Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,831
- 6,878
Usikute ntoa mada kwao ni Kagera au Kigoma au KataviAmesema mkoa wa Arusha ni kitovu cha utalii, uategemewa na taifa Zima. Na wewe wa Tunduru sema huo mkoa taifa linautegemeaje maana naamini mikoa yote ni ya watanzania hakuna mkoa special Ila kila mtu lazima apigie debe anapoishi.