huko mwanza vipi mkuu haupaenjoy, kila mtoto niliye muona mwanza alikuwa mkali kuanzia watoto wa malaika hadi mama ntilie wa mwaloni, hivi firigisi ya bluutus nini vile?
umeshau kijiti mzee na mambo na mrina/msheleArusha ndio penyewe, kwanza watu wa hapa ni wajasiri, waelewa na hawadanganyiki (majority) then ndio kitovu cha ukombozi wa kweli wa nchi yetu. Karibuni jiji la dollars, euros, pounds etc etc.... Plus CHADEMA.
napendelea Soweto....
Mpwapwa bwana it's a lon' story!
Bt watu kama BAGAH, B52, Mwali, SL, Maziwa mgando, Smile, Preta, Mtu chake, SS, Mtei moko, Aspirin, Senetor, BT, Ndetichia, Mamndenyi mmoja kati ya hawa ningependa wakuambie why Mpwapwa ?
Mpwapwa kuna nani ?
Mpwapwa bwana it's a lon' story!
Bt watu kama BAGAH, B52, Mwali, SL, Maziwa mgando, Smile, Preta, Mtu chake, SS, Mtei moko, Aspirin, Senetor, BT, Ndetichia, Mamndenyi mmoja kati ya hawa ningependa wakuambie why Mpwapwa ?
Mpwapwa kuna nani ?
Mpwapwa bwana it's a lon' story!
Bt watu kama BAGAH, B52, Mwali, SL, Maziwa mgando, Smile, Preta, Mtu chake, SS, Mtei moko, Aspirin, Senetor, BT, Ndetichia, Mamndenyi mmoja kati ya hawa ningependa wakuambie why Mpwapwa ?
Mpwapwa kuna nani ?
musoma hapana, huko ni silaha mkononi.Musoma, hakuna wizi,ubabe mbele, kilimo cha bangi adharani, mambo yote sw.
Husninyo ndani ya Mpwapwa....
Hahahaahahaaaa Jg umetisha lol
moshi bwana napenda sana ile migomba na Greenwich.