Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,359
- 78,427
napendelea kuishi Yaeda Chini...niwe karibu na mwenza wangu
why katavi?
Arusha ndio penyewe, kwanza watu wa hapa ni wajasiri, waelewa na hawadanganyiki (majority) then ndio kitovu cha ukombozi wa kweli wa nchi yetu. Karibuni jiji la dollars, euros, pounds etc etc.... Plus CHADEMA.
napendelea kuishi Yaeda Chini...niwe karibu na mwenza wangu
Napenda tanga!.
Naomba usiniache tukaishi wote ili na mimi uniKanumba.Ningependa kuishiiii ....... alikotokea Lulu ili niwakomeshe wanaume wenye wivu
Nashukuru kwa kusasambua!
Yaeda Chini siyo mkoa Arifu..! BTW msalimie Preta..
We ulikuja Arachuga ukamchunia....
napendelea kuishi Yaeda Chini...niwe karibu na mwenza wangu
Mbona yupo tu....kama akikukwepa nambie nikupeleke faster....sikumchunia mkuu, tena leo nilitaka kumletea zawadi yake akanikwepa..