Mkoa wa Arusha hali ni mbaya

Mkoa wa Arusha hali ni mbaya

Hayati Sadam Hussein aliwahi kuwaua wapinzani wake kwa mabomu ya sumu.

Watawala katili wanajali madaraka yao tuu na vyama vyao.

Usitegemee Sehemu yenye upinzani kama hakuna Mbunge mwenye akili kama Mbatia mtapata maendeleo.

Wapinzani wana tatizo kubwa kujisanganya kuwa kelele zao za kulalamika zitawasaidia.
Tembo siku zote hawatishwi na kelele za Chura.

Mbunge wa Arusha ni mwana harakati sio mwana siasa.
Harakati zimegota awamu hii mana ziliingia woga mkubwa sana.

Chadema 2020 waonyeshe Demokrasia waachane na mambo ya kiCCM wa kuachia mtu Jimbo kama Mali yake. Washindanishe watu na wasikilize yupi mwenye Maono makubwa zaidi.
Meya Kalisti anafaa zaidi kuiwakilisha Chadema na watu wa Arusha.
Siasa za kishamba za Lema zimepitwa na Wakati. Watu wanataka maendeleo.

Lema akisimama tena Arusha ataangushwa na Chadema itapoteza.

Lema aridhike na nafasi aliyopata kuwakilisha jiji.
Kama Chadema watapuuza na kumbeba Lema wajiandae kupoteza jimbo.
Lema na Mbowe wameifanya hiyo Chedema Saccos yao.. Kiukweli Tunaitaji utawala mpya kuanzia mkuu wa mkoa mpaka Mbunge.
Hawa wote ni problem creaters not problem solvers
 
Hapo vipi,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo chini, mkoa wa Arusha umeendea kusahaulika na kutelekwezwa, awamu hii japo ndio mkoa unaochangia mapato makubwa katika Nchi hii.

Miundo mbinu ndani ya mjini, imegeuka kama mito, chini ya uongozi wa Mrisho Gambo huu mkoa umekuwa na hali mbaya kimaendeleo.

Kuna hii barabara ya kutoka white rose na pale mianzini zimekuwa kama mito ndani ya mjini..

Cha kujiuliza mkoa nyeti Kama mkoa wa Arusha, yenye fursa za kitalii ,makao mkuu ya Afrika Mashariki.. Inatelekezwa hivi kisa hila za kisiasa ,inakuwa haina maana Kwa sababu hauwakomoi watu wa Arusha peke yao ila ni Taifa nzima, kwasababu watalii wanapenda mkoa wenye miundo mbinu nzuri.

Sasa Kama utamzungusha Mzungu kwenye mashimo namna hii, unategemea akirudi kwao atarudi tena au ataenda kumuhamasisha wezio waje watembelee mkoa wa Arusha.

Ni aibu kwa uongozi huu, Embu muache tabia za kimaskini, tufike mahali tuangalie maslahi mapana ya Taifa hili.

Mkoa wa Arusha unatakiwa utuzwe sio kwa maslahi ya watu Wa Arusha ila ni Kwa maslahi ya Taifa.

Leo kinachoendelea hapa Arusha ni siasa za kimaskini za kupokonya mkoa huu fursa na kupeleka mikoa mingine kwa hila.

Leo mikutano ya kimataifa ilifanyika hapa miaka mitano iliyopita , hata Bunge la East Africa sidhani kama bdo waendelea kufanyika hapa.

Juzi wanunuzi na wauza mawe wanaambiwa wasionekane tena mjini, eti waande Namanga, kufanyia biashara ni aibu.

Hivi mtu ametoka na Billioni zake Thailand, unamuambia aende Namanga akalale kwa guest kwa usalama upi.

Kinachoamua centre ya biashara sio maamuzi ya kisiasa ni miundo mbinu za kibiasha ni kimaanisha usalama wa wao na huduma muhimu kwao. Sasa Kama tunafikia pahala pa kuwaamurisha watu kama Ngo'mbe pasipo kukaa na wadau wenyewe ukapokea maoni yao,tafsiri yake hiyo mipango yenu ya kisiasa lazima itakwama au mtaharibu biashara ya madini moja kwa moja.
View attachment 1106199
View attachment 1106188View attachment 1106191View attachment 1106199View attachment 1106202View attachment 1106205View attachment 1106205View attachment 1106188View attachment 1106202
Mkuu katika awamu ya tano Arusha imejengwa kuliko awamu zote zilizopita ila may be kama unaleta udaku wa wanyama wa Serengeti tu. Barabara nyingi zimetengenezwa kwa lami ndiyo maana wameru na wamasai wanaunga mkono serikari ya awamu ya tano na Mh. Lema lazima ubunge auteme 2020. Waarusha wameshajitambua hawawezi kuongozwa na mgeni.
 
