Mkoa wa Mbeya ndio nchi ya ahadi?

Acha kudanganya wewe nani kakwambia shia ni waislamu!

Una maana Sunni ndio waislamu pekee? Kama hujui kitu bora unyamaze. Mimi sio muislamu lakini naelewa fika kuwa katika uislamu kuna madhehebu ya Sunni (Mf. Saudi Arabia) na Shia (Mf. Iran).
 
Mungu Baba, Mungu Mwana (Yesu Kristo) na Mungu Roho Mtakatifu.
Mungu ni mmoja, ila anatenda kazi kama Mungu Mwana( Kuukomboa ulimwengu na dhambi zake na kurudisha mamlaka kwa mwanadamu).
Mungu Roho Mtakatifu ( Ni msaidizi kwa wale wote walio mkiri na kumpokea Kristo kua mwokozi wa maisha yao, yaani Roho wa Mungu akae ndani yetu, Roho Mtakatifu hutenda kazi na nimsaidizi kwa wale wote waamin kwa kuwasaidia katika yale ambayo kibinadamu ni ngumu kuyaweza).

Mfano wewe hapo uwe CEO wa company X.
Je hauwezi fanya kazi kama Branch Manager au Mshauri ili kuifanya company X kufanikiwa ingawa u CEO?
Na je ukifanya ivyo u CEO wako unafutika ?

Sawa, kwahiyo kipindi mungu anatenda kazi kama mungu mwana (yesu kristo) tunaona kwamba, huyu mungu mwana anasulubiwa na baada anakufa na kufufuka kama mnavyoamini, Swali, wakati huyu mwana amekufa dunia ilikuwa inaendeshwa na nani?
 
Una maana Sunni ndio waislamu pekee? Kama hujui kitu bora unyamaze. Mimi sio muislamu lakini naelewa fika kuwa katika uislamu kuna madhehebu ya Sunni (Mf. Saudi Arabia) na Shia (Mf. Iran).

Tatizo lenu ndio hilo, badala ya kusoma upande wa pili wa shilingi nyinyi mmeng'ang'ania na agano tu. Mimi ndio nakwambia kwenye uislam hakuna dhehebu linaloitwa shia.
 
Tatizo lenu ndio hilo, badala ya kusoma upande wa pili wa shilingi nyinyi mmeng'ang'ania na agano tu. Mimi ndio nakwambia kwenye uislam hakuna dhehebu linaloitwa shia.

Wale wa Iran ni madhehebu (kiswahili hakina neno dhehebu) gani? Nisaidie hapo kwanza Sheikh.
 
CC FaizaFoxy

Una maana Sunni ndio waislamu pekee? Kama hujui kitu bora unyamaze. Mimi sio muislamu lakini naelewa fika kuwa katika uislamu kuna madhehebu ya Sunni (Mf. Saudi Arabia) na Shia (Mf. Iran).

quote_icon.png
By kimbwe
Tatizo lenu ndio hilo, badala ya kusoma upande wa pili wa shilingi nyinyi mmeng'ang'ania na agano tu. Mimi ndio nakwambia kwenye uislam hakuna dhehebu linaloitwa shia.



Wale wa Iran ni madhehebu (kiswahili hakina neno dhehebu) gani? Nisaidie hapo kwanza Sheikh.
 
Wale wa Iran ni madhehebu (kiswahili hakina neno dhehebu) gani? Nisaidie hapo kwanza Sheikh.

Mi siongelei kuhusu Iran hapa, Ila ninachokwambia kuwa kwenye uislam hakuna dhehebu, ni kundi moja tu, imani moja tu, nyumba ya ibada ni moja. Ukisikia mtu anajiita mi shia, sijui kadiani, bohora, ahmadiya n.k hao si miongoni mwa waislam.
 
Mi siongelei kuhusu Iran hapa, Ila ninachokwambia kuwa kwenye uislam hakuna dhehebu, ni kundi moja tu, imani moja tu, nyumba ya ibada ni moja. Ukisikia mtu anajiita mi shia, sijui kadiani, bohora, ahmadiya n.k hao si miongoni mwa waislam.

Unayo habari kwamba kuna vita nchini Yemen?

Je unajua vita hiyo ina pande mbili? Waasi wakisaidiwa na Iran (Shia) na Serikali ikisaidiwa na Saudi Arabia (Sunni).

Imam Hussein ana umuhimu kwa Sunni kama ilivyo kwa waShia?

Kama unayajua hayo, utaelewa naongelea nini.
 
Wanabodi,

Kwanza naomba nieleweke kuwa sina nia mbaya na hayo Makanisa, bali naomba kujua nini hasa chanzo cha mkoa wa Mbeya kuwa na Makanisa mengi ya waumini wa madhehebu ya dini. Pia hata waimbaji wengi wa nyimbo za Injili wanatoka mkoani Mbeya, hivi nini chanzo?

Elimu haina mwisho..

Kwasababu Mbeya ni lango!!
 
Unayo habari kwamba kuna vita nchini Yemen?

Je unajua vita hiyo ina pande mbili? Waasi wakisaidiwa na Iran (Shia) na Serikali ikisaidiwa na Saudi Arabia (Sunni).

