napendelea Soweto....
ya wap?
Mi napenda popote penye huduma muhimu za kimwili.
Ukija pande za tanga nambie nikupokee.niliona video ya baikoko huko ni noma! ngoja niweka tanga kwenye options zangu.
afu tukishataja, inakuwaje?
Mkoa wa Katavi
huko mwanza vipi mkuu haupaenjoy, kila mtoto niliye muona mwanza alikuwa mkali kuanzia watoto wa malaika hadi mama ntilie wa mwaloni, hivi firigisi ya bluutus nini vile?Mie nitasubiri hadi Mpwapwa itakapopewa hadhi ya Regional! Tena nisiskie mtu mwingine ananifata Mpwapwa namtoa firigisi ya bluutus!
ukinitoa hapa nilipo naweza pata bren konkashen...ni sawa na samaki wa maji baridi kumhamishia maji ya chumvi...jiji lenye mishemishe zote!...