Mkoa wa Mara kulikoni, serikali imeusahau?

Mkoa wa Mara kulikoni, serikali imeusahau?

Pole sana,lakini ukweli ni mikoa mingi,mimi niko Iringa sijamuona wala sijasikia kama kapita kwenda Mbeya.
Kuna Rais, waziri mkuu na makamu wa rais tayari hao wawili walifika huko kwenu
 
Usiulaumu mkoa wa mara laumu watu wake ni wez baraa yaan hawajitambui kabisa hawa watu kazi kuibia watu pasipo kufanya kazi mfano sahara wakurya wamejaa ni vibaka wa kutisha hawa watu
 
Tunao hapa mwanza asubuhi tu washapiga viloba afu jion ni ukabaji

Ukienda butimba wafungwa asilimia 90 ni watu kutoka musoma

Katika makabira yote ya mkoa wa mara matajili hawazid kumi


Gachuma, zakaria,kitana.
Bas wanaisha mkoa mzima
 
Usiulaumu mkoa wa mara laumu watu wake ni wez baraa yaan hawajitambui kabisa hawa watu kazi kuibia watu pasipo kufanya kazi mfano sahara wakurya wamejaa ni vibaka wa kutisha hawa watu
Kuliko Wachaga? Wachaga wanaiba kwa silaha za aina mbali mbali, ufisadi na rushwa
 
Visasi tu... Ila si nasikia Mkono anasaidia sana wananchi wa huko....
 
Ile kiburi, hasira na Roho za wakurya zinawanyima mengi kwani wanaonekana kama si wanadamu.
 
Mkoa wa Mara alitoka Baba wa Taifa, ingawa ni Mkoa ulioko nyuma kimaendeleo.
Katika awamu hii bado sijasikia kiongozi wa serikali walau akiwa ziarani huko na walau kutoa ahadi ya kimaendeleo kwa mkoa. Mkoa unahitaji maji kwenye wilaya zote, barabara, uboreshaji wa elimu na afya, eneo la epz, umeme
Unataka ziara za viongozi wenu hao waropokaji ili iweje? Sisi watu wa Mara huwa hatuvumilii kauli za kipuuzi wakija huku wasiongee kauli zao za kibabe tutawanyoosha.


By Kamanda wa KIRIBA kwa sasa ARUSHA
 
Daaa! Wao kwenye vijiwe vya kahawa kutwa siasa tu! Badilikeni ndugu zangu!
Mara hatuna upuuzi wa kahawa but wao viongozi wanaogopa mara kwani ukiongea Mambo ya kijinga hstujali cheo chako tunakunyoosha. Sasa wameona kwa maneno yao yasiyo na staha na yenye udanganyifu mwingi waishie kwa wasukuma.
 
Acha kukatisha tamaa namna hiyo
Watu wa Mara wanahitaji majibu ya maswali yao, kama mkuu wa kitengo toa majibu ili sie wengine tuache kukatisha tamaa la sivyo majibu yetu yataendelea kuwa majibu mujarabu
 
Jk alikuwa anaenda mkoa mara lkn likizo ya kupumzika pale serengeti parks. Mh pombe sidhani atakanyaga mara. Maendeleo ndo hakuna kabisa airport ni mashimo tu. Rami ni pale mjini pekee ake. Wabunge wote wa mkoa vilaza kasoro Muhongo tu ila wote wehuu.kitu kingine tuna wabunge wengi wa upinzani serikali imetuzira. Mkoa umesahaurika.
 
Muache kupiga wanawake pigeni kazi...tafteni ubabe wa kiviwanda na hasira za maendeleo. Serikali haitoondoa umaskini Mara bila wamara mwenyewe.
 
Back
Top Bottom