Ally Kanah
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 1,479
- 388
Ushauri mujarabu
Labda hujaelewa nilichosema; kwanini awashtaki viongozi ambao wamemjenga yeye? Wao ndio walimpa nafasi kutumikia leo mnataka kweli ageuke awaume hata kama anajua wana makosa? Atamshtaki Mkapa kwa "nia" gani? au Kikwete kwa lipi.
Binafsi ninaamini kama wengi ambao tumekuwa tukipigania mabadiliko ya nchi hii mtu kama Mkapa alitakiwa ashtakiwe miaka mingi sana nyuma, Kikwete ndio usiseme, Lowassa ndio duh! Miye sina tatizo kabisa na hawa wote kushtakiwa kwa makosa mbalimbali. Tatizo ni kwanini tusubiri kiongozi wa CCM aje afanye mambo ambayo ni ajenda ya upinzani?
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa.Mzee mwanakijiji kutoka kuwa mtetezi wa wanyonge mpaka kuwa mtetezi wa wanyonyaji ni udini ni ukabila au tatizo ni nini
Kwa hiyo hata kuwasema tu majina yao huko mbeleni kutahitaji kushinda uchanguzi...............!!
Winning team? Ungejua sasa hivi nafikiria namna ya kuongoza upinzani na kuachana na wapinzani uchwara hujui tu. Huwezi kuwa na upinzani unaotaka kutawala kupitia CCM badala ya kushinda uchaguzi.
Naaamin hii ni threads bora kabisa ambayo wavivu wa kisiasa upinzani watabeza lakini ukweli ni kuwa JPM ni Rais kutoka CCMTatizo ni kwanini tusubiri kiongozi wa CCM aje afanye mambo ambayo ni ajenda ya upinzani?
Ndiyo kazi ya upinzani! Na wanalipwa ruzuku kwa kazi hiyo,kama ambavyo polisi anavyosubiri uvunje sheria akukamate!Kitu kibaya zaidi ambacho mimi nawashangaa hawa wapinzani wenzangu ni kwamba eti wanataka Magufuli aje aombe msamaha kwa wapinzani kwa namna ccm ilivyosababisha mikataba mibovu kabla yake,,is it possible??? ? Yaani hata ajenda ya maana hawana hawa viongozi wetu,wamekaa kusubiri madhaifu ya ccm ili iwe ajenda.ndio maana wengine tumeamua tu kuwa waangaliaji ,
Naona unapigania watoto waende chooni,vizuriIt is not rubbish simple because you say it is rubbish; you have to show why it is rubbish! Isije kuwa limekupita upeo wako ndio maana umeita "rubbish". Sitokulaumu.
Yes! Ccm ile ile!! Iliyotuletea mabalaa haya haya yanayomtesa leo!Naaamin hii ni threads bora kabisa ambayo wavivu wa kisiasa upinzani watabeza lakini ukweli ni kuwa JPM ni Rais kutoka CCM
Huwezi kusemahujalinani anaendesha gari, unajali kamagari litapata ajali.Kwangu sijali nani anatawala. Ninajali kama mambo hayaendi sawa!!
Mbona jana watu wamepigwa mkwara kuyasema majina ya hao wakubwa ........ na leo gazeti limefungiwa!!