Ukweli hata kama ni mchungu lazima tuuseme.Fanyeni kaz achen kulalama kama mademu na kumusingizia mwenye heri nyerere mwachen apumuzike
Maendeleo yanaletwa kwa kufanya kaz wala siyo kulalama lalama
Watu wa Kanda ya Ziwa wana nguvu na hawaogopi kaza. Watu dhaifu na wanakotoka.