Mkoa wa Arusha hali ni mbaya

Mkoa wa Arusha hali ni mbaya

Amesema mkoa wa Arusha ni kitovu cha utalii, uategemewa na taifa Zima. Na wewe wa Tunduru sema huo mkoa taifa linautegemeaje maana naamini mikoa yote ni ya watanzania hakuna mkoa special Ila kila mtu lazima apigie debe anapoishi.
Usikute ntoa mada kwao ni Kagera au Kigoma au Katavi
 
Hiyo ni teknolojia tu,na hatujawahi kulia msaada eti tuangaliwe kwa jicho la kipekee. Tunajua Tanzania ni yetu sote na kila kipande chake ni cha thamani. Hata tulipovamiwa kagera tulisimama kama taifa moja hatukusema wapigane wahaya tu.
Endekezeni uchawi tu na sijui nchi inanufaikaje!
 
Naamini tunapaswa kujenga nchi kwa ajili yetu na si kwa ajili ya wageni.sote tunastahili kilicho bora,acha mawazo ya kitumwa.
Wageni wanakuja na dollar ambazo ndo serikali inazitumia kununua magari, madawa, vifaa vinginevyo n matumizi mengineyo.

Mnajenga Standard gauge na Stigler unajua hao wakandarasi wanalipwa Shiling au Dollar?
 
Ungetoa data ingependeza zaidi.mnachangia shingapi?
Wageni wanakuja na dollar ambazo ndo serikali inazitumia kununua magari, madawa, vifaa vinginevyo n matumizi mengineyo.

Mnajenga Standard gauge na Stigler unajua hao wakandarasi wanalipwa Shiling au Dollar?
 
Ungetoa data ingependeza zaidi.mnachangia shingapi?
Mapato yote yanayopatikana nadhani sisi inabidi tupewe 6~7% ya kinachopatikana kwenye utalii maana yake dollar zote zinaingi mfuko wa serikali kuu. Kama ilivyo kwa mlima Kilimanjaro kinachokuja kwa mkoa ni kidogo sana ambacho hakifai kitu.
 
Mbona panapitika mkuu, piga konyagi +kitu cha arusha hapo unapita vizuri kinoma unaona pamekauka kabisa ila ukilala ukija kuamka ndio unajikuta mchafu
 
Hoja unayo ila umeiwasilisha kikudakuda sana,kwani sisi wa Tunduru hatuhitaji barabara nzuri,mbona Iringa wanatulisha,acha kujifanya wathamani kuliko sisi.
Mkuu umenena lkn mbona Tunduru barabara iko nzuri tu, hata ile inayotokea Masasi mjini
 
pascal ni team praise, kwa kuwa tu hapo ni mbunge wa upinzani ndio maana anasema hivyo. Nenda huko kwao usukumani kwenye wabunge wa ccm toka tanzania imezaliwa hadi leo uone miundombinu ilivyo

Jamani miundombinu yetu inasadifu hali ya uchumi wetu, fedha za makusanyo na mgao wake zinaangaliwa na mambo mengi sana - nilitegemea Paschal afafanue kuwa fedha tulizonazo hazitoshi kutatua kila aina ya changamoto vinginevyo atueleze jimbo gani Tanzania limeneemeka kwa issue ya miundombinu ya barabara

WanaArusha, vumilieni hali hiyo muda unakuja itatuliwa - hali hiyo ni matokea ya kiuchumi (kuwa fedha lkn malengo na mahitaji yakiwa mengi)
 
KITU cha white Rose ni shida kuja mpaka huku Juu ilkiurei ni TABU bin problem...nilivyoona Title nikasema usipo mention barabara ya kupanda ilkiurei lazima nitaiongelea.

Hii road imekua MTO na mbaya zaidi serikali inajua vyema kabisa..ukipandisha na hii barabara hadi huku juu Ngateu utaelewa kua huu ni Mto na si Barabara..

