Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,256
- 6,893
Jameni kwa wale wenye vikundi ndani ya vodacom @M-koba..hawa watu wameanza wizi wa kuzuia miamala ya watu..fedha hazitoki na wanachofanya wanaweka kanuni zao wenyewe za utoaji fedha badala ya kanuni za wenyw kikundi. Na hata ukipiga simu customer care hakuna jibu la maana zaidi ya longolongo.
Kwa we mnaofikiria kujiunga na hichi kitu kuweni waangalifu
vodafone
Kwa we mnaofikiria kujiunga na hichi kitu kuweni waangalifu
vodafone