Mkoa wa Arusha hali ni mbaya

Mkoa wa Arusha hali ni mbaya

Mleta uzi umeleta uchochezi ambao hakuna tija nani asiye fahamu awamu ya tano ilivyo jenga barabara Arusha,achilia mbali barabara ya Arusha himo Nairobi taveta ambayo hivi sasa ni ya motorway yaani mahari hayapishani.
Barabara za ndani katikati ya jiji kuunganisha kila mtaa.Serikali imejito na kujozatiti japo kuwa Arusha kwa muda mrefu imekosa wabunge wa kusema shida za wananchi badala yake wa!ekuwa wakifanya vurugu tu bungeni.
Hiyo barabara uliyo ipost ya mianzini ukienda mbele imejengwa kwa kiwango cha lami hadi ilboru,kimebakia kipande kidogo sana cha kuunganisha kwenda hadi mataa mianzini.Hii yote ni juhudi ya serikali pasipo mbunge kuhusika kwani yeye yupo busy na kampuni yake ya utalii ili alipe madeni aliyokopa kwenye saccos yake ya ufipa.Kama mtakumbuka raisi alipita kwenye hiyo barabara akasimama maeneo ya haika kumuulizia mbunge hayupo kwenye ziara,mbumge kutafutwa kwenye simu anasema hana taarifa ya ziara na hayupo karibu.Ni wakati muafaka wa kumchagua mwakilishi mzuri anaye weza kusukuma gurudumu la maendeleo sawa na kazi jpm achaneni na hao wana sacoss ya ufipa.

Pumbavu kabisa huyu jamaa analeta habari za kichochezii..
Kasahau kua baadhi yetu pia tupo Arusha..
 
Tatizo uelewa wako ni wachini Sana hata nikiongee na ww mpaka kesho, hatutaelewana.
Shida niionayo kwa wengi humu ni kuwa wengi wenu uelewa wa wengine mnaupima kwa eidha kukubaliana au kutokubaliana na wewe.... MTU akikuunga mkono ukisemacho, kwako ina maana MTU HUYO ana uelewa mkubwa, na akikupinga unamtazama kuwa ana uelewa mdogo.... !!! MAKOSA haya mnafanya.... Sometimes kukuunga mkono ni kuongeza idadi ya wasio na uelewa au wenye uelewa mdogo...
 
Declaration of interest.
Mimi nimesoma Arusha, na pia nimeoa Arusha hivyo Arusha nakuja sana, ni kama kwangu, nakiri kwa kweli kabisa, hii hali ni mbaya sana, sikuwahi kushuhudia barabara kama hii maeneo ya mjini kati, labda Ngarenaro, Kijenge ya Juu na Olamatejoo ya enzi hizo.

Ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani?. Kuna Barabara za Tarura na za Tanroad, sijawahi kuisikia barabara hii ikizungumzwa popote. Jee mbunge yupo?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi.

Hata si mliishaambiwa ili eneo fulani lipate maendeleo mnatakiwa kufanya nini?. Inawezekana Wana Arusha mlifanya makosa sana, ndio maana hali ni hii, sasa ili mpate maendeleo, msirudie tena makosa kama yale ili Arusha irudie ile hadhi yake ya zamani, pia naomba kuwahakikishia, kama mlifanya makosa, mmeisha samehewa, kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa.

P

Bias?? vipi ile kauli ya kwamba kuhusu suala la maendeleo kaskazini wasubiri kwanza, nadhani ndilo linatekelezwa.
 
We ni muongo na mnafiki sana,we ni msukuma ndugu yake dikteta hivyo huwezi sifia ya arusha wakati nyinyi wasukuma mnawaona wachaga maadui,
Msomi gani usiyejielewa umekaria kulamba matako ya wakubwa ili angalau uteuliwe, wewe Mayalla huna tofauti na Msiba.
Declaration of interest.
Mimi nimesoma Arusha, na pia nimeoa Arusha hivyo Arusha nakuja sana, ni kama kwangu, nakiri kwa kweli kabisa, hii hali ni mbaya sana, sikuwahi kushuhudia barabara kama hii maeneo ya mjini kati, labda Ngarenaro, Kijenge ya Juu na Olamatejoo ya enzi hizo.

Ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani?. Kuna Barabara za Tarura na za Tanroad, sijawahi kuisikia barabara hii ikizungumzwa popote. Jee mbunge yupo?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi.

Hata si mliishaambiwa ili eneo fulani lipate maendeleo mnatakiwa kufanya nini?. Inawezekana Wana Arusha mlifanya makosa sana, ndio maana hali ni hii, sasa ili mpate maendeleo, msirudie tena makosa kama yale ili Arusha irudie ile hadhi yake ya zamani, pia naomba kuwahakikishia, kama mlifanya makosa, mmeisha samehewa, kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa.

P
 
Pumbavu kabisa huyu jamaa analeta habari za kichochezii..
Kasahau kua baadhi yetu pia tupo Arusha..
We utakuwa sio mzawa ni muamiaji, so huna uchungu hata watu wa Arusha,wakiteseka kwako Sawa.
 
We ni muongo na mnafiki sana,we ni msukuma ndugu yake dikteta hivyo huwezi sifia ya arusha wakati nyinyi wasukuma mnawaona wachaga maadui,
Msomi gani usiyejielewa umekaria kulamba matako ya wakubwa ili angalau uteuliwe, wewe Mayalla huna tofauti na Msiba.
Arusha sio ya wachagga ni waarusha, Wameru na wamasai.. Wachagga waamiagi tu na niwachache Sana kuliko wenyeji au wazawa
 
Mkuu umenena lkn mbona Tunduru barabara iko nzuri tu, hata ile inayotokea Masasi mjini
Tatizo lake wala siyo kutaka barabara nzuri,ni hizo mbwembwe zake za sijui utalii !hii nchi yote ni utalii mtupu hatupaswi kuwapa kipaumbele eti kwa sababu hiyo.
Kila mahali pana umuhimu wake,mkuu.
 
Declaration of interest.
Mimi nimesoma Arusha, na pia nimeoa Arusha hivyo Arusha nakuja sana, ni kama kwangu, nakiri kwa kweli kabisa, hii hali ni mbaya sana, sikuwahi kushuhudia barabara kama hii maeneo ya mjini kati, labda Ngarenaro, Kijenge ya Juu na Olamatejoo ya enzi hizo.

Ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani?. Kuna Barabara za Tarura na za Tanroad, sijawahi kuisikia barabara hii ikizungumzwa popote. Jee mbunge yupo?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi.

Hata si mliishaambiwa ili eneo fulani lipate maendeleo mnatakiwa kufanya nini?. Inawezekana Wana Arusha mlifanya makosa sana, ndio maana hali ni hii, sasa ili mpate maendeleo, msirudie tena makosa kama yale ili Arusha irudie ile hadhi yake ya zamani, pia naomba kuwahakikishia, kama mlifanya makosa, mmeisha samehewa, kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa.

P
Unajua gharama ya ujenzi wa barabara kwa kilometa 1 ni sh ngapi mkuu, ni zaidi ya bilioni moja hivyo sidhani kama unavyosema mfuko wa jimbo ungetosha pia kuhusu kifusi si dhani kwa hadhi ya barabara hizo zingefaa kumwagwa kifusi zaidi ya kuwekwa lami.
Inaonekana unataka kumhusisha mbunge moja kwa moja na ubovu wa barabara maana ulivyosema kuwa wana Arusha wasifanye makosa kipindi kijacho yaani wamhukumu mbunge kutokana na ubovu wa barabara.
Ulikuwa na uhakika gani kuwa mbunge Lema hakuiwakilisha barabara hiyo kwenye vyombo vinavyo husika? Kwanini hukuilaumu serikali kuu kwa kuisahau Arusha kisa tu imechagua upinzani na badala yake umetaka mbunge aonekane kuwa ana makosa.
Kwa umuhimu wa mji wa Arusha haswa kwa uchumi wa Tanzania sidhani kama ilipaswa kuwa na barabara mbovu kama hiyo hivyo ushauri wangu ni kwa mamlaka zinazo husika kama Tanroads na nyingine zifuatilie kwa undani tatizo hili.
 
