boma2000
JF-Expert Member
- Oct 18, 2009
- 3,321
- 318
- Thread starter
- #61
Unataka ziara za viongozi wenu hao waropokaji ili iweje? Sisi watu wa Mara huwa hatuvumilii kauli za kipuuzi wakija huku wasiongee kauli zao za kibabe tutawanyoosha.
By Kamanda wa KIRIBA kwa sasa ARUSHA
Wewe uko Arusha mambo ya Mara huwezi kuyajua vema