrika wenzao na wasingeweza kufanya hayo na wazungu wakiwepo"

Hatimaye Wazungu waliondoka na kurudi kwenye nchi zao japo baadae waliitwa na watawala na kurudi tena kama wawekezaji,lkn this time wao walihusika na masuala ya uchumi tu
Hapa ndipo 'CHANZO CHA KUIBUKA KWA MKOLONI MWEUSI'
Ukitaka kuijua habari hii vzur,soma Shairi la 'ALMANDO GUEBUZA,shairi linaitwa VULTURE'

SIFA ZA MKOLONI MWEUSI
Zifuatazo ni sifa za kufanana za Wakoloni Weusi ndani na nje ya Bara la Afrika
1.Wanang'ang'ania madarakani kwa;
A)Kutafsir katiba,mfano Nkurunziza alitafsiri katba,baada ya muda wake kuisha aliwaambia wananchi "muhula wa kwanza wa kpnd changu nilichaguliwa na Bunge,muhula wa pili mlinichagua ninyi wananchi...sasa muhula wa kwanza niliochaguliwa na Bunge tusiuhesabu,kwa hyo inabidi nishiriki uchaguz mwingine ili niwe na vpnd viwili vya kuchaguliwa na wananchi"
B)Kubadilisha katiba ( refered to Kagame)

2.Wanategemea zaidi majeshi na tume za uchaguzi kubaki madarakani na siyo kura za wananchi

3.Kwenye nchi zao wanazotawala huwa kuna mauaji,watu kutekwa na kupotea hasa wapinzani wao

4.Hawapendi vyombo vya habar kuripoti habar mbaya ambazo wanajua zitawapunguzia credibility kwenye jamii zao lkn pia kwenye jamii za kimataifa

5.Nchi zao huwa zinaambatana na kushuka kiuchumi ( fedha kukosa thamani,uhaba/kutokuwepo kwa ajira)
Sifa zpo nyingi lkn nimeona ni vema niwasilishe hizo chache

WITO WANGU KWA WANCHI
Huu ndyo muda wa kulipigania tena Bara la Afrika na kumuondoa Mkoloni mweusi ili Waafrika waweze kulifurahia Bara lao
Tukutane 26/04/2018 kusheherekea Muungano kwa akili na nafsi zilizounganika

Asanteni!
 
Mtoa post ebu rekebisha hapo hilo shairi la THE VULTURE limeandikwa na DAVID DIOP kutoka Nigeria kama sikosei.

ARMANDO GUEBUZA ameandika shairi linaitwa YOUR PAIN
 
hii ndiyo tabu. hata vyama vya upinzani havifikirii kuleta uhuru wa kweli bali vinafikiria kufaidi kama wenzao wanaotawala. sikuhizi nahisi ni wanaharakati wa kiraia ambao hawana malengo ya kisiasa ndiyo wanaoweza leta uhuru wa kweli.
 
Watch ur tongue!!! Kwamb hayat baba wa taifa na waasisi wa bara letu walikua wakoloni weusi!!.
 
Watch ur tongue!!! Kwamb hayat baba wa taifa na waasisi wa bara letu walikua wakoloni weusi!!.
Ukweli hauwezi kubadilika,huyo naye alikuwa na ambition zake kama mwanadamu wa kawaida
"Nimeota nchi fulani kuna vita"
 
Mtoa post ebu rekebisha hapo hilo shairi la THE VULTURE limeandikwa na DAVID DIOP kutoka Nigeria kama sikosei.

ARMANDO GUEBUZA ameandika shairi linaitwa YOUR PAIN
Nashukur kwa kunisahihisha Mkuu,lkn nadhani huyo David Diop anatokea Senegal (He is a Senegalese, but I am not so much sure with but I am just guessing)
Lkn ukisoma hilo Shairi la VULTURE,utaukuta ukweli!
 
Ukweli hauwezi kubadilika,huyo naye alikuwa na ambition zake kama mwanadamu wa kawaida
"Nimeota nchi fulani kuna vita"
hahaa ...kwahiyo jamaaa anapinga au "" wtu wengine bwana..hajui kuwa mchonga alimuweka ndani bibi titi na kumbambikia kesi ya uhaini ..kisa tu walipishana kimawazo ktik chama chao...
 
hahaa ...kwahiyo jamaaa anapinga au "" wtu wengine bwana..hajui kuwa mchonga alimuweka ndani bibi titi na kumbambikia kesi ya uhaini ..kisa tu walipishana kimawazo ktik chama chao...
Mchonga alikuwa akiwafunga kifungo cha nje wale wote aliotofautiana nao kimtazamo,mfano huko mkoani Dodoma aliibuka msomi mmoja enzi hizo so,mchonga akashikilia vyeti vya jamaa na akampeleka kijijini kwao na akamkabidhisha kwenye uongoz wa kijiji,then akatoa amri "m2 huyu asitoke nje ya kijiji hiki kamwe"
 
Mchonga alikuwa akiwafunga kifungo cha nje wale wote aliotofautiana nao kimtazamo,mfano huko mkoani Dodoma aliibuka msomi mmoja enzi hizo so,mchonga akashikilia vyeti vya jamaa na akampeleka kijijini kwao na akamkabidhisha kwenye uongoz wa kijiji,then akatoa amri "m2 huyu asitoke nje ya kijiji hiki kamwe"
tatizo vijana hawataki kusoma historian wala kuuliza hivi vitu ""
mchonga mbona aliwapeleka watu mchaka mchaka mnooo"" aisee
 
The Vultures
In that time
When civilization struck with insults
When holy water struck domesticated brows
The vultures built in the shadow of their claws
The bloody monument of the tutelary era
In that time
Laughter gasped its last in the metallic hell of roads
And the monotonous rhythm of Paternosters
Covered the groans on plantations run for profit
O sour memory of extorted kisses
Promises mutilated by machine-gun blasts
Strange men who were not men
You knew all the books you did not know love
Or the hands that fertilize the womb of the earth
The roots of our hands deep as revolt
Despite your hymns of pride among boneyards
Villages laid waste and Africa dismembered
Hope lived in us like a citadel
And from the mines of Swaziland to the heavy sweat of Europe’s factories
Spring will put on flesh under our steps of light.
 
The Vultures
In that time
When civilization struck with insults
When holy water struck domesticated brows
The vultures built in the shadow of their claws
The bloody monument of the tutelary era
In that time
Laughter gasped its last in the metallic hell of roads
And the monotonous rhythm of Paternosters
Covered the groans on plantations run for profit
O sour memory of extorted kisses
Promises mutilated by machine-gun blasts
Strange men who were not men
You knew all the books you did not know love
Or the hands that fertilize the womb of the earth
The roots of our hands deep as revolt
Despite your hymns of pride among boneyards
Villages laid waste and Africa dismembered
Hope lived in us like a citadel
And from the mines of Swaziland to the heavy sweat of Europe’s factories
Spring will put on flesh under our steps of light.
Nimekupenda bure ungekuwa karibu ningekubeba mgongoni kwa umbali wowote ambao ungeutaka ww, ninge kununulia ma- apple na bia ya kusindikiza weekend!
 
Back
Top Bottom