kwa africa mashariki miji unaokua haraka sana ni mtwara na lindi hii niliipata kwa mzungu mmoja amekaa africa mashariki kwa muda mwingi na kwa wakati huo alikuwaanakimbilia mikoa hiyo kwa uwekezaji
kwa mujibu wa taarifa za waziri mkuu mkoa wa mwisho ni singida ukifuatiwa na dodoma kwetu
Kweli, ni maskini wa mawazo kielimu, kiasiasa na kiuchumi, ni tegemezi mno hasa gogo and nyaturu " tendea musaada mbuyane"singida, na dodoma zinaogopesha, zinatisha, zinatia huruma.
Kudadeki..!Tabora waliambiwa walime tumbaku kwa wingi, wakalima alafu wakakosa pa kuuzia hiyo tumbaku yao, huku tayari washakopa pembejeo za kilimo, yaani hata ukiuza tumbaku yote bado unadaiwa kudadeki..!
Na ardhi yao washaiharibu haimei mazao mengine kudadeki. Alafu mkakati wa kidunia ni TUMBAKU ATARI KWA AFYA YAKO.
Fungua macho hapo.
hivi ng'ombe, pamba na mpunga haviangaliwi au ni madini yanayotajirisha ccm tu.
MSUASO vp? neno umaskini lina maana pana sana lakini kwa ujumla tunaangalia ni mkoa upi ambao wananchi wanaishi kwa maisha duni zaidi ya mkoa mwingine. Aidha tunaangalia upatikanaji wa huduma za kijamii pia huduma zingine kama vile za kifedha, masoko ya bidhaa na bila kusahau mzungo wa fedha.
Msula eve, hahahahaa....!!!!!
Sasa umeona Tabora nzima tunaishi kwa kutegemea Asali na Tumbaku? Mbona mie ninafuga samaki na ninaishi kwa hela nzuri tu. Nina umeme masaa 24, internet, ninakula vizuri tu kuzidi wewe na watoto wangu wanaishi maisha mema. Sasa hayo uliyoandika hapo umeyaokota wapi?
Panga pangua, waweza changanya hela zako na baba yako, na bado hamfikii hata nusu ya hela zangu. Sasa hizi dharau mnaziokota wapi? Wewe kweli Mwana Mtoka Pabaya.
Yale yale..... Umeilisha wewe Tabora miaka yote hiyo? Huku Sikonge ni nadra sana kuletewa chakula na Serikali na mie tangu nizaliwe, sijawahi kula chakula cha msaada cha serikali hata kama ni cha kununua. Baba yangu alikuwa anahakikisha ana chakula cha miaka miwili ijayo mbele kiasi kwamba hata ukitokea ukame, tuliweza kuishi mwaka mmoja bila kulima wala kuvuna na tukawa na ugali hadi wa kuuza.
Kazi ya kulima tumbaku, ukiifanya wewe utalilia mama yako akurudishe huko alikokutoa. Ile ni kazi ya NGOSHA na si ya vitoto vilivyodekezwa na dharau kama wewe. Ile kazi ya Wanaume mtoto.
Hizo asali na takataka nyingine, wanafanya wafanya biashara uchwara wanaovamia maeneo hayo na jitu linakuja kusema Wanyamwezi wavivu. NOYAGA!!!!!
Singida,Lindi na Mtwara sidhani kama watakosa kuingia top 5,ikifuatiwa na Dom.Hawa ndiyo mama wa umaskini tz waliko wekeza magamba.
Arusha make wananchi wake hawana hata mavazi wanaishia kujifunika shuka