Mbona sijaandika kabila, nimetumia neno 'Kaskazini' kama ulivyolianzisha. Na sisi Watu wazima tafsiri tunaijua labda utuambie Kaskazini ipi uliyomaanishaplatozoom unataja maeneo ambayo wala hayapo kwenye mada yangu.. Naona kwenye mada nzima na kila nilichoandika havijadiliwi tena bali tumebaki na ukabila.. Rudia kusoma tena pls
Jr[emoji769]
Hihihi mbona ktk mikoa maskini sukuma Land ipo top?Mwanzo wa post yako ni uharo mtupu. Hivi Tanga na huko umasaini kuna nini cha kuzidi sukumaland ? Pole sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kwan uongo?Mshana bhana! Kwahiyo hii hoja yako point yake ni ipi sasa? Wakati umesema katika sehemu zote zilizopendelewa kiuchumi bado watu wa Kas kazini wameshika nafasi za juu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kila kitu kizuri kikijengwa kaskazini ndiyo nchi itakuwa imeendelea?
Sent using Jamii Forums mobile app
NotedMimi ndo nilileta tetemeko? Ndo majibu waliyopewa watu wa kagera walipopatwa na majanga.
Kagera kila mtu anapambana na Hali yake ukilima kahawa ukapata upenyo Uganda ndo umetajirika hivyo.
Ukiangalia mkoa wa kagera maendeleo ya watu binafsi yako juu kuliko general maana ya miundombinu ambayo ni KAZI ya serikali.
Nyumba ni nzr vijijin lakin barabara za vijijin serikali haitaki kujenga
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona sijaandika kabila, nimetumia neno 'Kaskazini' kama ulivyolianzisha. Na sisi Watu wazima tafsiri tunaijua labda utuambie Kaskazini ipi uliyomaanisha
Dodoma hiyo ya ku boostiwa?Jamaa wa manispaa ya moshi wanajiona wajanja sana wakati Dodoma imewapita hivi hivi na kuwa jiji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam kina @zakale wao wanasubiri kujengewa Sisi tulishajenga na tunazidi kuboreshaKaskazini haijengwi na serikali ya mbogamboga bali na wana wa kaskazini. Wengine subirini offer za Meko
Mbona sijaandika kabila, nimetumia neno 'Kaskazini' kama ulivyolianzisha. Na sisi Watu wazima tafsiri tunaijua labda utuambie Kaskazini ipi uliyomaanisha
Rubbish, ulitaka fursa zipelekwe Mwanga? hamjaridhika na aliyowafanyia Msuya?Natambua wingi wa matukio na harakati za maisha vinatufanya kuangalia mapya bila kutafakari yaliyopita..
Wiki hii kulikuwa na mjadala mwingine baada ya kuzinduliwa Mahakama ya mwanzo CHATO ikitajwa kama mahaka kubwa na nzuri kulinganisha na Mahakama nyingine za mwanzo TANZANIA
Tangu awamu hii ishike hatamu mambo mengi ya kimaendelea yamefanyika CHATO... Kwa kutaja chache tu
Traffic lights
Jengo kubwa la Bank ya CRDB
Jengo la mamlaka ya mapato TRA
Mbuga ya wanyama
Uwanja wa ndege
Uwanja wa mpira
Msikiti mkubwa nknk
Malalamiko yamekuwa mengi kuwa kuna upendeleo unafanywa kuipa CHATO maendeleo isiyostahili
Ni lazima tukumbuke kanuni hii muhimu ya BINADAMU kwamba MWAMBA NGOMA NGOZI HUVUTIA KWAKE... Ni baba wa Taifa pekee hayati Mwalimu J. K. Nyerere ambaye alienda tofauti na kauli hii na kidogo akafuatiwa na Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa
Alipoingia madarakani brother Jakaya mambo yakawa tofauti... Akaamua kutumia nafasi yake kuwasaidia watu wa kwake.. Aamejitahidi kadiri alivyoweza kuiamsha Pwani.. Miradi mingi ikipelekwa huko ama Pwani ikipewa kipaumbele... Ombwe halikuonekana sana kwakuwa pia Pwani ni eneo MKAKATI kwa ajili ya kuingia na kutoka Dar.
Hata hivi viwanda vya leo Pwani zilikuwa ni juhudi zake.. Lakini kuna mengine yakawa ni kama hayakuwa na ullazima wa kuyafanya... Leo hii kuna njia mbili za lami mpaka mlangoni kwake pale Msoga... Lakini kuna Msikiti mkubwa mzuri ulijenga pale Msoga barabarani siku hizi umezungukwa na nyasi. Hauhudumiwi tena
Natambua dhima ya kila kiongozi kutaka kusaidia eneo lake ili walau lifanane na kwingine... Natambua fika mawazoni mwao wanataka kuona maeneo yao yakifanana na kaskazini hasa ukanda wote wa Tanga, Moshi mpaka Arusha... Lakini huu ni mchakato mrefu wenye kuhitaji maandalizi na mpango MKAKATI a kina... Kielimu na kubadili mtazamo wa wenyeji wake
Watu wa kaskazini wako vizuri juu na chini pia na wnapenda sana kutumia vizuri fursa zilizopo, ni wabunifu na ni wachapakazi.. Hawana majungu na wanathamini kila kitu kizuri.. Wanapenda UMOJA na kushirikishana... Wanajua vizuri thamani ya elimu ardhi na rasilimali watu....