Wewe utakuwa huijui arusha vizuri umefika siku moja ukachukua batrabara za mtaa mmoja halafu unalinganisha jiji zima. Kwa kweli penye ukweli tuseme, jiji la arusha limejitahidi kuboresha miundombinu na linaendelea kuboresha sehemu chache zilizobaki
QUOTE]
We utakuwa sio mzawa ni muamiaji, so huna uchungu hata watu wa Arusha,wakiteseka kwako Sawa.
 
Unaweza ukawa na hoja lakini umekuja kishabiki maandazi zaidi..
Sisi tulioko Arusha ndio tunapaswa tutoe hali halisi sio wewe na mtoa mada mnajaribu kupotosha kilichopo kwenye ground..

Sehemu zote za nchi kulikopata mvua miundombinu imeharibika kiasi chake.
Ni sawa nianze kutoa lawama kwenye barabara ya Old bagamoyo road sababu imeharibiwa na mvua zinazoendelea
Itakua niujuha wahali ya juu..acheni ushabiki
QUOTE]
We utakuwa sio mzawa ni muamiaji, so huna uchungu hata watu wa Arusha,wakiteseka kwako Sawa.
 
Hapo vipi,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo chini, mkoa wa Arusha umeendea kusahaulika na kutelekwezwa, awamu hii japo ndio mkoa unaochangia mapato makubwa katika Nchi hii.

Miundo mbinu ndani ya mjini, imegeuka kama mito, chini ya uongozi wa Mrisho Gambo huu mkoa umekuwa na hali mbaya kimaendeleo.

Kuna hii barabara ya kutoka white rose na pale mianzini zimekuwa kama mito ndani ya mjini..

Cha kujiuliza mkoa nyeti Kama mkoa wa Arusha, yenye fursa za kitalii ,makao mkuu ya Afrika Mashariki.. Inatelekezwa hivi kisa hila za kisiasa ,inakuwa haina maana Kwa sababu hauwakomoi watu wa Arusha peke yao ila ni Taifa nzima, kwasababu watalii wanapenda mkoa wenye miundo mbinu nzuri.

Sasa Kama utamzungusha Mzungu kwenye mashimo namna hii, unategemea akirudi kwao atarudi tena au ataenda kumuhamasisha wezio waje watembelee mkoa wa Arusha.

Ni aibu kwa uongozi huu, Embu muache tabia za kimaskini, tufike mahali tuangalie maslahi mapana ya Taifa hili.

Mkoa wa Arusha unatakiwa utuzwe sio kwa maslahi ya watu Wa Arusha ila ni Kwa maslahi ya Taifa.

Leo kinachoendelea hapa Arusha ni siasa za kimaskini za kupokonya mkoa huu fursa na kupeleka mikoa mingine kwa hila.

Leo mikutano ya kimataifa ilifanyika hapa miaka mitano iliyopita , hata Bunge la East Africa sidhani kama bdo waendelea kufanyika hapa.

Juzi wanunuzi na wauza mawe wanaambiwa wasionekane tena mjini, eti waande Namanga, kufanyia biashara ni aibu.

Hivi mtu ametoka na Billioni zake Thailand, unamuambia aende Namanga akalale kwa guest kwa usalama upi.

Kinachoamua centre ya biashara sio maamuzi ya kisiasa ni miundo mbinu za kibiasha ni kimaanisha usalama wa wao na huduma muhimu kwao. Sasa Kama tunafikia pahala pa kuwaamurisha watu kama Ngo'mbe pasipo kukaa na wadau wenyewe ukapokea maoni yao,tafsiri yake hiyo mipango yenu ya kisiasa lazima itakwama au mtaharibu biashara ya madini moja kwa moja.
View attachment 1106199
View attachment 1106188View attachment 1106191View attachment 1106199View attachment 1106202View attachment 1106205View attachment 1106205View attachment 1106188View attachment 1106202
Mtalii afuate nini huko masinoni. Kama mbunge meya na madiwani wenu mnawaacha kushughulika na ngonjera za za siasa wakitafuata kujinusuru na wimbi linalokuja kuwaondoa hiyo ni juu yenu
 
Hizo barabara unazotaja ni project iliyoanza kipindi cha Kikwete,na imejengwa na Nchi za East Africa na Sio fedha za serikali hii ya awamu ya tano.
Huna akili kweli wewe barabara za mji mdogo wa ngaramtoni na za jiji la Arusha zimeanza kujengwa 2016 na zipo kwenye ilani ya chama cha mapinduzi ya 2015,Jumuiya ya afrika mashariki imetoka wapi apo kikwete anahusikaje na barabara za 2016?,kama hujui unacho ongea bora ukae kimya.
 
