pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,030
- 15,232
Subirini kdg mliambiwa.
Ata Elimu huna kabisa..Ebu nipe bajeti ya Mbunge ya kujenga bara bara?Kwa kweli hii hali ni mbaya kweli!, ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani tena vile?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi. Wana Arusha mlifanya makosa sana, sasa msirudie makosa ili Arusha irudie ile hadhi yake.
P
Wewe ni mjinga japo kiasi una hoja kwa mbali. Hivi ninyi wakaskazini mna shida gani? Ni fursa gani ilopokonywa Arusha na kupelekwa mkoa mwingine? Mbona mna mambo ya kijinga jinga saana, ukanda unawasaidia nini? Hoja ungeiweka ktk ubovu wa miundombinu tuu ingeeleweka. Kwanza ni mkoa gani umekamilika ktk suala la miundombinu hapa Tz. Jifunze kujenga hoja bila kuweka mambo ya ukanda.
I swear you don't know him, huyu ni mmoja wao sema anang'ata na kupuliza.
Kwani ni wao Mkuu, ni Madereva.Barabara ya White Rose, Mianzini, Really? Mtalii Afuate Nini Huko?
Maendeleo ya nchi yanaletwa na vyama pinzani au chama kilicho madarakani????Kwa kweli hii hali ni mbaya kweli!, ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani tena vile?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi. Wana Arusha mlifanya makosa sana, sasa msirudie makosa ili Arusha irudie ile hadhi yake.
P
Huko kwenye wabunge mawaziri wa ccm hali ikoje mkuu? Hebu tupe darasa iili ikibidi mwakani tumpigie magoti ole sendeka atuwakilishe huku tukimuombea apate japo kauwaziri ka njia na mifereji mijini mkuu!! Labda kama unamaanisha mbunge wa huko hafai kutokana na kabila lake!! Labda mungetuletea mskm pangekuwa paradiso!Kwa kweli hii hali ni mbaya kweli!, ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani tena vile?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi. Wana Arusha mlifanya makosa sana, sasa msirudie makosa ili Arusha irudie ile hadhi yake.
P
Kwa kweli hii hali ni mbaya kweli!, ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani tena vile?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi. Wana Arusha mlifanya makosa sana, sasa msirudie makosa ili Arusha irudie ile hadhi yake.
P
Achana na mimi mpumbavu wewNimesoma comment yako nikaona wewe ndo mjinga, Ametaja umuhimu wa mkoa arusha katika taifa kuwa wenye fursa za kitalii na makao makuu ya Afrika Mashariki, sijaona akitaja kaskazini kama ulivyokurupuka, wewe taja mkoa wenu na shida zake, hapa hapatajwa ukanda bali mkoa mmoja tu, inawezekana hata aliyepost siyo mwenyeji wa arusha bali mtanzania mwenye akili. ukimaliza kutaja mkoa wenu na shida zake waambie watanzania umuhimu wa airport chato kisha tuone kama hiyo gharama isingeweza kusaidia kurekebisha miundombinu arusha na bwawa la dar ili kuchochea maendeleo katika nchi, kisha utaelewa kwanini amesema fursa imepokonywa.
Utalii nyinyi mnafikiri ni kuona wanyama na mlima tu!? Hata barabara zenye mashimo na mito inayo tiririka katikati ni vivutio tosha msiitengenezeHawa wazungu wakishatoka sehemu mbali, wakirudi mjini huzunguka mjini.. Au unafikiri wakisharudi wanalala hotel na kisha kurudi kwao..
Achana na mimi mpumbavu wew
Kwanza sikukujibu wew. Kwa hiyo Mbeya yenyewe haina umuhimu ktk nchi hii na inatoa mchele ilhali barabara zake si za kuridhisha. Mtwara je inayotoa korosho, na Geita inayotoa dhahabu. Mbona karibu nchi nzima kuna changamoto ya barabara. Eti maendeleo yanatolewa Arusha kupelelwa kwingine..mnaumwa nnyaa. Angesema Arusha kuna barabara mbovu na serikali ishughulikie hilo bila kuongea upimbi wa ukanda angepungukiwa nin we pongoo?
Watu wenye ukanda vichwani mwao wakati sisi sote ni taifa moja hua nawaona ni wapumbavu. Hasa hasa baadhi ya watu wa Arusha na Moshi sijui wameitoa wapi hii kasumba wakati wengi wao ni wastaarabu, wenye elimu na mafanikio makubwa.Haya mpumbavu mwenzangu, mimi nadhani ungeongelea tu mchele ndo unachojua.
Hawa wazungu wakishatoka sehemu mbali, wakirudi mjini huzunguka mjini.. Au unafikiri wakisharudi wanalala hotel na kisha kurudi kwao..
Binadam ni kiumbe wa ajabu sana.Hapo vipi,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo chini, mkoa wa Arusha umeendea kusahaulika na kutelekwezwa, awamu hii japo ndio mkoa unaochangia mapato makubwa katika Nchi hii.
Miundo mbinu ndani ya mjini, imegeuka kama mito, chini ya uongozi wa Mrisho Gambo huu mkoa umekuwa na hali mbaya kimaendeleo.
Kuna hii barabara ya kutoka white rose na pale mianzini zimekuwa kama mito ndani ya mjini..
Cha kujiuliza mkoa nyeti Kama mkoa wa Arusha, yenye fursa za kitalii ,makao mkuu ya Afrika Mashariki.. Inatelekezwa hivi kisa hila za kisiasa ,inakuwa haina maana Kwa sababu hauwakomoi watu wa Arusha peke yao ila ni Taifa nzima, kwasababu watalii wanapenda mkoa wenye miundo mbinu nzuri.
Sasa Kama utamzungusha Mzungu kwenye mashimo namna hii, unategemea akirudi kwao atarudi tena au ataenda kumuhamasisha wezio waje watembelee mkoa wa Arusha.
Ni aibu kwa uongozi huu, Embu muache tabia za kimaskini, tufike mahali tuangalie maslahi mapana ya Taifa hili.
Mkoa wa Arusha unatakiwa utuzwe sio kwa maslahi ya watu Wa Arusha ila ni Kwa maslahi ya Taifa.
Leo kinachoendelea hapa Arusha ni siasa za kimaskini za kupokonya mkoa huu fursa na kupeleka mikoa mingine kwa hila.
Leo mikutano ya kimataifa ilifanyika hapa miaka mitano iliyopita , hata Bunge la East Africa sidhani kama bdo waendelea kufanyika hapa.
Juzi wanunuzi na wauza mawe wanaambiwa wasionekane tena mjini, eti waande Namanga, kufanyia biashara ni aibu.
Hivi mtu ametoka na Billioni zake Thailand, unamuambia aende Namanga akalale kwa guest kwa usalama upi.
Kinachoamua centre ya biashara sio maamuzi ya kisiasa ni miundo mbinu za kibiasha ni kimaanisha usalama wa wao na huduma muhimu kwao. Sasa Kama tunafikia pahala pa kuwaamurisha watu kama Ngo'mbe pasipo kukaa na wadau wenyewe ukapokea maoni yao,tafsiri yake hiyo mipango yenu ya kisiasa lazima itakwama au mtaharibu biashara ya madini moja kwa moja.
View attachment 1106188View attachment 1106191View attachment 1106199View attachment 1106202View attachment 1106205View attachment 1106205View attachment 1106188View attachment 1106202
Kwa kweli hii hali ni mbaya kweli!, ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani tena vile?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi. Wana Arusha mlifanya makosa sana, sasa msirudie makosa ili Arusha irudie ile hadhi yake.
P