Sooth
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 3,928
- 5,615
Kuwa mwananadharia mzuri hakukufanyi kuwa kiongozi mzuri. Zitto sasa anaelewa vizuri zaidi gharama za kuanzisha na kujenga chama kuliko hapo awali. Hata wewe utaelewa tu.Winning team? Ungejua sasa hivi nafikiria namna ya kuongoza upinzani na kuachana na wapinzani uchwara hujui tu.