Maendeleo yaliyojaribu kupelekwa CHATO na PWANI yangepelekwa kaskazini... kisinheharibika hata kitu kimoja na kingetumiwa kwa weledi mkubwa na kuleta matokeo chanya zaidi... Lakini la zaidi huko kote wanaosimania na kujaribu kuleta matokeo hayo chanya bado ni wale wale wa kaskazini!
Kwa mfano Pwani ya JK wenyeji wamebaki kuwa viibarua wapagazi na kazi zisizo na taaluma huku wakiendelea kuuza ardhi zao kwa bei sawa na bure.. Wao wakipata pesa kidogo ni starehe na KUONGEZA wake.
Siwezi kuizungumzia CHATO kwasasa lakini haina tofauti sana na Pwani... Na kuna uwezekano mkubwa sana awamu hii ikiheshimu Katiba na kuondoka madarakani kila kitu kitakufa kule.... Labda wa kaskazini wafanye jitihada kuokoa jahazi kwakuwa maono yao ni makubwa na uelewa wao uko deep zaidi...
Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtoto aliyekulia nyumba ya nyasi na aliyekulia nyumba ya bati na sakafu...
Nimemaliza...!!!!
Jr[emoji769]
Kisarawe, mkuranga,bagamoyo wachaga wameinunua karibu yote wanaona fursa ya miaka 20 mbeleNimekuelewa Sana mkuu hongera
Kwa kawaida ya kabira yetu ulitakiwa kusifiwa kwa tusi au salazo ila tuuachane na hayo,
Kuhusu vingine vilivyojengwa harafu havina muendelezo si kweli kuota nyasi msiti wa msoga inatokana na kijji kilivyo kwa msoga ilivyo Kama kule kilipo Kijiji kukawa kumejengwa msikiti mwengine Basi hapana budi ule msikiti wa barabarani kuota nyasi
Nilichojifunza kwa
Watu wa kaskazin kikubwa ubinfs (ukabila) migogoro ya mipaka aridhi mkiwa na mtu wa kutoka kaskazin kjijin kwenu maendeleo anataka yawe kwake tu mi nilishaamishiwa nguzo ya umeme kisa kaenda kulipa yeye hapo ilipowekwa nguzo na tanesko wote tungepata umeme mini na yeye lakini yeye akawambia iwekwe kwenye kiwanja chake sio hapo barabarani
nakubali kuwa aridhi iliuzwa na inauzwaa Bei Chee kweli lakini utakuta kaya moja yenye familia ya watu 10 Wana pori la heka 100 Kila wanalima heka 12 au 15 Kuna heka nyingi zinabaki hazifanyiwi kazi hujauza Bei Chee unangoja Nini,matapeli wakuuzie
Pwani kikwete kaacha alama kapandisha aridhi thamani na maendeleo yanayoendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
N'a kule mkuranga,kisarawe , bagamoyo wachaga wameshanunua karibu yote tunawasogeza tuWaache watu wa Chato wajiletee maendeleo yao wenyewe kwa juhudi zao wakijua wanafanya nini na nini gharama ya maendeleo kuliko kuletewa maendeleo wasiyojua yanatoka wapi. Wazaramo ni watu wa asili ya Dar es Salaam. Hawa wangepaswa kuwa ndio watu walioendelea zaidi ya wengine wote Tz. Lakini kwasababu waliletewa kila kitu mlangoni hawakufanya chochote cha kujiendeleza, wakabaki wakifikiri kwamba maendeleo ni kitu cha kuletewa na wengine kama zawadi. Angalia leo hii wazaramo miaka 200 baada ya kuishi na waarabu, wajerumani, waingereza, wahindi na wapare, wachagga, n.k. bado ni primitive na wanazidi kuuza ardhi na kusogea mbali na jiji huko Mkuranga na kwingineko.
Rubbish, ulitaka fursa zipelekwe Mwanga? hamjaridhika na aliyowafanyia Msuya?
Siku hizi umekuwa mtaalam wa kuandika pumba
Acha wivu jifunze kwa walioendeleaEti wa kaskazini maono yao makubwa blah blahh blahh
Kwahio kanda zingine vilaza?.nchi hii imefika hapa kwa sababu yenu tu?
mnasahau hii iko hivyo kwa sababu ya kihistoria ya umishenari na ukoloni?.
Kama hamuamini watch and see ....everyone is educated this days na kila mtu ni mfanya biashara siku hizi
Sikutegemea kuona mindset kama hii kutoka kwako...ohh na we ni wa Kaskazini i forgot
But niwakumbushe ukabila hauna nafasi tena nchini kwa sasa..
Tatizo makandeRubbish, ulitaka fursa zipelekwe Mwanga? hamjaridhika na aliyowafanyia Msuya?
Siku hizi umekuwa mtaalam wa kuandika pumba
Umeshakula makande sasa unapumua
Sasa unataka kulinfanisha kaskazini na chato mkuu?'kaskazini mtasubiri kwanza tujenge maeneo mengine'