Imam Hussein ana umuhimu kwa Sunni kama ilivyo kwa waShia?

Kama unayajua hayo, utaelewa naongelea nini.

Sunni/Answar Sunni/ Sunat al-jamaa, (hili ni kundi linalohuisha sunna za mtume (s.a.w) ) na hii ni sifa ya kila mwislam anatakiwa kuwa nayo, na si dhehebu kama mnavyofikiri. Sijajua mankiti ya wewe kumuweka Imam Husein hapa, kwani huyo alikuwa ni mjukuu wa Mtume.
 
Sunni/Answar Sunni/ Sunat al-jamaa, (hili ni kundi linalohuisha sunna za mtume (s.a.w) ) na hii ni sifa ya kila mwislam anatakiwa kuwa nayo, na si dhehebu kama mnavyofikiri. Sijajua mankiti ya wewe kumuweka Imam Husein hapa, kwani huyo alikuwa ni mjukuu wa Mtume.

Nimemuweka Imam Hussein kwa kuwa ndio chanzo cha mgawanyiko wa Sunni na Shia. Wakati wote wa Mtume Mohammed (s.a.w) hakukukuwa na Sunni wala Shia. Baada ya kifo chake kulizuka ubishani wa nani kuwa mrithi wa Mtume (s.a.w). Kundi lililokuja kuwa Shia walitaka Imam Hussein ndiyo awe mrithi wake.
 
Kibo yake ni Kenya ndio kwenye Vituko huko vya wanaoanzisha makanisa na kufanya mambo ya kishetani.
Lengo la Makanisa ni jema sana,ila upande wa Kenya wao kila kukicha utasikia Kanisa fulani limeanzishwa na vituko vyake balaa.
Maana jana tu nimeona Citizen kuna kanisa limeanzishwa na Mchungaji anapinga kabisa Wanafunzi kusoma.Na kusema kwamba kusoma ni mfumo wa kishetani.
Na amepata wafuasi kibao ambao ni wanafunzi wa Vyuo vikuu walioacha Chuo na kujiunga nae.Tena jamaa kajipanga kweli,alihojiwa alishuka nondo za maana kweli kweli.Hahaha aisee
Nasikia serikali imemtia hatiani na kumpeleka mahakamani.
 
Nimemuweka Imam Hussein kwa kuwa ndio chanzo cha mgawanyiko wa Sunni na Shia. Wakati wote wa Mtume Mohammed (s.a.w) hakukukuwa na Sunni wala Shia. Baada ya kifo chake kulizuka ubishani wa nani kuwa mrithi wa Mtume (s.a.w). Kundi lililokuja kuwa Shia walitaka Imam Hussein ndiyo awe mrithi wake.

Acha uongo wewe nani kakwambia Husein alitakumrithi Mtume, alafu nani kakwambia utume unarithiwa?, ndio maana nimekwambia uwe unasoma, Mtume (s.a.w) ndio mtume wa mwisho na hatokuja mtume mwingine hadi siku ya mwisho, haya ndiyo mafundisho ya uislam, Na baada ya kufa mtume hakukuwa na mtume isipokuwa kulikuwa na cheo cha ''khalifa'' na Khalifa wa kwanza alikuwa Abubaqar Sidiq (R.A), Wapili Umar (R.A), watatu Othuman Bin Afhan (R.A) kisha akafuatia Alii bin Talib, na hawa wote walikuwa maswahaba wakubwa wa mtume (s.a.w). Ukisoma utaelewa zaidi.
 
Acha uongo wewe nani kakwambia Husein alitakumrithi Mtume, alafu nani kakwambia utume unarithiwa?, ndio maana nimekwambia uwe unasoma, Mtume (s.a.w) ndio mtume wa mwisho na hatokuja mtume mwingine hadi siku ya mwisho, haya ndiyo mafundisho ya uislam, Na baada ya kufa mtume hakukuwa na mtume isipokuwa kulikuwa na cheo cha ''khalifa'' na Khalifa wa kwanza alikuwa Abubaqar Sidiq (R.A), Wapili Umar (R.A), watatu Othuman Bin Afhan (R.A) kisha akafuatia Alii bin Talib, na hawa wote walikuwa maswahaba wakubwa wa mtume (s.a.w). Ukisoma utaelewa zaidi.

Yes nina maana huyo Khalifa for that matter.Hawakurithi utume as common sense will suggest lakini uongozi ndio.
Uzuri hivi vitu vipo kwa mwenye kusoma ajisomee tu.
Utume haurithiwi, hilo kila mtu analijua. Kwa hiyo hamna uongo hapo.
 
Yes nina maana huyo Khalifa for that matter.Hawakurithi utume as common sense will suggest lakini uongozi ndio.
Uzuri hivi vitu vipo kwa mwenye kusoma ajisomee tu.
Utume haurithiwi, hilo kila mtu analijua. Kwa hiyo hamna uongo hapo.

Poa, tuwe tunajisomea kaka, tutafahamu mambo mengi tu.
 
Back
Top Bottom