So sad tumezitumia hizi barabara zikiwa mbaya tangu utotoni na hadi leo tuna mifamilia barabara hizi ziko vile vile..Huruma kwakweli na saingine ni kuoneana Tu sjui sababu nini?😡
Mpige chini mbunge wenu!
 
Kwa kweli hii hali ni mbaya kweli!, ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani tena vile?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi. Wana Arusha mlifanya makosa sana, sasa msirudie makosa ili Arusha irudie ile hadhi yake.

P
Unanunua ugomvi na wafuasi wa rastaman wa kitambo mkuu.
 
Kwa kweli hii hali ni mbaya kweli!, ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani tena vile?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi. Wana Arusha mlifanya makosa sana, sasa msirudie makosa ili Arusha irudie ile hadhi yake.

P

Kwani mbunge ndo ukusanya kodi? Mbona iko wazi majimbo ya upinzani ampeleki hela maendeleo,Huyo RC yuko Kwa ajili ya Lema
 
"Kaskazini subirini, sasa hivi ni zamu ya kanda nyingine". Sauti ilisikika pande fulani
 
Kwa kweli hii hali ni mbaya kweli!, ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani tena vile?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi. Wana Arusha mlifanya makosa sana, sasa msirudie makosa ili Arusha irudie ile hadhi yake.

P
Mlichukuliana mlupo nini?nitajie Jimbo ambalo halina barabara za hivyo Tanzania;hata Dar tu watu wanabebwa wakati wa mvua na kuna sehemu kuna viatu vya kuendea kwenye daladala alafu unavaa vya kuendea mjini
 
Kwa kweli hii hali ni mbaya kweli!, ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani tena vile?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi. Wana Arusha mlifanya makosa sana, sasa msirudie makosa ili Arusha irudie ile hadhi yake.

P

Nikumbushe pia jina la mkuu wa mkoa ambaye ni mwakilishi wa raisi mwenye kukusanya kodi kwa ajili ya maendeleo, au mkuu wa mkoa hahusiki na maendeleo katika mkoa wake?
 
Daaah Brother hata wewe tena?
I thought I could see a comment like this from praise team and 7000/= aspirants.. but not from you. To me ua among the members who gives us thoughtful and constructive ideas.. but this one mmmmmmmmm


Naona umeshangaa kama mimi sidkutegemea swali la hovyo na unaa kutoka kwa mtu anaejipambanua kuwa gwiji wa habari
 
Kwa kweli hii hali ni mbaya kweli!, ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani tena vile?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi. Wana Arusha mlifanya makosa sana, sasa msirudie makosa ili Arusha irudie ile hadhi yake.

P


Ni wewe kweli au kuna mtu kakunyanganya computer/simu yako?
 
Daaah Brother hata wewe tena?
I thought I could see a comment like this from praise team and 7000/= aspirants.. but not from you. To me ua among the members who gives us thoughtful and constructive ideas.. but this one mmmmmmmmm

I swear you don't know him, huyu ni mmoja wao sema anang'ata na kupuliza.
 
Jamani miundombinu yetu inasadifu hali ya uchumi wetu, fedha za makusanyo na mgao wake zinaangaliwa na mambo mengi sana - nilitegemea Paschal afafanue kuwa fedha tulizonazo hazitoshi kutatua kila aina ya changamoto vinginevyo atueleze jimbo gani Tanzania limeneemeka kwa issue ya miundombinu ya barabara

WanaArusha, vumilieni hali hiyo muda unakuja itatuliwa - hali hiyo ni matokea ya kiuchumi (kuwa fedha lkn malengo na mahitaji yakiwa mengi)
Hata ikiwa uchumi mbovu lakini barabara za katikati ya mji, yapaswa ziwe boro hata kwa mkopo bas kutoka Kwa wenzetu kwasababu pia hali hii inarudisha nyuma uchumi wa mtu mmoja, muda wa kuwahi kwenye biashara inakuwa changamoto, huyu mtu atapataje kodi kwa Taifa.
 
Back
Top Bottom