Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
Hili umbo namba sita linakuwaje? Si kama nyundo sasa? Mwe!!!Jamani alisema wahangaza yupo sawa kabisa. Umbo namba 6. Mpo hapo?
Hili umbo namba sita linakuwaje? Si kama nyundo sasa? Mwe!!!Jamani alisema wahangaza yupo sawa kabisa. Umbo namba 6. Mpo hapo?
Mzee kuna mkoa unaitwa Manyara...kuleeee ilipo Karatu...asikwambie mtu huko kuna totoz balaa.....zimekamilika kila idara!
Hapa mkuu tupo pamoja, totoz za huko ni noma!kama hamjafika Mtwara pale masasi mkaona totoz za kimakua na wayao basi mekosa uhondo,kwani hamuoni mfano tulionao hivi sasa? mahali panapendeza
Unaongelea akina nani, sijakupata mkuu.Ebwana ee! Nao ni wazuri sana japo wafupi lakini huwa wamefunga sanaa! Chasis zao hudumu muda mrefu hata akizaa yaani huwa bado wamo, full mauno out of control, kama una mwili wa kizee ka wangu halahala usije oa hao watajilia vijana wakware, mshawasha wao si rahisi kupotea ni hadi miaka 65,
Mpwa kumbe hujatulia kabisaaaaaaaaaaaaa.Nakubaliana na wewe kabisa Mpwa. Najua unachokisema. Aisee. Mwe!! They are very very delicious
mmm...Belinda utanisababisha nichelewe ndege...see you next tyme..
nilisoma kilimanjaro boys nakuambieni watoto wakali wapo rombo
Mzee kuna mkoa unaitwa Manyara...kuleeee ilipo Karatu...asikwambie mtu huko kuna totoz balaa.....zimekamilika kila idara!
Nasikia TANGA kuna vibini vizuri sasa sijui kama ni ukweli au vipi maana sijawahi kufika huko!!
Duh! So inamaana wewe unagawa tunda kwa kila mtu ili hali tu akueleze anachopendelea? Hii nimeikubali...Mimi kabla sijafanya tendo hilo huwa naulilza mtu anapenda vitu gani, ili kama sijui nipate shule kidogo then nifanye vile unavyopenda. Si wote tunajua haya mambo, tunatofautina. Na kutokuwa wawazi ukataka kufikiri najua ndiyo maana hata ladha haipo. Tuelimishane na kufundishana kabla ya game ili turidhike, usibwete eti najua.
watoto wazuri wapo Musoma na Sumbawanga, we acha tu!