Declaration of interest.
Mimi nimesoma Arusha, na pia nimeoa Arusha hivyo Arusha nakuja sana, ni kama kwangu, nakiri kwa kweli kabisa, hii hali ni mbaya sana, sikuwahi kushuhudia barabara kama hii maeneo ya mjini kati, labda Ngarenaro, Kijenge ya Juu na Olamatejoo ya enzi hizo.

Ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani?. Kuna Barabara za Tarura na za Tanroad, sijawahi kuisikia barabara hii ikizungumzwa popote. Jee mbunge yupo?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi.

Hata si mliishaambiwa ili eneo fulani lipate maendeleo mnatakiwa kufanya nini?. Inawezekana Wana Arusha mlifanya makosa sana, ndio maana hali ni hii, sasa ili mpate maendeleo, msirudie tena makosa kama yale ili Arusha irudie ile hadhi yake ya zamani, pia naomba kuwahakikishia, kama mlifanya makosa, mmeisha samehewa, kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa.

P
Mkuu nakubaliana nawe kama umeamua kuunda post yako tofauti na mada uliyochangia kwa kutoa suluhisho.
Naweza kusema mleta mada ni mwongo au hajui anachokisema hasa heading ya post yake.

Haiwezekani, haiwezikani mkoa ulikuwa juu Geneva ya Afrika ndani ya miaka 3 tu iwe na hali mbaya sana.

Tujiulize ni kusahaulika tu au awamu ya 5 imebomo miundombinu iliyokuwapo? Kutokarabati au ongeza miundombinu mipya miaka 3 tu hali imekuwa mbaya sana kushinda mikoa mingine!!!

Inawezekana mlizoea kupendelewa ndiyo maana mnaona kama mmetengwa/ mmesahaulika kumbe ni msawazo tu. Wenzenu mikoa mingine walisha zoea haya. Nenda Kigoma kasulu kaone tope!

Hata kama mtatengwa/sahaulika miaka 10, hali haiwezi kuwa mbaya kama Mtwara, Ruvuma, Katavi, Morogoro, Kigoma, Singida kutaja kwa uchache, hizi pia ni sehemu ya Tz.
 
Nilikuwa Arusha wiki mbili zilizopita baada ya kuda, nilishangaa kuona panabadilika.
Arusha,Mbeya,Tanga,Dodoma,Kigoma,Mtwara na Mwanza ni miji iliyoanza kutekelezwa mpango wa kuboresha miundombinu awamu ya kwanza toka kipindi cha Mkwere kwa pesa ya mkopo chini ya benki ya dunia..Tanzania strategic cities project saizi wanaingia awamu ya pili lakini pia plus bajeti ya Tarura miundombinu kwenye miji hiyo imeboreshwa
Sasa hivi baada ya serikali kuona mafanikio imekopa pesa tena na kutekeleza miradi kama huo kwenye miji 20 zaidi ndio maana saizi kila mji mkuu wa mkoa kuna miradi ya barabara inafanyika na kufungwa taa za barabarani,nimepita juzi babati pamebadilika na kupendeza na ndio hali hiyo kwa miji mingi ya Tanzania so concern ya mtoa mada aende Tarura huko sio kubwatukia watu humu
 
Mkuu nakubaliana nawe kama umeamua kuunda post yako tofauti na mada uliyochangia kwa kutoa suluhisho.
Naweza kusema mleta mada ni mwongo au hajui anachokisema hasa heading ya post yake.

Haiwezekani, haiwezikani mkoa ulikuwa juu Geneva ya Afrika ndani ya miaka 3 tu iwe na hali mbaya sana.

