Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,170
- 12,216
Hii sayansi ya kitapeli haikuwepo kichwani kwangu. Ni kiasi umenibusti katika kunijenga zaidi.
Na mtoto akiisha kuzaliwa anatambulishwa kwa mababa wote hao 10 ki roho safi kabisa?Kweli nikupe ongera kwa kufikiria na kupata hili na kupost pia.
Ulichopost kina ukweli ndani yake wako wengi wakina mama wa aina hiyo ya kihuni.
Wako na wengine mimba moja baba wa mimba hiyo wako (10) na wote wanaitumikia hiyo mimba na wajuani na kadi za clinic ya mimba zina kuwepo idadi hiyo kila anaetaka aone kadi hupewa ilioandikwa jina lake.
Na vituo vya huduma viko sawa na idadi ya baba wa hiyo mimba hapo upo?
Mara nyingi ni baba wasio zidi wawili... Mimi jamaa yangu yalishamtokea... Nilimpeleka kwa shemeji akasalimie mwanawe aliyekuwa anamhudumia huduma zoteNa mtoto akiisha kuzaliwa anatambulishwa kwa mababa wote hao 10 ki roho safi kabisa?
kila ikitolewa imooooMkuu umefikiria sana. Ilitokea juz juz jamaa mmoja. Kaenda na demu kamkubalia wakati wa kufanya jamaa akataka a withdraw demu akakataa. Baada ya mwezi kamwambia anamimba na hajajiandaa itabidi akatoe. Akalambwa hela ya kutolea. Aka kaa wiki akamwambia anaumwa anaenda kicheki akamwambia haikutoka anahitaji dawa tena akalambwa hela tena. Akakaa kdogo akamwambia hali mbaya uchafu unatoka anahitaiji kusafishwa akalamba hela ya kusafishia. Haka kamchezo kabaya sana. Hapa mkuu umefungua macho wengi sana
Natamani kutag mtu humu ila policy hainiruhusu aliniingiza king ila ilifeli jamani tuheshimu wazee wetu kwani kwa akili yangu pekee niliingia king nashukuru akili ya shangazi nikabaki salamaMji mzito sana huu
Kuna mambo yanaendelea kimyakimya na chini kwa chini huku baadhi wakibaki na vicheko baada ya kupiga pesa ya mabwege na huku wengine wakibaki na majuto na kujiapiza kutorudia tena.
Baadhi ya wanaume wenye macho juu Wamepigwa sana kwenye hili jambo.. Naamini hata kati ya wasomaji watakaosoma hii mada ni wahanga wa hili jambo.
Ujumbe wa BABY NINA MIMBA YAKO.. huwachanganya sana mabazazi na wale wanaojiita mabaharia bila kuwasahau wazee wa mjini... Wazee wa bandari... Unapopata ujumbe kama huu toka kwa mchepuko wako ambaye anaweza kuwa mke wa mtu bandia au halisi, mwanafunzi (halisi au bandia) danga nk unachanganyikiwa kabisa.. Cha kwanza kuwaza ni mke wako nyumbani... Mpenzi wako... Kazi yako ama maisha yako.
Kuna wanawake siku hizi hii ndio biashara yao kubwa na inawalipa vizuri tu .. Unakutana na binti au mdada mzuri kweli unatupa nyavu zinanasa kimasikhara kabisa lakini unapewa onyo mapema... Mimi ni mwanafunzi au mimi nina mtu wangu au mimi ni mke wa mtu.... Bila kutafakari hilo onyo unasema utafanya siri.. Unakubaliwa unakula mzigo kiboya kabisa
Bila kujijua kuwa uko kwenye foleni ndefu ya kubambikiwa ujauzito feki mwanaume kidume wewe unajiachia kwa raha zako.. Ukimhitaji mtoto unampata unakula anasepa. Na anaweza kabisa awe hakusumbui kwa shida ndogo ndogo.... Usijione mjanja ukadhani umepata... Tambua tu umepatikana
Siku yako ya kupigwa ikifika unapata ujumbe mbaya wa ujauzito na unaambiwa wazi kabisa kuwa hayuko tayari kuzaa kwa wakati huo... Kwahiyo mzee inabidi udhamini mchezo... Na ili kukuaminisha mnaenda wote hospital kupima.. Kumbe tayari mwenzako ana kichupa chake cha mkojo wa mtu mwingine kabisa mwenye ujauzito amekificha kwenye chupi yake
Ni wazi hutamsindikiza mpaka chooni hata akikuomba.. Sana sana utaishia mlangoni.. Yeye huko ndani atabadili tu mkojo toka kichupa alichokuja nacho kwenda alichopewa hospital... Majibu yakitoka... Imooo.. ...
Kifuatacho ni gharama za kutoa mimba tena anachagua Marie Stopes.. Ukikomaa kwenda naye mpaka daktari atapangwa...
Baada ya hapo unahudumia 'mgonjwa' na akipona unapigwa chini.. Mchezo unaendelea kwa maboya wengine....
Wanaonunua mikojo ya waja wazito wengi wao sio kwa ajili ya ushirikina bali kwa ajili ya kuwapiga mabazazi... Najua umesoma huku ukikumbuka pesa ulizotoa kwa ajili ya abortion huku ukijisifu kwa wanaume mwenzako kuwa una mbegu Kali sana.. Ukigusa tu kitu na box... unaibiwaaa...Boya WEWE
Hatari. Na kila akienda kutoa laki ya dawa nauli za bajaji, na posho ya daktarikila ikitolewa imoooo
Hilo la mafumanizi feki wala siyo mjini tu...Mkuu Mshana Jr hili ni kweli nishawahi kushuhudia kisa kama hiki! Tena kuna wengine wameenda mbali zaidi mpaka kuandaa fumanizi feki kwa mke au mtoto! Unakutana na dogo mtaani anakudanganya mwanafunzi na picha juu..siku ya kwenda kumla anakutengenezea mazingira ushikwe then wanakuchomoa hela.
Hawa watu ni professional wanaijua kazi yao vizuri na wengine ndio kazi zinazowaweka mjini..watu wanafunga mpaka P.O.P feki na vyetu juu..ukiwa mwepesi unapigwa vizuri tu!
Kabisa aisee... sindo hawahawa akina Mwanani sijui yule aliwaua juzi wachaga wengi tuWatu mliokulia Mbeya sio wa kuwaamini sana.
Jamaa unanifurahisha sana wewe comments zako ni fupi fupi tuNgoja niingie dobi kwanza
Asante sana braza.Jamaa unanifurahisha sana wewe comments zako ni fupi fupi tu
ngoja niingie gym kwanza
Ngoja niingie dobi kwanza
Ngoja ni... kwanza
Yaani hunaga kucomplicate mambo nachekaga sana