Mkoa wa Mara kulikoni, serikali imeusahau?

Mkoa wa Mara kulikoni, serikali imeusahau?

Kwa upande wa elimu Mara wajilaumu wenyewe kwa kuendekeza kukaririsha wanafunzi,aliyefeli f2 anarudia la tano,aliyefeli f4 anarudia la 7,alifeli la 7 anarudia la 6La7 matokeo yake madarasa hayafundishiki,mwl yeyote akihoji,anaadhibiwa na afisaelimu,anatishwa na wazawa,akitokea afisaelimu sio mzawa akawa mkali wazawa wanamfanyia visa,anaondoka badilikeni,
 
tatizo sio serikali mnalaumu serikali bure nyie wenyewe hamtaki kuwekeza kwenu, kwa mkoa ulio mpakani, wenye ziwa kubwa victoria, mgodi wa dhahabu na mbuga kubwa serengeti hali iliyopo inasikitisha sana.Mwanza mjini wamejaa watu wa mara na watu wa mara ambao wana uwezo mkubwa huku dar lakini wameshindwa kuwekeza kwao ni wengi sana badilikeni acheni kulalamikia serikali
 
Daaa! Wao kwenye vijiwe vya kahawa kutwa siasa tu! Badilikeni ndugu zangu!
Ndiyo shida ya watu mnaodhani Mara ni Musoma mjini tu. Serengeti, Bunda, Tarime, Kiabakari(?), Rorya nk kumbe ni wanywa kahawa!
 
tatizo sio serikali mnalaumu serikali bure nyie wenyewe hamtaki kuwekeza kwenu, kwa mkoa ulio mpakani, wenye ziwa kubwa victoria, mgodi wa dhahabu na mbuga kubwa serengeti hali iliyopo inasikitisha sana.Mwanza mjini wamejaa watu wa mara na watu wa mara ambao wana uwezo mkubwa huku dar lakini wameshindwa kuwekeza kwao ni wengi sana badilikeni acheni kulalamikia serikali
Ndugu yangu wamejaa lakin hawana uwezo wa kuwekeza maana wengi wao ni machinga wa kutembeza mashuka na vyombo unamukuta mkurya baba mzima kabeba vibanio anatembeza yaan had huruma aisee

Wakurya matajiri hawazid watano
Zakaria ,gachuma ,kitana
 
Ndiyo shida ya watu mnaodhani Mara ni Musoma mjini tu. Serengeti, Bunda, Tarime, Kiabakari(?), Rorya nk kumbe ni wanywa kahawa!
Mbona bunda pale wenye maendeleo ni wasukuma wala sio watu wa musoma selengeti nayo wamevamia wasukuma
 
Kwa kifupi watu wanaotuabisha kanda ya ziwa ni wakurya mkoa wa mara unazidiwa na kahama na geita haya ni majanga aisee
 
Jitambueni kwanza Kudeki LAMI Kuliwashusha sana CREDIT, Mlifanya jambo la ajabu sana
Labda wameiga kilichofanyika hapa Dar, maana mara zote marais wa Marekani walipokuja hapa lami zilidekiwa! Punguza chuki zisizo na maana, ni hatari kwa afya yako.
 
Mkoa wa Mara ukifika kwa mara ya kwanza unaweza kuhisi uko somalia kwa mbele panatisha kuanzia barabara,maji huduma za afya yaani huo mkoa uacheni tu labda ndio maana watu wake wanakuwa wakatili.
 
Mbona bunda pale wenye maendeleo ni wasukuma wala sio watu wa musoma selengeti nayo wamevamia wasukuma
Unamaanisha nini unaposema siyo watu wa Musoma? Kwa hiyo hili jibu lako limedhibitishaje kuwa watu wa Mara kazi yao ni kunywa kahawa kama post niliyoijibu ilivyodai? Una habari kuwa wilaya ya bunda inahusisha maeneo ambayo ni ya wasukuma tangu zamani? Kwa mtazamo wako huu, ukiwa pale Mwanza mjini matajiri wote ni wasukuma?
 
Ile kiburi, hasira na Roho za wakurya zinawanyima mengi kwani wanaonekana kama si wanadamu.
Kumbe 'malaika' ni mkurya! Kwa taarifa yako, katika mkoa ule wakurya hasa wako Tarime na Serengeti, Sasa nenda ukatafute katika mkoa wa Mara ni wilaya zipi ziko vizuri!
 
Unamaanisha nini unaposema siyo watu wa Musoma? Kwa hiyo hili jibu lako limedhibitishaje kuwa watu wa Mara kazi yao ni kunywa kahawa kama post niliyoijibu ilivyodai? Una habari kuwa wilaya ya bunda inahusisha maeneo ambayo ni ya wasukuma tangu zamani? Kwa mtazamo wako huu, ukiwa pale Mwanza mjini matajiri wote ni wasukuma?
No hujanielewa kaka namanisha kwa pale bunda mjin wenye maendeleo ni wasukuma wala sio wakurya au waikizu
 
Kumbe 'malaika' ni mkurya! Kwa taarifa yako, katika mkoa ule wakurya hasa wako Tarime na Serengeti, Sasa nenda ukatafute katika mkoa wa Mara ni wilaya zipi ziko vizuri!
Tarime kuna maendeleo gan kaka unaweza kulinganisha na wilaya ya kahama au wewe ni wa wapi serengeti yale majengo ya akina mkapa nayo unazan ni yawatu wa msoma
 
Mimi huwez kunidanganya chochote kuhusu kanda ya ziwa mara imechoka sana hongelen sana wahaya kwa bukoba nzur ya kupendeza
 
Nakumbuka musoma mjini maji safi Hamna .....Yan hunywi maji mpaka uchemshe.... Maji yamgao japo ziwa Victoria lipo.... So sad nilisoma kwa tabu sana Mara sec
 
Hivi ndugu mkoa Mara mbona una maji mengi, ziwa Victoria na MTO Mara na vijito kadhaa. Tumieni hayo maji kufanya mageuzi kwenye kilimo faida mtaiona.msingoje serikali mtasuburi sana. Waigeni watu wa morogoro hasa kilosa,kilombero na ulanga
 
Kwa upande wa elimu Mara wajilaumu wenyewe kwa kuendekeza kukaririsha wanafunzi,aliyefeli f2 anarudia la tano,aliyefeli f4 anarudia la 7,alifeli la 7 anarudia la 6La7 matokeo yake madarasa hayafundishiki,mwl yeyote akihoji,anaadhibiwa na afisaelimu,anatishwa na wazawa,akitokea afisaelimu sio mzawa akawa mkali wazawa wanamfanyia visa,anaondoka badilikeni,
Jibu ni kwamba, majungu huko ndio kwao!
 
Back
Top Bottom