Tujiulize ni kusahaulika tu au awamu ya 5 imebomo miundombinu iliyokuwapo? Kutokarabati au ongeza miundombinu mipya miaka 3 tu hali imekuwa mbaya sana kushinda mikoa mingine!!!

Inawezekana mlizoea kupendelewa ndiyo maana mnaona kama mmetengwa/ mmesahaulika kumbe ni msawazo tu. Wenzenu mikoa mingine walisha zoea haya. Nenda Kigoma kasulu kaone tope!

Hata kama mtatengwa/sahaulika miaka 10, hali haiwezi kuwa mbaya kama Mtwara, Ruvuma, Katavi, Morogoro, Kigoma, Singida kutaja kwa uchache, hizi pia ni sehemu ya Tz.
We acha siasa za jazba, ni hivi naelewa nilichoandika ndio maana nikaandika.

Nchi yeyote Duniani ina mikoa ambayo ni fursa kimataifa, bas Kama ni hivyo Arusha ni fursa ya Tanzania.

Maana yake kuna mikoa nyeti, inayoingiza kipato kikubwa ndani ya Taifa..na Arusha ni mojawapo kama sio ya Kwanza basi ya pili.

Huu mkoa inafursa za kimataifa ,hauwezi kufafanisha na katavi, kigoma na singida, hapa ukifananisha utakuwa huna akili na ndio maana inaingiza Pesa za kigeni Sana, sasa tunainaji serikali ipalilie mazingira ili iyongeze kipato zaidi na sio kuididimiza kwasababu ya giliba za kisisa.

tunaitaji Arusha iwe na muonekana wa kimataifa, kwasababu ndio mkoa unaoingiza watalii wengi Tanzania.
 
Hapo vipi,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo chini, mkoa wa Arusha umeendea kusahaulika na kutelekwezwa, awamu hii japo ndio mkoa unaochangia mapato makubwa katika Nchi hii.

Miundo mbinu ndani ya mjini, imegeuka kama mito, chini ya uongozi wa Mrisho Gambo huu mkoa umekuwa na hali mbaya kimaendeleo.

Kuna hii barabara ya kutoka white rose na pale mianzini zimekuwa kama mito ndani ya mjini..

Cha kujiuliza mkoa nyeti Kama mkoa wa Arusha, yenye fursa za kitalii ,makao mkuu ya Afrika Mashariki.. Inatelekezwa hivi kisa hila za kisiasa ,inakuwa haina maana Kwa sababu hauwakomoi watu wa Arusha peke yao ila ni Taifa nzima, kwasababu watalii wanapenda mkoa wenye miundo mbinu nzuri.

Sasa Kama utamzungusha Mzungu kwenye mashimo namna hii, unategemea akirudi kwao atarudi tena au ataenda kumuhamasisha wezio waje watembelee mkoa wa Arusha.

Ni aibu kwa uongozi huu, Embu muache tabia za kimaskini, tufike mahali tuangalie maslahi mapana ya Taifa hili.

Mkoa wa Arusha unatakiwa utuzwe sio kwa maslahi ya watu Wa Arusha ila ni Kwa maslahi ya Taifa.

Leo kinachoendelea hapa Arusha ni siasa za kimaskini za kupokonya mkoa huu fursa na kupeleka mikoa mingine kwa hila.

Leo mikutano ya kimataifa ilifanyika hapa miaka mitano iliyopita , hata Bunge la East Africa sidhani kama bdo waendelea kufanyika hapa.

Juzi wanunuzi na wauza mawe wanaambiwa wasionekane tena mjini, eti waande Namanga, kufanyia biashara ni aibu.

Hivi mtu ametoka na Billioni zake Thailand, unamuambia aende Namanga akalale kwa guest kwa usalama upi.

Kinachoamua centre ya biashara sio maamuzi ya kisiasa ni miundo mbinu za kibiasha ni kimaanisha usalama wa wao na huduma muhimu kwao. Sasa Kama tunafikia pahala pa kuwaamurisha watu kama Ngo'mbe pasipo kukaa na wadau wenyewe ukapokea maoni yao,tafsiri yake hiyo mipango yenu ya kisiasa lazima itakwama au mtaharibu biashara ya madini moja kwa moja.
View attachment 1106199
View attachment 1106188View attachment 1106191View attachment 1106199View attachment 1106202View attachment 1106205View attachment 1106205View attachment 1106188View attachment 1106202
Ubovu wa barabara ni sehemu ya utalii na yenyewe,
Hahahaha hahaha
Uku kwetu DSM kila barabara Ni madimbwi na maandalizi njooo uone
 
Declaration of interest.
Mimi nimesoma Arusha, na pia nimeoa Arusha hivyo Arusha nakuja sana, ni kama kwangu, nakiri kwa kweli kabisa, hii hali ni mbaya sana, sikuwahi kushuhudia barabara kama hii maeneo ya mjini kati, labda Ngarenaro, Kijenge ya Juu na Olamatejoo ya enzi hizo.

Ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani?. Kuna Barabara za Tarura na za Tanroad, sijawahi kuisikia barabara hii ikizungumzwa popote. Jee mbunge yupo?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi.

Hata si mliishaambiwa ili eneo fulani lipate maendeleo mnatakiwa kufanya nini?. Inawezekana Wana Arusha mlifanya makosa sana, ndio maana hali ni hii, sasa ili mpate maendeleo, msirudie tena makosa kama yale ili Arusha irudie ile hadhi yake ya zamani, pia naomba kuwahakikishia, kama mlifanya makosa, mmeisha samehewa, kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa.

P
More than declaring of interest!!
 
We ni bure kabisa, rais akinunuqa ndeqe za kuinua usafiri na utalii kutwa mnatukana ila barabara mbovu mnasikitika utalii unakufa ..mna tatzo like like, Ukanda.
 
We ni bure kabisa, rais akinunuqa ndeqe za kuinua usafiri na utalii kutwa mnatukana ila barabara mbovu mnasikitika utalii unakufa ..mna tatzo like like, Ukanda.
Sijui hata unaongea nini?
 
Wewe ni mjinga japo kiasi una hoja kwa mbali. Hivi ninyi wakaskazini mna shida gani? Ni fursa gani ilopokonywa Arusha na kupelekwa mkoa mwingine? Mbona mna mambo ya kijinga jinga saana, ukanda unawasaidia nini? Hoja ungeiweka ktk ubovu wa miundombinu tuu ingeeleweka. Kwanza ni mkoa gani umekamilika ktk suala la miundombinu hapa Tz. Jifunze kujenga hoja bila kuweka mambo ya ukanda.
Mkuu, Chunguza watu wote wanalalamika ukabila wa Magufuli ni wachaga na watu wa kanda hiyo. Hapo ndio utajua hao jamaa hata ukiwapa nchi wataiharibu kabisa kwa ukanda
 
Sijawahi kujua wasukuma ni watu wa ajabu kiasi hiki........

P. Hii siyo style yako ya uandishi ninayoijua! Kama account yako imeingiliwa omba msaada kwani wanakuharibia kwa kujenga hoja kiitikadi! Au umaamua kukiwinda kiti cha ukuu Wa wilaya ya tunduru kwa uwazi hivi? Siyo fair lakini hats kama mwenyekiti Wa uvccm taiga alilisema kuwa hakuna maendekeo kwa maeneo yanayoongozwa na vyama mbadala! Kwani wasukuma MNA nini kichwani mwenu?
 
Nilijua utatuletea picha za barabara tofauti, lakini naona picha za barabara moja tu yenye tatizo hilo ukiwa umepiga kwa mikao tofauti.

Ukiwa umejaza maelezo yenye chuki za kisiasa sana, ukieleza mengine ambayo hata uhakika nayo huna.

Ungeleta ujumbe tu barabara ya kutoka sehemu fulani hadi fulani ni mbovu, kuliko kutuletea picha za njia moja huku ukiwa umepiga picha pande tofauti
Hapo vipi,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo chini, mkoa wa Arusha umeendea kusahaulika na kutelekwezwa, awamu hii japo ndio mkoa unaochangia mapato makubwa katika Nchi hii.

Miundo mbinu ndani ya mjini, imegeuka kama mito, chini ya uongozi wa Mrisho Gambo huu mkoa umekuwa na hali mbaya kimaendeleo.

Kuna hii barabara ya kutoka white rose na pale mianzini zimekuwa kama mito ndani ya mjini..