Hapo vipi,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo chini, mkoa wa Arusha umeendea kusahaulika na kutelekwezwa, awamu hii japo ndio mkoa unaochangia mapato makubwa katika Nchi hii.

Miundo mbinu ndani ya mjini, imegeuka kama mito, chini ya uongozi wa Mrisho Gambo huu mkoa umekuwa na hali mbaya kimaendeleo.

Kuna hii barabara ya kutoka white rose na pale mianzini zimekuwa kama mito ndani ya mjini..

Cha kujiuliza mkoa nyeti Kama mkoa wa Arusha, yenye fursa za kitalii ,makao mkuu ya Afrika Mashariki.. Inatelekezwa hivi kisa hila za kisiasa ,inakuwa haina maana Kwa sababu hauwakomoi watu wa Arusha peke yao ila ni Taifa nzima, kwasababu watalii wanapenda mkoa wenye miundo mbinu nzuri.

Sasa Kama utamzungusha Mzungu kwenye mashimo namna hii, unategemea akirudi kwao atarudi tena au ataenda kumuhamasisha wezio waje watembelee mkoa wa Arusha.

Ni aibu kwa uongozi huu, Embu muache tabia za kimaskini, tufike mahali tuangalie maslahi mapana ya Taifa hili.

Mkoa wa Arusha unatakiwa utuzwe sio kwa maslahi ya watu Wa Arusha ila ni Kwa maslahi ya Taifa.

Leo kinachoendelea hapa Arusha ni siasa za kimaskini za kupokonya mkoa huu fursa na kupeleka mikoa mingine kwa hila.

Leo mikutano ya kimataifa ilifanyika hapa miaka mitano iliyopita , hata Bunge la East Africa sidhani kama bdo waendelea kufanyika hapa.

Juzi wanunuzi na wauza mawe wanaambiwa wasionekane tena mjini, eti waande Namanga, kufanyia biashara ni aibu.

Hivi mtu ametoka na Billioni zake Thailand, unamuambia aende Namanga akalale kwa guest kwa usalama upi.

Kinachoamua centre ya biashara sio maamuzi ya kisiasa ni miundo mbinu za kibiasha ni kimaanisha usalama wa wao na huduma muhimu kwao. Sasa Kama tunafikia pahala pa kuwaamurisha watu kama Ngo'mbe pasipo kukaa na wadau wenyewe ukapokea maoni yao,tafsiri yake hiyo mipango yenu ya kisiasa lazima itakwama au mtaharibu biashara ya madini moja kwa moja.
View attachment 1106199
View attachment 1106188View attachment 1106191View attachment 1106199View attachment 1106202View attachment 1106205View attachment 1106205View attachment 1106188View attachment 1106202
Tuache tuendelee kuteka na kutesa wapinzani kwanza swala la maendeleo mpaka wapinzani waishe
 
Huna akili kweli wewe barabara za mji mdogo wa ngaramtoni na za jiji la Arusha zimeanza kujengwa 2016 na zipo kwenye ilani ya chama cha mapinduzi ya 2015,Jumuiya ya afrika mashariki imetoka wapi apo kikwete anahusikaje na barabara za 2016?,kama hujui unacho ongea bora ukae kimya.
We ndio ujui na ukae kimya na siasa zako, nyepesi.. Ambu niambie ni lini Bunge ilipitisha hiyo burget ya barabara ya ngaramtoni, awamu ya tano.

We Kawadanganye watanzania waginga ila sio Mimi, huna akili ww ni ushabiki umekujaa kwenye siasa kama unashabikia timu ya mpira.
 
Back
Top Bottom