Ukiona hivyo ujue Mafundisho ya Kulipa visasi, kujitoa Muhanga, kuGARISA watu. Yoote haya hayana nafasi huko Mbeya
Unanikumbusha mbali sana. Hizo pande za ukweli. Hali ya hewa saaafi kabisa, no msongamano. Big Up sana Green City.
Ni kwa sababu MBEYA tuenda na matukio na si kwa akili zetu hebu angalia mwitikio wa vyama vingi kwa sasa hakuna chama hakina mfuasi mbeya
ukiona makanisa mengi ujue watu wa hapo hawana misimamo!!!!
Umehamia kwenye roho tena, Ni sahhihi, Kila binadamu ana roho yake, so what?
Nani kaanza kum quote mwenzake?
Mshamba wewe.
Matusi yanatoka wapi sasa, Ni mimi ndio nimeanza kuku-quote, naomba uniambie mungu wa yesu ni yupi wakati yesu mwenyewe mnamwita mungu?,
Imani yangu na yako ni tofauti, hata nikianza kukuelekeza itakua ni kupoteza mda.
Ila kama uko tayari kua imani moja na mimi sawa nitakuelekeza .
Wanabodi,
Kwanza naomba nisieleweke kuwa sina nia mbaya na hayo Makanisa, bali naomba kujua nini hasa chanzo cha mkoa wa Mbeya kuwa na Makanisa mengi ya waumini wa madhehebu ya dini. Pia hata waimbaji wengi wa nyimbo za Injili wanatoka mkoani Mbeya, hivi nini chanzo?
Elimu haina mwisho..
Tuambie Kosa lipo wapi kuwa na Makanisa mengi?Wanabodi,
Kwanza naomba nisieleweke kuwa sina nia mbaya na hayo Makanisa, bali naomba kujua nini hasa chanzo cha mkoa wa Mbeya kuwa na Makanisa mengi ya waumini wa madhehebu ya dini. Pia hata waimbaji wengi wa nyimbo za Injili wanatoka mkoani Mbeya, hivi nini chanzo?
Elimu haina mwisho..
Wanabodi,
Kwanza naomba nisieleweke kuwa sina nia mbaya na hayo Makanisa, bali naomba kujua nini hasa chanzo cha mkoa wa Mbeya kuwa na Makanisa mengi ya waumini wa madhehebu ya dini. Pia hata waimbaji wengi wa nyimbo za Injili wanatoka mkoani Mbeya, hivi nini chanzo?
Elimu haina mwisho..
Tunafahamu kuwa allah huwa hajibu maswali. Maana allah aliondoka pale Muhammad alipo kufa. Nyie ni Yatima katika dini yenu.wewe uliwahi kumuuliza mungu swali gani ?..... na alikujibu nini ?
Ni kutafuta ulaji tu kupitia sadaka!!!!!
Teeeh,teeeh,teeeh,mbeya kwa mtu mchafu anaweza akalivaa shati wiki
Sasa kwani kuna shida gani, ndio nataka unieleweshe, kwani dini sio jambo la kurithi kutoka kwa mama, baba au babu kama unavyofikiri.
Aise Mbeya 'kila mtu'ni mlokole.Sijui kuna kitu gani