Cha kujiuliza mkoa nyeti Kama mkoa wa Arusha, yenye fursa za kitalii ,makao mkuu ya Afrika Mashariki.. Inatelekezwa hivi kisa hila za kisiasa ,inakuwa haina maana Kwa sababu hauwakomoi watu wa Arusha peke yao ila ni Taifa nzima, kwasababu watalii wanapenda mkoa wenye miundo mbinu nzuri.

Sasa Kama utamzungusha Mzungu kwenye mashimo namna hii, unategemea akirudi kwao atarudi tena au ataenda kumuhamasisha wezio waje watembelee mkoa wa Arusha.

Ni aibu kwa uongozi huu, Embu muache tabia za kimaskini, tufike mahali tuangalie maslahi mapana ya Taifa hili.

Mkoa wa Arusha unatakiwa utuzwe sio kwa maslahi ya watu Wa Arusha ila ni Kwa maslahi ya Taifa.

Leo kinachoendelea hapa Arusha ni siasa za kimaskini za kupokonya mkoa huu fursa na kupeleka mikoa mingine kwa hila.

Leo mikutano ya kimataifa ilifanyika hapa miaka mitano iliyopita , hata Bunge la East Africa sidhani kama bdo waendelea kufanyika hapa.

Juzi wanunuzi na wauza mawe wanaambiwa wasionekane tena mjini, eti waande Namanga, kufanyia biashara ni aibu.

Hivi mtu ametoka na Billioni zake Thailand, unamuambia aende Namanga akalale kwa guest kwa usalama upi.

Kinachoamua centre ya biashara sio maamuzi ya kisiasa ni miundo mbinu za kibiasha ni kimaanisha usalama wa wao na huduma muhimu kwao. Sasa Kama tunafikia pahala pa kuwaamurisha watu kama Ngo'mbe pasipo kukaa na wadau wenyewe ukapokea maoni yao,tafsiri yake hiyo mipango yenu ya kisiasa lazima itakwama au mtaharibu biashara ya madini moja kwa moja.
View attachment 1106199
View attachment 1106188View attachment 1106191View attachment 1106199View attachment 1106202View attachment 1106205View attachment 1106205View attachment 1106188View attachment 1106202
 
Nilijua utatuletea picha za barabara tofauti, lakini naona picha za barabara moja tu yenye tatizo hilo ukiwa umepiga kwa mikao tofauti.

Ukiwa umejaza maelezo yenye chuki za kisiasa sana, ukieleza mengine ambayo hata uhakika nayo huna.

Ungeleta ujumbe tu barabara ya kutoka sehemu fulani hadi fulani ni mbovu, kuliko kutuletea picha za njia moja huku ukiwa umepiga picha pande tofauti
Me ndio nimeamua kuandika hivyo.. Na ww andika yako Kama unavyotaka.
 
Naona umeshangaa kama mimi sidkutegemea swali la hovyo na unaa kutoka kwa mtu anaejipambanua kuwa gwiji wa habari
Tunao waona magwiji kwenye nyanza fulani kitaaluma.. kwenye awamu hii naona kama wamepotoka kabisa na hata ule ubobezi wao kitaaluma hawautumii katika kufikiri, kufanya maamuzi na hata kutenda.. mathalani hawa ma professor wa elimu waliopewa madaraka awamu hii wafanyacho chaendana na ubobezi wao?
 
Declaration of interest.
Mimi nimesoma Arusha, na pia nimeoa Arusha hivyo Arusha nakuja sana, ni kama kwangu, nakiri kwa kweli kabisa, hii hali ni mbaya sana, sikuwahi kushuhudia barabara kama hii maeneo ya mjini kati, labda Ngarenaro, Kijenge ya Juu na Olamatejoo ya enzi hizo.

Ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani?. Kuna Barabara za Tarura na za Tanroad, sijawahi kuisikia barabara hii ikizungumzwa popote. Jee mbunge yupo?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi.

Hata si mliishaambiwa ili eneo fulani lipate maendeleo mnatakiwa kufanya nini?. Inawezekana Wana Arusha mlifanya makosa sana, ndio maana hali ni hii, sasa ili mpate maendeleo, msirudie tena makosa kama yale ili Arusha irudie ile hadhi yake ya zamani, pia naomba kuwahakikishia, kama mlifanya makosa, mmeisha samehewa, kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa.

P
hili povu.
 
Back
Top Bottom